Mikasa/vituko vya lodge

Heee Jamani kwani Ile Hela mmekubaliana kule kuwa itatumwa Kwa Wakala Wa Njia ya simu haikufika?

Mbona kama kule tayari mmeshakubaliana[emoji1787][emoji114]
Sikuiona hiyo comment ningeiona hata kwenye ule uzi wake nisingeandika chochote. Nilijua yameisha kumbe bado ananitukana huku, sitaki tena mazoea ya kipumbavu anikome.
 
Hapo Manyoni mimi huwa nalala pale NARUMU, ipo vizuri kwakweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Usijali tutakua tunalala wote chumvi
 

Tayari [emoji2] me siamini ayo mambo ya evil spirits
 

Ikawaje baada ya hapo
 
Mi kuna siku nimebook hotel saa 10 jioni, nikaingia pale saa 6 usiku, wakanambia natakiwa toka kesho kutwa yake ingekuwa hizi lodge zetu hakika kesho saa 4 wangegonga

Hotel gani hiyo mkuu tuanze kuitumia
 
Lakini kwa sasa kila sehemu imeanza kubadirika,madiwani wanawekeza kwenye guest sababu wao ndo wanasumbuliwa na wageni.
 
Heee Jamani kwani Ile Hela mmekubaliana kule kuwa itatumwa Kwa Wakala Wa Njia ya simu haikufika?

Mbona kama kule tayari mmeshakubaliana[emoji1787][emoji114]
Mkuu, hii post ya povu niliyoiweka hapa ilikuwa ni kabla ya moyo wangu kukunjuka! Baada ya kuiweka, masaa mawili baadae ndo nikatengeneza uzi wa kumuomba msamaha, labda yeye alihisi post ile ilifuata baada ya uzi
[emoji28][emoji28][emoji28] Kama hao wanawake 1.634 m waluozidi wakawa na akili kama za Kelsea ,tutaporomoka kiuchumi mpaka tushangae[emoji28][emoji28]
 
Niliokota dem Inyonga mwaka 2016 nilikua nafanya biashara ya mazao (karanga). Nimezama lodge navua nguo dem kaenda kuosha papuchi aje kwenye tanange akapandishia mashetani chooni...kelele na vurugu nikamtoa toi nikamleta kitandani dem anaweweseka mashetani...kidogo polisi wa patrol wakagonga mlango wanakagua wageni waliolala nafungua nikajitambulisha dem yuko chapachapa kapagawa ikabidi patrol iishie rum kwangu kuanzia saa 7 hadi saa 10 wateja wote wameamka makelele wapo mlangoni wanachungulia namtuliza dem. Sa 10 polisi wakatoka dem kalegea akachoka na makelele ila bado Subiani limemshika....wateja walarud kulala nikabak na dem sijui hata kwao wapi mida ya saa 12 nikajikaza kisabun nyege zimenipanda dem ashakunywa pombe zangu nina ugwadu aisee... dem yupo sakafuni bado hajatulia nikautoa mjegeje nikazamishia sakafuni kibishii hadi nikakitupa. Dem anaamka ananiomba msamaha anasema hua anamatatizo hayo ila anajikagua muhunu nishakula zangu kimoko akaanza kucheka anasema nina roho ngumu


Hahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…