Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Nimelala katika Hoteli kabisaa(siitaji), iko Dodoma. Saa 7 usiku nasikia kuna bibie analalamika kwa uchungu na raha kwa pamoja, nikasituka.

Kumbe huko ndani kuna lijamaa linaguna chumba cha pili, na linagegeda kwa nguvu na yeye mwenyewe anagumia kwa butamu.

Kwa risaa rizima niripata ritaabu sana!!!
 
Dodoma ilikuwa kipindi cha kuanza bunge baada ya uchaguzi, lodge mji mzima zimejaa.

Nilikuja pata lodge saa 6 usiku kuingia bafuni nakuta kimba linaelea, shuka zina unyevu nyevu, kumuuliza muhudumu anadai chumba kimetoka kusafishwa, baada ya vurumai nilirudishiwa pesa yangu. Niliishia kulala kwenye gari mpaka kunapambazuka.

Iringa nilikutana na bonge la tangazo marufuku kwa wasiokuwa wanandoa kulala pamoja. Ukienda na mwanamke sharti uwe na cheti cha ndoa. Niligeuza kutafuta sehemu nyingine, kwa baridi ile sikutaka take chances za kulala mwenyewe.

Cha ajabu nilikuja gundua kuwa ile lodge ilikuwa maarufu kwa mashoga maana hawahoji wanaume kulala pamoja lakini wana tatizo na mwanamke na mwanaume.

Iringa huko huko tulikuja gongewa na mapolisi. Wanatafuta wahamiaji haramu, nilikuwa na mwenyeji wangu tuliokutana usiku huo huo tu. Kuhofia wizi begi langu lenye vitambulisho vyote nilimpa mwenzangu ambae alilala lodge nyingine.

Na rangi yangu si rafiki sana kuepusha shaka ya uraia wangu (kwa mujibu wa mapolisi)mbaya zaidi moja ya mapolisi alikuwa anamjua yule dada na shughuli zake.

Polisi kuniuliza jina la mwenzangu nikabwatuka tu Mary na demu akajibu jina lingine muda huo huo (Hata jina lake nilikuwa silijui).

Siku hiyo niliamini mizimu ipo. Nilipoulizwa jina langu nilitaja jina la ukoo, ghafla mkuu wa wale polisi akakurupuka kuwa anamjua mzee wangu (mzee nishazika miaka mingi iliyopita) alijichanganya tu, na hiyo ndio ikawa pona yangu.

Sumbawanga vijijini nililala lodge usiku mzima kulikuwa na kelele za mapaka hasa ukizima taa. Nilikesha mpaka panapambazuka.

Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa.

Tena topic za ajabu kama vile utanifanya mara ngapi, utanioa, mbona mbupu zako ndefu, hii ikiwa ni saa 7 za usiku tena kwa kelele. Ilibidi saa 11 asubuhi ninyate nikimbie fedheha toka kwa wa vyumba vya jirani waliosikia, kufika mapokezi jamaa ananicheka mpaka kuanguka kumbe alikuwa akisikia ile mikelele.

Stori za lodge zipo nyingi mno nilizokutana nazo. Nimechoka kuandika.
 
1. Demu wangu kaniambia anakuja. Hua sipendi kuleta wanawake geto. Nikaenda mtaa wa tatu kuna lodge nikachagua chumba kizuri kabisa, nikakikagua kiko safi, nikakilipia nikaondoka nikawaambia ntarudi baadae. Saa hiyo ilikua kwenye saa tisa.

Mida ya saa 1 usiku demu kanipigia amefika, nikamfuata tukaelekea lodge. Kuingia chumbani tunakaribishwa na kitanda kimevurugika, makasha ya condom sakafuni na condom used!

Aisee demu alikua mbogo ananiambia ina maana ulikua na mwanamke mwingine humu. Ilikua mshike mshike. Demu akasepa usiku ule ule.

2. Niko na demu tumeenda loji usiku, tukakuta jamaa wawili. Kuulizia chumba jamaa wakaangaliana, mmoja akamwambia mwingine "wape namba 12". Tukaingia. Ile tumeanza purukushani demu akaniambia "mbona nasikia harufu ya sigara..?" Mmh.. mi siskii chochote. Nikaenda dirishani nikakuta dirisha moja kitasa kibovu halifungi.

Nikalirudishia. Dakika 10 nyingi demu ananiambia tena "nasikia harufu ya sigara.. mi sipatani na sigara kabisa..!" Nikanyanyuka tena, kwenda dirishani nakuta dirisha lipo wazi. Kucheki vizuri naona jamaa limechuchumaa kwa chini ya dirisha.

3. Kuna hoteli moja ipo hapo dar (jina kapuni) karibu na kituo kikuu cha mabasi cha zamani. Hii hoteli ina balcony ambazo milango yake ni aluminium na vioo na haina pazia milangoni. Changamoto yake ni kwamba hoteli hii iko muundo wa "L". Kwakua ina madirisha makubwa ya aluminium, kuna baadhi ya vyumba ukiangalia dirishani unaona vizuri kabisa ndani ya chumba kilichopo upande wa pili kupitia mlango huo wa kioo. Tena unaona kitandani!! Pia unapata view nzuri kabisa ya chumba kilichopo floor moja chini. Ni shida.

Dodoma ilikuwa kipindi cha kuanza bunge baada ya uchaguzi, lodge mji mzima zimejaa. Nilikuja pata lodge saa 6 usiku kuingia bafuni nakuta kimba linaelea, shuka zina unyevu nyevu, kumuuliza muhudumu anadai chumba kimetoka kusafishwa, baada ya vurumai nilirudishiwa pesa yangu. Niliishia kulala kwenye gari mpaka kunapambazuka.

Iringa nilikutana na bonge la tangazo marufuku kwa wasiokuwa wanandoa kulala pamoja. Ukienda na mwanamke sharti uwe na cheti cha ndoa. Niligeuza kutafuta sehemu nyingine, kwa baridi ile sikutaka take chances za kulala mwenyewe. Cha ajabu nilikuja gundua kuwa ile lodge ilikuwa maarufu kwa mashoga maana hawahoji wanaume kulala pamoja lakini wana tatizo na mwanamke na mwanaume.

Iringa huko huko tulikuja gongewa na mapolisi. Wanatafuta wahamiaji haramu, nilikuwa na mwenyeji wangu tuliokutana usiku huo huo tu. Kuhofiwa wizi begi langu lenye vitambulisho vyote nilimpa mwenzangu ambae alilala lodge nyingine. Na rangi yangu si rafiki sana kuepusha shaka ya uraia wangu (kwa mujibu wa mapolisi)mbaya zaidi moja ya mapolisi alikuwa anamjua yule dada na shughuli zake. Kuniuliza jina lake nikabwatuka Mary na demu kajibu jina lingine. Siku hiyo niliamini mizimu ipo. Nilitaja jina la ukoo, ghafla mkuu wa wale jamaa akakurupuka kuwa anamjua mzee wangu (mzee nishazika miaka mingi iliyopita) alijichanganya tu, na hiyo ndio ikawa pona yangu.

Sumbawanga vijijini nililala lodge usiku mzima kulikuwa na kelele za mapaka hasa ukizima taa. Nilikesha mpaka panapambazuka.

Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa. Tena topic za ajabu kama vile utanifanya mara ngapi. Ilibidi saa 11 nikimbie, kufika mapokezi jamaa ananicheka mpaka kuanguka kumbe alikuwa akisikia ile mikelele.

Stori za lodge zipo nyingi mno nilizokutana nazo. Nimechoka kuandika.
 
Siku moja nipo mkoa X nishapanga game na kidemu flani hivi, mida kama ya saa 10 hivi nikafika lodge ili niandae mazingira.

muhudumu akasema vyumba vipo sasa katika kunipeleka vyumba kuviona [emoji23][emoji23] si nikaingia Chumba watu wanakulana.

hawakufunga ata mlango na yule muhudumu alijisahau juu ya kile Chumba, aisee walishtuka sana walijua ndo wamefumaniwa, sitasahau hiyo
 
Tulivamiwa aisee sitakaa nisahau ile siku mpk leo nina phobia ya kulala hotel au lodge ambazo sio za ghorofani,yani nahisi ghorofani nipo safe. Hilo tukio lilitufanya tusiachane mpka leo.

ilikuwaje?
 
Siku moja nipo mkoa X nishapanga game na kidemu flani hivi.. mida kama ya saa 10 hivi nikafika lodge ili niandae mazingira..

muhudumu akasema vyumba vipo sasa katika kunipeleka vyumba kuviona [emoji23][emoji23] si nikaingia Chumba watu wanakulana.

hawakufunga ata mlango na yule muhudumu alijisahau juu ya kile Chumba, aisee walishtuka sana walijua ndo wamefumaniwa.. sitasahau hiyo
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Dah hao watu mngewaua kwa presha kudhani wamefumaniwa
 
Dodoma ilikuwa kipindi cha kuanza bunge baada ya uchaguzi, lodge mji mzima zimejaa. Nilikuja pata lodge saa 6 usiku kuingia bafuni nakuta kimba linaelea, shuka zina unyevu nyevu, kumuuliza muhudumu anadai chumba kimetoka kusafishwa, baada ya vurumai nilirudishiwa pesa yangu. Niliishia kulala kwenye gari mpaka kunapambazuka.

Iringa nilikutana na bonge la tangazo marufuku kwa wasiokuwa wanandoa kulala pamoja. Ukienda na mwanamke sharti uwe na cheti cha ndoa. Niligeuza kutafuta sehemu nyingine, kwa baridi ile sikutaka take chances za kulala mwenyewe. Cha ajabu nilikuja gundua kuwa ile lodge ilikuwa maarufu kwa mashoga maana hawahoji wanaume kulala pamoja lakini wana tatizo na mwanamke na mwanaume.

Iringa huko huko tulikuja gongewa na mapolisi. Wanatafuta wahamiaji haramu, nilikuwa na mwenyeji wangu tuliokutana usiku huo huo tu. Kuhofiwa wizi begi langu lenye vitambulisho vyote nilimpa mwenzangu ambae alilala lodge nyingine. Na rangi yangu si rafiki sana kuepusha shaka ya uraia wangu (kwa mujibu wa mapolisi)mbaya zaidi moja ya mapolisi alikuwa anamjua yule dada na shughuli zake. Kuniuliza jina lake nikabwatuka Mary na demu kajibu jina lingine. Siku hiyo niliamini mizimu ipo. Nilitaja jina la ukoo, ghafla mkuu wa wale jamaa akakurupuka kuwa anamjua mzee wangu (mzee nishazika miaka mingi iliyopita) alijichanganya tu, na hiyo ndio ikawa pona yangu.

Sumbawanga vijijini nililala lodge usiku mzima kulikuwa na kelele za mapaka hasa ukizima taa. Nilikesha mpaka panapambazuka.

Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa. Tena topic za ajabu kama vile utanifanya mara ngapi. Ilibidi saa 11 nikimbie, kufika mapokezi jamaa ananicheka mpaka kuanguka kumbe alikuwa akisikia ile mikelele.

Stori za lodge zipo nyingi mno nilizokutana nazo. Nimechoka kuandika.

Huyo dem kiziwi wa kwanza nahisi anaitwa emmy
 
Natamani siku moja niende kwenye korido za lodge nianze kuropoka "Oyaa kila siku nakuambia shemeji sio muaminifu huamini..njoo ujionee Kwa sauti! Then nasepa..najua huku nyuma naacha kivumbi!

[emoji23][emoji1487]
 
Dodoma ilikuwa kipindi cha kuanza bunge baada ya uchaguzi, lodge mji mzima zimejaa. Nilikuja pata lodge saa 6 usiku kuingia bafuni nakuta kimba linaelea, shuka zina unyevu nyevu, kumuuliza muhudumu anadai chumba kimetoka kusafishwa, baada ya vurumai nilirudishiwa pesa yangu. Niliishia kulala kwenye gari mpaka kunapambazuka.

Iringa nilikutana na bonge la tangazo marufuku kwa wasiokuwa wanandoa kulala pamoja. Ukienda na mwanamke sharti uwe na cheti cha ndoa. Niligeuza kutafuta sehemu nyingine, kwa baridi ile sikutaka take chances za kulala mwenyewe. Cha ajabu nilikuja gundua kuwa ile lodge ilikuwa maarufu kwa mashoga maana hawahoji wanaume kulala pamoja lakini wana tatizo na mwanamke na mwanaume.

Iringa huko huko tulikuja gongewa na mapolisi. Wanatafuta wahamiaji haramu, nilikuwa na mwenyeji wangu tuliokutana usiku huo huo tu. Kuhofiwa wizi begi langu lenye vitambulisho vyote nilimpa mwenzangu ambae alilala lodge nyingine. Na rangi yangu si rafiki sana kuepusha shaka ya uraia wangu (kwa mujibu wa mapolisi)mbaya zaidi moja ya mapolisi alikuwa anamjua yule dada na shughuli zake. Kuniuliza jina lake nikabwatuka Mary na demu kajibu jina lingine. Siku hiyo niliamini mizimu ipo. Nilitaja jina la ukoo, ghafla mkuu wa wale jamaa akakurupuka kuwa anamjua mzee wangu (mzee nishazika miaka mingi iliyopita) alijichanganya tu, na hiyo ndio ikawa pona yangu.

Sumbawanga vijijini nililala lodge usiku mzima kulikuwa na kelele za mapaka hasa ukizima taa. Nilikesha mpaka panapambazuka.

Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa. Tena topic za ajabu kama vile utanifanya mara ngapi, utanioa, mbona mbupu zako ndefu, hii ikiwa ni saa 7 za usiku tena kwa kelele. Ilibidi saa 11 asubuhi ninyate nikimbie, kufika mapokezi jamaa ananicheka mpaka kuanguka kumbe alikuwa akisikia ile mikelele.

Stori za lodge zipo nyingi mno nilizokutana nazo. Nimechoka kuandika.
Eti pumbu zako ndefu
 
Back
Top Bottom