Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
- #41
Ah we kumbe bado kwemye hii tasnia sana. Hii industry tunaijua wenyewe kaka kutafuta hela sio lazima kushinda kariakoo wengine madalali umelala geto kumbe ndo ushaingia kazinHuo mda unaozunguka kuomba mkaa na kuvizia chakula utapata wapi mda wa kutafuta pesa ya kukusanya kama mtaji? Saa 7:20 had saa 9 upo mtaani