mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,258
- 22,552
Bro usidharau badoboda kabisa.mwalimu unakuta anapata laki 5, wakati bodaboda town kurudi na 40 pa day ni jambo la kawaidaSijawahi kuajiriwa na serikali na sitegemei hivyo milele na hebu nikuambie hakuna mwalimu anaepata 260000 kwa mwezi bibie,na isitoshe hakuna bodaboda mwenye maisha mazuri kumzidi mwalimu muulize hata mume wako atakueleza
Hiyo ipo mkuu unaweza sema umelogwa ..kuna dem nilitoka nalo kumbe ana pigo za kichawi yaan tuko njiani mm naliangalia huku nikijisemea leo naenda kufaidi njiani mzee kasimama mpaka tumeingia room sasa nimelivua nataka nivae ndom mzeee akasinyaaaaaa ....fanya mbwembwe zote wapi dem linanichekaYuko jammaa yangu mchaga alimchukua demu pisi hasa ambàko lilikua limemzunguusha jamaa kwa kitambo kirefu. Basi siku ya siku jamaa akakubaliwa na kumpeleka bibie lodge.
Kufika ndani baada ya romance ya hapa na pale jamaa akamvua nguo mdada ambaye alikua amelowa huko chini barabara. Jamaa baada ya kuvua boxer abdalakichwawazi akagoma kusimama kwa miguu yake. Binti alijaribu kila mbinu kuuamsha abdala lkn wapi. Binti akaanza kumsema jamaa kwamba, kumbe wewe hanidhi kwanini unanipotezea muda. Binti huyo kavaa nguo zake na kuondoka akimuacha jamaa amejiinamia.
Jamaa baada ya kutoka pale kituo Cha kwanza Ni mtaa wa Sudan kwa wahaya kutest mtambo wake. Cha ajabu yule mhaya kupandisha sketi tu, (wahaya huwa hawavui nguo zote) abdala alikua amesimama imara tayari kwa mashambulizi ya puchi.
Wanaume TUNAPITIA.....Hiyo ipo mkuu unaweza sema umelogwa ..kuna dem nilitoka nalo kumbe ana pigo za kichawi yaan tuko njiani mm naliangalia huku nikijisemea leo naenda kufaidi njiani mzee kasimama mpaka tumeingia room sasa nimelivua nataka nivae ndom mzeee akasinyaaaaaa ....fanya mbwembwe zote wapi dem linanicheka
Mamaae niliaibika siku ile nikatupa ten kitandani nikasepa moja kwa moja home kufika tu kwa wife nikamuita room mzee akasimama na nikapiga shoo ya maaana .
Kuja kulidadisi sana likaniambia ww acha ufara nilitaka kula hela yako bure tu ..tangu siku hiyo nimeacha umalaya nisije leta mikosi nyumbani.
Itakuwa hiyohiyo,,,,,,,,kumbe lile chimbo ni maarufu.Nane nane guest ni moja tu mtaa wa Pepsi nafikiri ndipo ulipoenda hapo karibu na Banda la TANAPA.
Umenikumbush mbali Sana, zile gesti za Kakola nje kidogo ya KMCL wazungu wanakwenda gesti na shuka zao maana hizo shuka za gesti zinatumiwa na watu Mia kabla ya kufuliwa. Halafu unajua kule bara bila MTU kupiga katerero anaona pesa yake imeenda bure.Hili sitasahau. Miaka ya 2012 nilienda kakora nyangalata kwenye maeneo ya machimbo na gari la biashara/mizigo. Palikuwa pamechangamka sana hasa walevi na malaya.
Usiku huo huo nimelala kwenye gest ya ajabu, vyumba vimetenganishwa na majamvi na maturubai, jamaa anapiga show za fujo chumba cha pili. Mara wakaangukia partition yangu mazima wako uchi wa mnyama jamaa bado imo! Siwez kusahau!
Tell herSijawahi kuajiriwa na serikali na sitegemei hivyo milele na hebu nikuambie hakuna mwalimu anaepata 260000 kwa mwezi bibie,na isitoshe hakuna bodaboda mwenye maisha mazuri kumzidi mwalimu muulize hata mume wako atakueleza
Nunua iyo boda then uache kazi uingie roadBro usidharau badoboda kabisa.mwalimu unakuta anapata laki 5, wakati bodaboda town kurudi na 40 pa day ni jambo la kawaida
Wanaongea kiwepesi sana hawa watoto wanaokaa kwa wazazi wao na hesabu zao za kufikirika mimi nawajua washkaji kama watatu hivi ambao walikuwa bodaboda tena center kabisa ila walipopata ajira za ualimu serikalini wote waliacha pikipiki na kwenda darasani kushika chaki,na wanawekeza kweli kwenye kilimo na ufugaji kitu ambacho bodaboda hawezi kufanyaNunua iyo boda then uache kazi uingie road
Vitoto vijinga ivyoWanaongea kiwepesi sana hawa watoto wanaokaa kwa wazazi wao na hesabu zao za kufikirika mimi nawajua washkaji kama watatu hivi ambao walikuwa bodaboda tena center kabisa ila walipopata ajira za ualimu serikalini wote waliacha pikipiki na kwenda darasani kushika chaki,na wanawekeza kweli kwenye kilimo na ufugaji kitu ambacho bodaboda hawezi kufanya
Watu wa Manyara tupeni uzoefu wenu hapaWanaume TUNAPITIA.....
We acha tu. Kuna wengine ukilala nao hata Kama dili la hela lilibakia kuingiziwa kwenye akaunt au kupewa cheki. Dili linayeyuka ghafla. Kuna wengine hasa wanawake wa mkoa wa Manyara, Kama sio mkeo, ukigonga tu utahesabu mabalaa hata kazini unachukiwa Hadi kutemwa.
Katerero ni kipaji cha wahaya na waganda/wanyaru, sio kila mwenye sehem za siri mkuu. Sema kusquirt wamejaliwa kila pande za dunia.Umenikumbush mbali Sana, zile gesti za Kakola nje kidogo ya KMCL wazungu wanakwenda gesti na shuka zao maana hizo shuka za gesti zinatumiwa na watu Mia kabla ya kufuliwa. Halafu unajua kule bara bila MTU kupiga katerero anaona pesa yake imeenda bure.
My friend nielekeze kwenye hizo show za hao madem. Sidhani Kama wanachaji zaidi ya laki. Mombasa nilishaona hayo Mambo kwenye club, sikujua kwamba huu utamu uko Dar.Katerero ni kipaji cha wahaya na waganda/wanyaru, sio kila mwenye sehem za siri mkuu. Sema kusquirt wamejaliwa kila pande za dunia.
Ila yale maisha kama u msomi na mcha Mungu sio kabsa.
kama movie ya from dust till down!
Had choo na pa kuogea hakuna.
nilichofaidi Yule bwana wa kinyantuzu alikuwa na nguvu sana kias kwamba licha ya kuangukia chumba changu hakuchomoa hata kunitaka radhi hadi akakojoa.
Nilikuwa excited na kuathirika kias kwamba hadi leo nafurahia zaid kushuhudia binadam wakifanyana kuliko kuchosha viungo vyangu.
Bahat nzuri nimeshakuja dar nimekuta kuna huduma ya akina dada kusagana mbele yako unaenjoy miguno na ufundi. Ni maendeleo kwakweli ya kisekta!
...PLEASE, DON'T TAKE LIFE TOO SERIOUSLY..
..... LIVE RESPONSIBLY!
Hahaaaa, nimejiexpose sioMkuu mbona kama nakufahamu?
Aisee kwa hiyo bajet subiri kwanza.My friend nielekeze kwenye hizo show za hao madem. Sidhani Kama wanachaji zaidi ya laki. Mombasa nilishaona hayo Mambo kwenye club, sikujua kwamba huu utamu uko Dar.
Yani wewe una enjoy zaidi kushuhudia watu wakigongana kuliko wewe kugonga basi hauna muda mrefu uta enjoy kugongwa wewe.Aisee kwa hiyo bajet subiri kwanza.
Nilipelekwa na mwenyeji anayeishi dar kama sinaloa.
Kwanza pisi zenyewe ni kali sana na zinadangia had arabuni, turkey, south africa, malaysia na thailand.
Pili wao wanalipia wenyewe hotel kali unapowakuta .
Tatu hata ukiwaangalia bure lakin gharama za pombe zile na madikodiko utaoigwa mzigo kimo cha mwaka wa fedha. Ndo nikajulia na keki yenye stimu!
Nne wateja wao ni connection za watumia dolale na ruble.
Kwakweli, nilichoma zaid ya milio, sikuli mzigo lakin nilienjoy bila hofu ya UTI.
Lakin usijar nitaulizia penye bei ya GDP ya tz. Unaweza kuendelea na riverside for the time being
Ndo hivyo tunatofautiana. Na umri wang ni wa kuenjoy nikiwa nazo sio kuchoshana kuridhisha watu.Yani wewe una enjoy zaidi kushuhudia watu wakigongana kuliko wewe kugonga basi hauna muda mrefu uta enjoy kugongwa wewe.
Ulikuwa kwa chunile nini.hawakukuwekea kinyo
Ndo hivyo tunatofautiana. Na umri wang ni wa kuenjoy nikiwa nazo sio kuchoshana kuridhisha watu.
Yaani unamsema huyo mwalimu ambaye kujenga nyumba yake mwenewe ni hadi akope ......? [emoji16][emoji16] naona hujakutana na boda boda wanao jielewaSijawahi kuajiriwa na serikali na sitegemei hivyo milele na hebu nikuambie hakuna mwalimu anaepata 260000 kwa mwezi bibie,na isitoshe hakuna bodaboda mwenye maisha mazuri kumzidi mwalimu muulize hata mume wako atakueleza