Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Uwepo wake una mkanganyiko Ndio ambayo hivyo anavyodai vtabu vyake havieleweki.

Tukasema anza kupitia moja baada ya nyingine uzitatue

Karibu mkuu.
huo mkanganyiko mnaousema hauwezi kusababisha kuwa mungu asiwepo.
Bila ya hata vitabu kwa kutumia akili tu unaweza kufikiri na kujiuliza DUNIA YA NANI?
 
huo mkanganyiko mnaousema hauwezi kusababisha kuwa mungu asiwepo.
Bila ya hata vitabu kwa kutumia akili tu unaweza kufikiri na kujiuliza DUNIA YA NANI?
Dunia ya “Nani” huoni kwamba hilo swali ulishalipatia majibu yako? Ina maana unafahamu Halafu unakuja kuuliza!

Wanasayansi wengi walikuja na theory nyingi zinazoendelea kufanyiwa tafiti.
Ila watu wengi wapo radhi kukubali kuambiwa hapo mwanzo mungu Aliumba mbingu na nchi.
Bila ya kuelezea aliumba vipi kwa madai ya kwamba yeye ni muweza wa yote!

Ndipo hapa tunapohoji huo uwezo wake wote upo wapi?
Kama sayansi bado haijajua chanzo cha wapi dunia ilipotokea hilo hali justify kwamba mungu yupo ina maana kwamba bado hatujui.

Thibitisha mungu mwenye uwezo wote Kwanini kitabu chake kiwe na mikanganyiko?
 
Biblia ni kitabu kinachoelezea historia ya mambo ya zamani, sina hakika kama yote yaliyoandikwa mule yalikuwepo kweli ila kuna mambo mengine ukisoma tu yanaonekana ni uongo wa waziwazi. Quran ukiisoma utaona kwamba mwandishi wake alikuwa ameisoma vizuri biblia na akahisi ina makosa na kutaka kuyarekebisha ndipo akaharibu kabisa. Quran ni kitabu kilichojaa stori za kujitungia tu, kama we hulioni hilo tambua kwamba una ufikiriaji mdogo sana.
Thibisha kauli yako broo Ili uwe kafiri wa kwanza kuithibitishia Dunia kuwa Quran Ina maneno ya kutunga au uongo

Maana Qurani yenyewe inasema ndani yake hakuna maneno ya kutunga Wala ya uongo

Quran 2:2-
Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu,
 
Wakuu habari zenu?binafsi nimekuwa nikifuatilia mijadala mingi sana kuhusu mikanganyiko(contradiction) katika vitabu vya dini.

Nimekuwa nikifatilia nyuzi nyingi za kiranga kuhusu kupinga uwepo wa mungu, tukitoa mihemko tukajenga hoja kwa mantiki (logical) character ya mungu mwenye nguvu zote, mwenye upendo wote na ajuaye yote hayupo na haiwezi kufit kwenye mizani ya mantiki.

Nimekuwa nikisoma Biblia na imekuwa ikijikanganya yenyewe na bado ikidai kwamba mungu huwa hakosei. Leo nitaonyesha baadhi ya mikanganyiko hiyo ambayo hata kiranga amekuwa akiiweka.hizi ni baadhi ya verse zenye mikanganyo[emoji116]

Mwanzo 1:3-5 BHN
Mungu akasema, “Mwanga uwe.” Mwanga ukawa. Mungu akauona mwanga kuwa ni mwema. Kisha Mungu akautenganisha mwanga na giza, mwanga akauita “Mchana” na giza akaliita “Usiku.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya kwanza.

Mwanzo 1:14 BHN
Mungu akasema, “Mianga na iweko angani, itenge mchana na usiku, ioneshe nyakati, majira, siku na miaka

Mwanzo 1:11-13 BHN
Kisha Mungu akasema, “Nchi na ioteshe mimea. Mimea izaayo mbegu, na miti izaayo matunda yenye mbegu.” Ikawa hivyo. Basi, nchi ikaotesha mimea izaayo mbegu kwa jinsi yake, na miti izaayo matunda yenye mbegu kwa jinsi yake. Mungu akaona kuwa ni vyema. Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya tatu.

Mwanzo 2:4-9 BHN
Hivyo ndivyo mbingu na dunia zilivyoumbwa. Siku ile Mwenyezi-Mungu alipoziumba mbingu na dunia, Hapakuwa na mimea juu ya nchi wala miti haikuwa imechipua kwani Mwenyezi-Mungu hakuwa ameinyeshea nchi mvua, wala hapakuwa na mtu wa kuilima. Hata hivyo, maji yalitoka ardhini yakainywesha ardhi yote. Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai. Kisha Mwenyezi-Mungu akapanda bustani huko Edeni,

Mwanzo 1:26-27 BHN
Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.” Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke. Hapa mungu aliumba mwanamume na mwamke.

Mwanzo 2:7 BHN
Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai.

(Mbele kidogo mungu anaumba mwanaume)utaona jinsi gani anavyosahau kurekodi matukio katika mtiririko ulio sahihi.

Mwanzo 2:7 BHN
Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai.

Mwanzo 6:6 BHN
Mwenyezi-Mungu alisikitika sana kwa kumuumba binadamu duniani. Mwenyezi-Mungu alihuzunika sana moyoni mwake

Hesabu 23:19 BHN
Mungu si mtu, aseme uongo, wala si binadamu, abadili nia yake! Je, ataahidi kitu na asikifanye, au kusema kitu asikitimize?

Kutoka 12:13 BHN
Basi, ile damu itakuwa ishara yenu ya kuonesha nyumba mtakamokuwa. Nami nitakapoiona hiyo damu, nitawapita nyinyi, na hamtapatwa na dhara lolote wakati nitakapoipiga nchi ya Misri.

Mithali 15:3 SRUV
Macho ya BWANA yako kila mahali; Yakimchunguza mbaya na mwema.

( kwenye kutoka mungu wa kiyahudi anatoa maagizo wapake damu kwenye vizingiti vya milango ili asije kujichanganya, lakini mungu huyo huyo anajinasibu katika mithali macho yake yapo kila mahali)

Kutoka 20:14 BHN
“Usizini.

HOSEA 1:2
2 Hapo kwanza Bwana aliponena kwa kinywa cha Hosea, Bwana alimwambia Hosea, Enenda ukatwae mke wa uzinzi, na watoto wa uzinzi; kwa maana nchi hii inafanya uzinzi mwingi, kwa kumwacha Bwana.

Karibuni tujadili bila kashfa tujadiliane, hizi ni baadhi ya mikanganyiko iliyopo katika biblia.

Kwanini mungu mkamilifu kitabu chake kiwe na mikanganyiko kiasi hiki?

Mungu anasifa zote za binadamu anasahau, anabadili mawazo yake, ana hasira, Ana wivu, katili, na tabia zingine nyingi za kibinadamu.

IMG_3538.jpg
 
Wewe umejuaje kama Mungu hayupo ?

Tuambie imekuwaje hii Dunia ikawa hivi ilivyo ? Kama hujui hili, unapata wapi uhalali wa kudai ya kuwa Mungu hayupo ?

Nukta ya pili, umejuaje kama kila mtu amezaliwa ni Atheist ? Hujui kama Atheism ni ugonjwa wa akili ?

Unaposema maandiko ya kidini ni hadithi za kutunga, tunaomba ushahidi huo utuambie nani ametunga hizi habari, hasa jikite katika kuelezea Qur'an.

Nukta ya tatu, kila mtu anazaliwa akiwa Muislamu.
🚮🚮
 
Wewe umejuaje kama Mungu hayupo ?

Tuambie imekuwaje hii Dunia ikawa hivi ilivyo ? Kama hujui hili, unapata wapi uhalali wa kudai ya kuwa Mungu hayupo ?

Nukta ya pili, umejuaje kama kila mtu amezaliwa ni Atheist ? Hujui kama Atheism ni ugonjwa wa akili ?

Unaposema maandiko ya kidini ni hadithi za kutunga, tunaomba ushahidi huo utuambie nani ametunga hizi habari, hasa jikite katika kuelezea Qur'an.

Nukta ya tatu, kila mtu anazaliwa akiwa Muislamu.
Mungu hayupo kwa sababu mabaya yapo. Angekuwepo yasingekuwepo, pili kutojua kwanini ulimwengu upo hivi haithibitishi mungu yupo, kukimbilia jibu la kwamba mungu ndo katengeneza ulimwengu hivi ulivyo ni kutafuta psychological relief juu ya maswali yanayohitaji majibu yasiyokuwa na ukakasi.
Kusema atheism ni ugonjwa, nionyeshe mtu alielazwa hospital akipatiwa dozi ya atheism.
 
Mungu hayupo kwa sababu mabaya yapo. Angekuwepo yasingekuwepo, pili kutojua kwanini ulimwengu upo hivi haithibitishi mungu yupo, kukimbilia jibu la kwamba mungu ndo katengeneza ulimwengu hivi ulivyo ni kutafuta psychological relief juu ya maswali yanayohitaji majibu yasiyokuwa na ukakasi.
Achana na huyo Kisai hanaga hoja zozote zaidi ya kutetea uislamu.

Kisai ni muislamu mwenye itikadi kali sawa na magaidi ya Islamic state,
Al-Qeida, Al-shabaab na Boko Haram.

Ni sawa na kumwelewesha chizi
 
Thibisha kauli yako broo Ili uwe kafiri wa kwanza kuithibitishia Dunia kuwa Quran Ina maneno ya kutunga au uongo

Maana Qurani yenyewe inasema ndani yake hakuna maneno ya kutunga Wala ya uongo

Quran 2:2-
Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu,
Kwani kusema ni kitabu kisichokuwa na shaka ndo uhalisi kwamba hakina shaka? Huyo mwandishi kaandika hivyo kujitengenezea ulinzi wa kutokuhojiwa ila ni kitabu chenye udhaifu wa hali ya juu. Upuuzi umejaa sana mule.

Upuuzi wa kwanza,
Kuna sehemu mwandishi anasema mbingu zinatetemeka na kutikisika pale ambapo Yesu anaitwa mwana wa Mungu. Huo ni uongo wa wazi, mbingu haiwezi kutikisika kwa jambo la namna hiyo.

Upuuzi wa pili,
Kuna sehemu panasema Mungu na malaika zake wanamsalia mtume.
Huo ni ujinga wa viwango vya PhD kuona Mungu nae anasali.

Niendelee au tujadili hayo kwanza?
 
Dunia ya “Nani” huoni kwamba hilo swali ulishalipatia majibu yako? Ina maana unafahamu Halafu unakuja kuuliza!

Wanasayansi wengi walikuja na theory nyingi zinazoendelea kufanyiwa tafiti.
Ila watu wengi wapo radhi kukubali kuambiwa hapo mwanzo mungu Aliumba mbingu na nchi.
Bila ya kuelezea aliumba vipi kwa madai ya kwamba yeye ni muweza wa yote!

Ndipo hapa tunapohoji huo uwezo wake wote upo wapi?
Kama sayansi bado haijajua chanzo cha wapi dunia ilipotokea hilo hali justify kwamba mungu yupo ina maana kwamba bado hatujui.

Thibitisha mungu mwenye uwezo wote Kwanini kitabu chake kiwe na mikanganyiko?
Mungu hana haja ya kueleza aliumba vip dunia.kwani wakatiunabadilika kutoka shahawa kuwa binadamu alikwambia amekugeuza vipi?
 
Biblia imejimwambafai yenyewe kwamba ni perfect na haina madhaifu? Hiyo relation haiendani na biblia na ni kuikosea biblia hadhi yake. Hao waandishi wa habari unaowasema walikuwa na roho mtakatifu kama waandishi wa kwenye bible?
That's what you are saying. Hebu onyesha hayo madhaifu unayosema kama hayaendani na mfano nilioutoa na je umejibu maswali niliyouliza? Kitu nilichotaka kukuonyesha ni kwamba Biblia imeandikwa kwa lengo fulani na iliyowalenga hawana shida nayo kwa sababu wanaelewa ni nini kinachozungumzwa. Wale wasio walengwa kama wewe ndiyo wanaoona shida. Na kila kitu kiko hivyo. Wale wanaohusika hawaoni shida, lakini wasiohusika ndio wa kwanza kuwaambia wahusika kwamba kuna shida. Wewe unaweza ukawa na utaratibu wako wa kula nyumbani na wanafamilia wote wanaufahamu na hawana shida na huo utaratibu. Lakini majirani wanaweza wakaanza kusema "siku hizi familia X ina shida ya chakula hata wameweka utaratibu wa kula usio wa kawaida." Je, shida inakuwa kwako na familia yako au ni hao wanaosema kuna shida? Hata Biblia ni hivyo. Ina maudhui ambayo mtu anayesoma kama kitabu cha historia atapata shida kuielewa kwa sababu haikuandikwa kwa lugha ya historia (chronology of events in time). Sasa kuna watu wanaisoma na kulazimisha isomwe kama kitabu cha historia. Yaani kwamba kulikuwa na location fulani hapa duniani inaitwa "bustani ya Edeni" na humo Mungu alimfinyanga Adamu na kisha akampulizia hewa, akawa hai. Kisha Mungu akamletea usingizi wa pono na alipokuwa amelala, Mungu akanyofoa baadhi ya mbavu (na of course Adamu alibaki anavuja damu nyingi na huenda alienda hospitali kutibiwa) na kisha akamtengeneza Eva (Hawa). Na kabla ya haya yote Mungu alikuwa ameshaumba ulimwengu kwa siku 5 na kisha Mungu ndipo alipomfinyanga Adamu siku ya 6 na Mungu akawa amechoka na siku ya 7 akapumzika. Sasa ukisoma Biblia kwa mtindo huo, lazima utapata shida. Lakini sehemu mbalimbali Biblia imeandikwa "na haya yameandikwa ili mpate kuamini". Ikiwa na maana kwamba unasoma Biblia siyo kama historia, bali kwa macho ya imani. Ukisoma Biblia kwa macho ya imani, ina maana utasoma 'narrative' na kupata "funzo fulani" (ujumbe) unaomhusu mtu anayeisoma kwa macho ya imani. Je, wewe unasoma Biblia kama historia au kitabu cha imani ambacho masimulizi yake ni tofauti na kusoma historia Shaka Zulu, au vita vya majimaji au vita vikuu vya dunia? Je, unasomaje wewe? Hata fizikia huwezi kuisoma kama historia au hesabu na lazima usome hayo masomo kwa mantiki hiyo au kwa lengo lililokusudiwa na siyo unavyotaka wewe usome.
 
That's what you are saying. Hebu onyesha hayo madhaifu unayosema kama hayaendani na mfano nilioutoa na je umejibu maswali niliyouliza? Kitu nilichotaka kukuonyesha ni kwamba Biblia imeandikwa kwa lengo fulani na iliyowalenga hawana shida nayo kwa sababu wanaelewa ni nini kinachozungumzwa. Wale wasio walengwa kama wewe ndiyo wanaoona shida. Na kila kitu kiko hivyo. Wale wanaohusika hawaoni shida, lakini wasiohusika ndio wa kwanza kuwaambia wahusika kwamba kuna shida. Wewe unaweza ukawa na utaratibu wako wa kula nyumbani na wanafamilia wote wanaufahamu na hawana shida na huo utaratibu. Lakini majirani wanaweza wakaanza kusema "siku hizi familia X ina shida ya chakula hata wameweka utaratibu wa kula usio wa kawaida." Je, shida inakuwa kwako na familia yako au ni hao wanaosema kuna shida? Hata Biblia ni hivyo. Ina maudhui ambayo mtu anayesoma kama kitabu cha historia atapata shida kuielewa kwa sababu haikuandikwa kwa lugha ya historia (chronology of events in time). Sasa kuna watu wanaisoma na kulazimisha isomwe kama kitabu cha historia. Yaani kwamba kulikuwa na location fulani hapa duniani inaitwa "bustani ya Edeni" na humo Mungu alimfinyanga Adamu na kisha akampulizia hewa, akawa hai. Kisha Mungu akamletea usingizi wa pono na alipokuwa amelala, Mungu akanyofoa baadhi ya mbavu (na of course Adamu alibaki anavuja damu nyingi na huenda alienda hospitali kutibiwa) na kisha akamtengeneza Eva (Hawa). Na kabla ya haya yote Mungu alikuwa ameshaumba ulimwengu kwa siku 5 na kisha Mungu ndipo alipomfinyanga Adamu siku ya 6 na Mungu akawa amechoka na siku ya 7 akapumzika. Sasa ukisoma Biblia kwa mtindo huo, lazima utapata shida. Lakini sehemu mbalimbali Biblia imeandikwa "na haya yameandikwa ili mpate kuamini". Ikiwa na maana kwamba unasoma Biblia siyo kama historia, bali kwa macho ya imani. Ukisoma Biblia kwa macho ya imani, ina maana utasoma 'narrative' na kupata "funzo fulani" (ujumbe) unaomhusu mtu anayeisoma kwa macho ya imani. Je, wewe unasoma Biblia kama historia au kitabu cha imani ambacho masimulizi yake ni tofauti na kusoma historia Shaka Zulu, au vita vya majimaji au vita vikuu vya dunia? Je, unasomaje wewe? Hata fizikia huwezi kuisoma kama historia au hesabu na lazima usome hayo masomo kwa mantiki hiyo au kwa lengo lililokusudiwa na siyo unavyotaka wewe usome.
Kusema tu mungu alichoka siku ya saba akapumzika,akastarehe tayari ni mkanganyiko, inakuaje mungu nae anachoka hadi anapumzika kama binadamu?
 
That's what you are saying. Hebu onyesha hayo madhaifu unayosema kama hayaendani na mfano nilioutoa na je umejibu maswali niliyouliza? Kitu nilichotaka kukuonyesha ni kwamba Biblia imeandikwa kwa lengo fulani na iliyowalenga hawana shida nayo kwa sababu wanaelewa ni nini kinachozungumzwa. Wale wasio walengwa kama wewe ndiyo wanaoona shida. Na kila kitu kiko hivyo. Wale wanaohusika hawaoni shida, lakini wasiohusika ndio wa kwanza kuwaambia wahusika kwamba kuna shida. Wewe unaweza ukawa na utaratibu wako wa kula nyumbani na wanafamilia wote wanaufahamu na hawana shida na huo utaratibu. Lakini majirani wanaweza wakaanza kusema "siku hizi familia X ina shida ya chakula hata wameweka utaratibu wa kula usio wa kawaida." Je, shida inakuwa kwako na familia yako au ni hao wanaosema kuna shida? Hata Biblia ni hivyo. Ina maudhui ambayo mtu anayesoma kama kitabu cha historia atapata shida kuielewa kwa sababu haikuandikwa kwa lugha ya historia (chronology of events in time). Sasa kuna watu wanaisoma na kulazimisha isomwe kama kitabu cha historia. Yaani kwamba kulikuwa na location fulani hapa duniani inaitwa "bustani ya Edeni" na humo Mungu alimfinyanga Adamu na kisha akampulizia hewa, akawa hai. Kisha Mungu akamletea usingizi wa pono na alipokuwa amelala, Mungu akanyofoa baadhi ya mbavu (na of course Adamu alibaki anavuja damu nyingi na huenda alienda hospitali kutibiwa) na kisha akamtengeneza Eva (Hawa). Na kabla ya haya yote Mungu alikuwa ameshaumba ulimwengu kwa siku 5 na kisha Mungu ndipo alipomfinyanga Adamu siku ya 6 na Mungu akawa amechoka na siku ya 7 akapumzika. Sasa ukisoma Biblia kwa mtindo huo, lazima utapata shida. Lakini sehemu mbalimbali Biblia imeandikwa "na haya yameandikwa ili mpate kuamini". Ikiwa na maana kwamba unasoma Biblia siyo kama historia, bali kwa macho ya imani. Ukisoma Biblia kwa macho ya imani, ina maana utasoma 'narrative' na kupata "funzo fulani" (ujumbe) unaomhusu mtu anayeisoma kwa macho ya imani. Je, wewe unasoma Biblia kama historia au kitabu cha imani ambacho masimulizi yake ni tofauti na kusoma historia Shaka Zulu, au vita vya majimaji au vita vikuu vya dunia? Je, unasomaje wewe? Hata fizikia huwezi kuisoma kama historia au hesabu na lazima usome hayo masomo kwa mantiki hiyo au kwa lengo lililokusudiwa na siyo unavyotaka wewe usome.

Mkuu kwa mujibu wa Bibilia “maneno matakatifu ya Mungu” Bibilia ni kwaajili ya watu wote duniani

Sasa unaposema Bibilia ni kwaajili ya walengwa fulani unamaanisha nini?

Kumbe kuna wengine Bibilia haiwahusu na wanaketa kiherehere kuhoji?
 
Kusema tu mungu alichoka siku ya saba akapumzika,akastarehe tayari ni mkanganyiko, inakuaje mungu nae anachoka hadi anapumzika kama binadamu?
Siyo kwamba mimi ndivyo ninavyoamini. Nimeandika jinsi wewe unavyosoma Biblia na ku'miss' the point. Yaani unasoma unachanganya mambo na badala ya kuona kwamba umechanganya unaona Biblia ndiyo iliyochanganya. Ndicho nilichotaka kukuonyesha na naona hujanielewa pia. Shida iko hapo.
 
Back
Top Bottom