Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Heshima ni kitu cha bure.
Usiwege unamind vitu ambavyo havina maana, sasa unapanic kwenye IDs fake, kwani kuna mtu anakufahamu humu? Hivi ukoje wewe? Shwain! Sijui wanawake mumeumbwaje! Utani tu kama huo eti jidada limemaind, kama sio upumbavu ni nini? Kwani ulijua may be hadhira itafikiria kuwa something happened really? Kua basi, jaribu kukua, kuwa mtu mzima basi

Pia ujifunze kuwa mwanaume hajibiwi kikejeli na kijinga namna hiyo, na bila shaka hujaolewa mpaka sasa, kazi kukesha kwenye jukwaa la love connect na IDs tofauti

Ningekuwa karibu yako ningekutandika ngumi ya uso mpaka komwe limee![emoji35] Shwain! Au ningekuchapa viboko 20 hadharani ukiwa mtupu huku nikiyamwagia maji na mdundo pembezoni wa amelowa! Eti "heshima ni kitu cha bure" Huna akili

Rejea matokeo ya takwimu za sensa ujue idadi ya wanaume tuko wangapi! Na kama nikibaini kuwa wewe ni huyu mke wangu, jua kabisa ndoa huna, maake mke wangu amepatwa na hasira ghafla ndani ya nusu saa zilizopita! Tumpf sana wewe! Tafuta mume [emoji35]

Eti mzabzab mkeo kawaje huyu? [emoji28]
 
Usiwege unamind vitu ambavyo havina maana, sasa unapanic kwenye IDs fake, kwani kuna mtu anakufahamu humu? Hivi ukoje wewe? Shwain! Sijui wanawake mumeumbwaje! Utani tu kama huo eti jidada limemaind, kama sio upumbavu ni nini? Kwani ulijua may be hadhira itafikiria kuwa something happened really? Kua basi, jaribu kukua, kuwa mtu mzima basi

Pia ujifunze kuwa mwanaume hajibiwi kikejeli na kijinga namna hiyo, na bila shaka hujaolewa mpaka sasa, kazi kukesha kwenye jukwaa la love connect na IDs tofauti

Ningekuwa karibu yako ningekutandika ngumi ya uso mpaka komwe limee![emoji35] Shwain! Au ningekuchapa viboko 20 hadharani ukiwa mtupu huku nikiyamwagia maji na mdundo pembezoni wa amelowa! Eti "heshima ni kitu cha bure" Huna akili

Rejea matokeo ya takwimu za sensa ujue idadi ya wanaume tuko wangapi! Na kama nikibaini kuwa wewe ni huyu mke wangu, jua kabisa ndoa huna, maake mke wangu amepatwa na hasira ghafla ndani ya nusu saa zilizopita! Tumpf sana wewe! Tafuta mume [emoji35]

Eti mzabzab mkeo kawaje huyu? [emoji28]
Huyo mdada umemkosea sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hata sio mkoani ni Dar mbezi luis tena nimechukua logde ya Elfu 25 asubuhi na mapema nataka niwahi bus maji hayatoki!,ni mwendo wa kuchamba na soksi sikupiga hata mswaki ni bora hata ningelala tu stendi!
Kwa hiyo ulikunya na kuchambia soksi zako halafu ukazibeba kwenye begi ili ukifika safari ukazifue uvae tena?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Iyo Moro town mida Kama mbili nanusi flani usiku,jamaa kaipita na demu wake hajatupa salamu,kaumita muhudumu kazama ndani,
Mara anatoka mwamba ndani anatolea maelekezo muhudumu kuwa anakuja on time.nikaisi watakuwa wameshindana Mambo ya bei kumbe kaenda kununua condoo,Mimi fasta kagongewa demu kagungua vipi panalika akaza kujipindapinda Nini nikafika dau kaamishwa demu kaingizwa kwenye room yangu fungal mlango kwa njee,jamaa kapita kufika geto Hamna kitu kaaza kutukana Sana,miksa kutishia maisha ya raia alichukuwa demu wake,watu tupo kinywaa kumbee jamaa pale ni kitani kwao kabsa.alizungua mpaka mida mibovu miksa kuambia jamaa wa lodge amrudishie ela yake nae muhudumu kakaza,baada ya kuone kerro badhi ya wapangaji waktoka kumchapa vibao akaona siyo kesi akawa mpole tuu na kuondoka Mimi mda ya saa Tano chakat a mbususu kwelikweli mpaka kunakucha.jamaa ya lodge asubuhi namtoa chick akasema Kama jamaa angejuwa kuwa Yuko kwako ungenua shida Sana,sababu dogo ni home boy kabsa pande zile,nikaona isiwe tabu nibadili na lodge.Ogopa bardi ubakini.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Simanjiro hapo kulikua na lodge moja tu inaitwa bhalingas na ilikua na vyumba vinne kimoja anaishi DAS vitatu ndo vinapangishwa maji unaletewa kwa ndoo. ukikuta vimejaa unapelekwa stendi kuna lodge ina viblanket flani vya draft vitanda vya chuma kunguni kama wote maji ya kuoga mnachota kwenye pipa hilo bakuli sasa wamasai wanapigia mpaka mswaki wanalirudisha kwenye pipa
 
Usiwege unamind vitu ambavyo havina maana, sasa unapanic kwenye IDs fake, kwani kuna mtu anakufahamu humu? Hivi ukoje wewe? Shwain! Sijui wanawake mumeumbwaje! Utani tu kama huo eti jidada limemaind, kama sio upumbavu ni nini? Kwani ulijua may be hadhira itafikiria kuwa something happened really? Kua basi, jaribu kukua, kuwa mtu mzima basi

Pia ujifunze kuwa mwanaume hajibiwi kikejeli na kijinga namna hiyo, na bila shaka hujaolewa mpaka sasa, kazi kukesha kwenye jukwaa la love connect na IDs tofauti

Ningekuwa karibu yako ningekutandika ngumi ya uso mpaka komwe limee![emoji35] Shwain! Au ningekuchapa viboko 20 hadharani ukiwa mtupu huku nikiyamwagia maji na mdundo pembezoni wa amelowa! Eti "heshima ni kitu cha bure" Huna akili

Rejea matokeo ya takwimu za sensa ujue idadi ya wanaume tuko wangapi! Na kama nikibaini kuwa wewe ni huyu mke wangu, jua kabisa ndoa huna, maake mke wangu amepatwa na hasira ghafla ndani ya nusu saa zilizopita! Tumpf sana wewe! Tafuta mume [emoji35]

Eti mzabzab mkeo kawaje huyu? [emoji28]

Umekosea sana, kama mtu hataki utani na wewe Kwani lazima?
 
Nimelala katika Hoteli kabisaa(siitaji), iko Dodoma.
Saa 7 usiku nasikia kuna bibie analalamika kwa uchungu na raha kwa pamoja, nikasituka.
Kumbe kuna lijamaa linaguna chumba cha pili, na linagegeda kwa nguvu na yeye mwenyewe anagumia kwa butamu.
Kwa risaa rizima niripata ritaabu sana!!!
Oya sio Morning Star hiyo?
 
Mataulo watu wanafutia mabao[emoji3][emoji3]na wahudumu wa kibongo sijui uwa wakoje yaani kumpa mtu huduma nzuri ni mpaka wafokewe, kukubadilishia mashuka/ taulo ni mpaka waambiwe
Tena bora hata mashuka na mataulo wengi wanajitahidi kufua ila mabranketi mteja akitoka linaanikwa tu juani ili jasho likauke na ile harufu ipungue then linakunjwa na kurudishwa kitandani
 
Back
Top Bottom