Mikasa/vituko vya lodge

Dah, Inyonga Guest gani hiyo? Umenikumbusha mbali sana hapo Inyonga.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah sio powa mjuba nimecheka mpk mbavu zinauma
 
Sio kyoro ? Ndo lodge ya Bei hio ipo karb na stand kuu !!!

Mkuu ulifeli Sana, ungemstua mhudumu angekuletea maji na ndoo ungenawa vzr ? Soksi ? Dah, uchafu wa Hali ya juu !!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu kyoro mbona iko vzur sana nishanyandua sana totoz apo
 
Wewe jamaa dishi limeyumba?

Rudi ulipomtag huyo mdada na uone tukio gani lilikuwa linajadiliwa. Binafsi huyo dada umemzalilisha.

Kutumia ID fake isiwe sababu ya kudharirishana. Mods wapo wapi?
 
Jana bhna nilienda guest fulani uku Mbeya nanenene mule ndani duh katika harakati wacha nivunje kitanda nimekimbia kimya kimya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umespit the bitter truth na huo ndio uanaume. Humu JF kuna majamaa yanafeli saaana.

Unaweza kuta mada inaanzishwa watu wanachangia then ghafla watu wakiona ID flani ya kike imecomment hata ujinga ujinga tu watu wanaanza kumchatisha ujinga ujinga tu nje ya mada husika. Unakuta thread ina macomments meeeengi yote wanachat ujinga tu tena nje ya mada. Inaboa.
 
Mmh[emoji848] Hivi uko sawa kweli kiakili na kiafya? Nisije kuwa nazungumza na mtu ambaye ametoka kuachwa siku chache zilizopita

Na utaachika sana tu, jaribu kurekebisha mdomo, akili na vidole unavyotypia.
Maisha ya JF ya ajabu usikute wewe ni bodaboda upo kijiweni unaiga miayo na unaemtukana ni afisa wa shirika fulani
 
Kama uzi wa kimasikhara kuna raia nazo zinachatisha wanawake tu wakitegemea kimasikhara
 
Hii tabia uwa inani boa sana yani uwa natoka kwenye hio thread mda huo huo
 
Maisha ya jf ya ajabu usikute wewe ni bodaboda upo kijiweni unaiga miayo na unaemtukana ni afisa wa shirika fulani
Ndg kwani boda sio kazi rasmi ? Si mtu anapata kipato Tena halali ? Si Bora kuliko kushinda vijiweni kubishana Simba na yanga kutwa nzima ?

Watz Kuna Namna tunavyoichukulia hii kazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…