Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
-
- #41
Ah we kumbe bado kwemye hii tasnia sana. Hii industry tunaijua wenyewe kaka kutafuta hela sio lazima kushinda kariakoo wengine madalali umelala geto kumbe ndo ushaingia kazinHuo mda unaozunguka kuomba mkaa na kuvizia chakula utapata wapi mda wa kutafuta pesa ya kukusanya kama mtaji? Saa 7:20 had saa 9 upo mtaani
Kulosa ni kufanya nn mkuu? Mchai chai ninatumia kuondoa bajeti ya majani ya chai na nitakuwa nauza fungu jeroKazi kulosa tu, sasa mchai chai umepanda wa nni??
Kulosa ni kufanya nn mkuu? Mchai chai ninatumia kuondoa bajeti ya majani ya chai na nitakuwa nauza fungu jero
kwa hiyo ww upo serious kwenue jukwaa la jokesNiidhani umeandika huu uzi ukiwa serious kumbe umepoteza muda wako kuandika huu upupu, maana kitu ulichokiandika ni kwamba akiwezekani hata uwe bahiri vipi ulichokifanya ni kuja kufurahisha genge tu
Huo mkuu ni unyimi πkula chakuka kwa majirani
Una mbinu hata moja hapo tentative mkuu? Hizi mbinu za uswahilini huku watu tusio na mipango π€Daah, yani nimefungua uzi kwa spidi nikajua kuna mbinu za maana za kusave money, kumbe mwamba ana mbinu za waliofeli duuh!!
ππππΉπΉSikuoni oni humu au shape wa majukumu ya idara nzima hapo nbc?
Nakaziawakati unadhibiti njia za pesa kutoka ongeza na njia za pesa kuingia!, maana unaweza kujikuta unaishi kama shetani halafu hugeuki kuwa malaika!, maana lengo la wewe kufanya hivyo ni baadae kujakuwa malaika so angalia usije ukaliwa na stress!.
halafu acha ushamba unabanaje bajeti kwa kwenda kula kwa wengine unafikiri wenzako hawana bajeti..? huo ni ujinga, panga ratiba yako yachakula.
Unakazia wap mkuu ofisi yenu imenifanyia interview n kaz haijanipaNakazia
Ofisi yetu ipi hiyo mkuu?Unakazia wap mkuu ofisi yenu imenifanyia interview n kaz haijanipa
Mikocheni pale garden roadOfisi yetu ipi hiyo mkuu?
Tulia Yesu azaliwe kwanzaMikocheni pale garden road
Wakumbushie mkuu mana cv hii ya kwangu sijagushi wasinipime kwa machoTulia Yesu azaliwe kwanza
Sawa mkuu nitafanya hivyoWakumbushie mkuu mana cv hii ya kwangu sijagushi wasinipime kwa macho