Mikakati yangu 2025 kubana matumizi

Mikakati yangu 2025 kubana matumizi

Kalaga Baho Nongwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
9,953
Reaction score
23,150
Nimependa sana some strategies zinazotumiwa na wahuni kuishi. Asee wahuni wana balaa sana, some tips natohoa kwao ili nipate kitu perfect mwakani. Mbinu kubwa ya utajiri ni ubahili, minimize cost as you can kama "earning" haiongezeki

Mwakani wakuu rum ya elfu 20 ya umeme mbagala inatosha, nitapanda mchaichai nje kuondoa gharama za majani ya chai. Nitakua naomba moto kwa jirani kama wanne hiv jiko linajaa napika hakuna haja ya kununua mkaa.

Nitanunua kanzu moja, hii kuanzia misiba na ndoa hitima nimo mpaka nile hiyo. Kanzu hii ya kuendea msikitini hasa usiku naoga kabisa huko huko kupunguza bajeti ya maji.

Kuna haja ya kucheza na nyakati hasa mchana, mida mizuri ya kutembela ndugu na marafiki itaanzia saa 7 mchana kuvizia kula mana wengi wanakula kati ya 7:20 mpaka saa 9 hapo. Atleast weekly nikibahatisha milo mitatu kwa ndugu na rafiki kwa mwezi nitasave kama 20 hivi sio kesi sana.

Kumekuwa na haja ya kuendelea kusite maeneo yenye wifi na kupambana mpaka kupata password ili inipunguzie bajet ya bando. Watu wa manispaa temeke mje inbox nina dili na ninyi

Kalaga baho
 
wakati unadhibiti njia za pesa kutoka ongeza na njia za pesa kuingia!, maana unaweza kujikuta unaishi kama shetani halafu hugeuki kuwa malaika!, maana lengo la wewe kufanya hivyo ni baadae kujakuwa malaika so angalia usije ukaliwa na stress!.

halafu acha ushamba unabanaje bajeti kwa kwenda kula kwa wengine unafikiri wenzako hawana bajeti..? huo ni ujinga, panga ratiba yako yachakula.
 
Nimependa sana some strategies zinazotumiwa na wahuni kuishi. Asee wahuni wana balaa sana, some tips natohoa kwao ili nipate kitu perfect mwakani. Mbinu kubwa ya utajiri ni ubahili, minimize cost as you can kama "earning" haiongezeki

Mwakani wakuu rum ya elfu 20 ya umeme mbagala inatosha, nitapanda mchaichai nje kuondoa gharama za majani ya chai. Nitakua naomba moto kwa jirani kama wanne hiv jiko linajaa napika hakuna haja ya kununua mkaa.

Nitanunua kanzu moja, hii kuanzia misiba na ndoa hitima nimo mpaka nile hiyo. Kanzu hii ya kuendea msikitini hasa usiku naoga kabisa huko huko kupunguza bajeti ya maji.

Kuna haja ya kucheza na nyakati hasa mchana, mida mizuri ya kutembela ndugu na marafiki itaanzia saa 7 mchana kuvizia kula mana wengi wanakula kati ya 7:20 mpaka saa 9 hapo. Atleast weekly nikibahatisha milo mitatu kwa ndugu na rafiki kwa mwezi nitasave kama 20 hivi sio kesi sana.

Kumekuwa na haja ya kuendelea kusite maeneo yenye wifi na kupambana mpaka kupata password ili inipunguzie bajet ya bando. Watu wa manispaa temeke mje inbox nina dili na ninyi

Kalaga baho
Hayo si maisha ni mateso. Halafu unakufa pesa wanazifaidi voda mpesa maana kwa ubahiri hata ndugu hukuwapa password
 
Nimependa sana some strategies zinazotumiwa na wahuni kuishi. Asee wahuni wana balaa sana, some tips natohoa kwao ili nipate kitu perfect mwakani. Mbinu kubwa ya utajiri ni ubahili, minimize cost as you can kama "earning" haiongezeki

Mwakani wakuu rum ya elfu 20 ya umeme mbagala inatosha, nitapanda mchaichai nje kuondoa gharama za majani ya chai. Nitakua naomba moto kwa jirani kama wanne hiv jiko linajaa napika hakuna haja ya kununua mkaa.

Nitanunua kanzu moja, hii kuanzia misiba na ndoa hitima nimo mpaka nile hiyo. Kanzu hii ya kuendea msikitini hasa usiku naoga kabisa huko huko kupunguza bajeti ya maji.

Kuna haja ya kucheza na nyakati hasa mchana, mida mizuri ya kutembela ndugu na marafiki itaanzia saa 7 mchana kuvizia kula mana wengi wanakula kati ya 7:20 mpaka saa 9 hapo. Atleast weekly nikibahatisha milo mitatu kwa ndugu na rafiki kwa mwezi nitasave kama 20 hivi sio kesi sana.

Kumekuwa na haja ya kuendelea kusite maeneo yenye wifi na kupambana mpaka kupata password ili inipunguzie bajet ya bando. Watu wa manispaa temeke mje inbox nina dili na ninyi

Kalaga baho
Mkuu, huu sasa sio ubahili bali ni uchawi😁
 
wakati unadhibiti njia za pesa kutoka ongeza na njia za pesa kuingia!, maana unaweza kujikuta unaishi kama shetani halafu hugeuki kuwa malaika!, maana lengo la wewe kufanya hivyo ni baadae kujakuwa malaika so angalia usije ukaliwa na stress!.

halafu acha ushamba unabanaje bajeti kwa kwenda kula kwa wengine unafikiri wenzako hawana bajeti..? huo ni ujinga, panga ratiba yako yachakula.
Kabisa mkuu mfano mimi nikitumia pesa ndio napata pesa nyingi zaidi kuna kipindi niliacha mitungi na cha arusha yani nilipitia msoto wa hatari kiuchumi😁😁😁😁
 
Wanikatae sababu ya mlo wa mchana we unaielewa hii?yani kula kwa thaman sana mpaka umkatae ndugu kweli?
Labda Kama leo umebadili kabila kutoka kabila letu la wazaramo Sasa ni msukuma sawa .

Ila Kama bado wewe ni mzaramo mwenzangu utashuhudia ninachosema na hapo bado kuchambwa mpaka uone wazazi walikuonea kukuzaa
 
Profi
Nimependa sana some strategies zinazotumiwa na wahuni kuishi. Asee wahuni wana balaa sana, some tips natohoa kwao ili nipate kitu perfect mwakani. Mbinu kubwa ya utajiri ni ubahili, minimize cost as you can kama "earning" haiongezeki

Mwakani wakuu rum ya elfu 20 ya umeme mbagala inatosha, nitapanda mchaichai nje kuondoa gharama za majani ya chai. Nitakua naomba moto kwa jirani kama wanne hiv jiko linajaa napika hakuna haja ya kununua mkaa.

Nitanunua kanzu moja, hii kuanzia misiba na ndoa hitima nimo mpaka nile hiyo. Kanzu hii ya kuendea msikitini hasa usiku naoga kabisa huko huko kupunguza bajeti ya maji.

Kuna haja ya kucheza na nyakati hasa mchana, mida mizuri ya kutembela ndugu na marafiki itaanzia saa 7 mchana kuvizia kula mana wengi wanakula kati ya 7:20 mpaka saa 9 hapo. Atleast weekly nikibahatisha milo mitatu kwa ndugu na rafiki kwa mwezi nitasave kama 20 hivi sio kesi sana.

Kumekuwa na haja ya kuendelea kusite maeneo yenye wifi na kupambana mpaka kupata password ili inipunguzie bajet ya bando. Watu wa manispaa temeke mje inbox nina dili na ninyi

Kalaga baho
Profile Yako inaeleza Kila kitu , hata usiandike sana...
 
Back
Top Bottom