Yuko jammaa yangu mchaga alimchukua demu pisi hasa ambàko lilikua limemzunguusha jamaa kwa kitambo kirefu. Basi siku ya siku jamaa akakubaliwa na kumpeleka bibie lodge.
Kufika ndani baada ya romance ya hapa na pale jamaa akamvua nguo mdada ambaye alikua amelowa huko chini barabara. Jamaa baada ya kuvua boxer abdalakichwawazi akagoma kusimama kwa miguu yake. Binti alijaribu kila mbinu kuuamsha abdala lkn wapi. Binti akaanza kumsema jamaa kwamba, kumbe wewe hanidhi kwanini unanipotezea muda. Binti huyo kavaa nguo zake na kuondoka akimuacha jamaa amejiinamia.
Jamaa baada ya kutoka pale kituo Cha kwanza Ni mtaa wa Sudan kwa wahaya kutest mtambo wake. Cha ajabu yule mhaya kupandisha sketi tu, (wahaya huwa hawavui nguo zote) abdala alikua amesimama imara tayari kwa mashambulizi ya puchi.