Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Shusheni visa na mikasa ,,,,,, !!!!!


Towels za lodge/hotels/Gest sio Salama Sana, zinatumika kufutia mabao, kujikaushia mtu ukioga, sio wote wanazifua vizuri ya madawa na maji ya Moto ! Je huwa unazitumia ? Au unatumia mashuka ? Foronya ?
 
Shusheni visa na mikasa ,,,,,, !!!!!


Towels za lodge/hotels/Gest sio Salama Sana, zinatumika kufutia mabao, kujikaushia mtu ukioga, sio wote wanazifua vizuri ya madawa na maji ya Moto ! Je huwa unazitumia ? Au unatumia mashuka ? Foronya ?
Umenikumbusha demu wangu mmoja kila tukienda lodge alikua hajifutii taulo badala yake alikua akikanyagia miguu na kusafishia viatu akijiandaa kutoka.

Hadi nw imekua tabia yangu nikienda lodge taulo nafutia viatu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mwanza nilifikia hotel moja mjini pale floor ya pili, kwa chini kuna bar , nikaenda nikapata demu muhudumu pale, kumbe mtu wa jikoni ni mtu wake.
Demu walivofunga akaja kwangu, watu wakamsanua mwana...ulikua ni shida hio siku.
mtu wa jikoni hakuja na panga la kukatia nyama kweli?[emoji2]
 
Yaani unamsema huyo mwalimu ambaye kujenga nyumba yake mwenewe ni hadi akope ......? [emoji16][emoji16] naona hujakutana na boda boda wanao jielewa
Acha uongo wengine tumeendesha bodaboda kabla ya kuja kwenye ualimu, kwenye bodaboda sikuwahi kuendelea kwa chochote maana hata hiyo 20,000 sio kwamba ni consistency unaipata kila siku, mwalm anaejielewa anaweza kufanya vizuri zaidi, wapo walimu wanaomiliki hizo pikipiki na kuwapa vijana waendeshe, usidanganye watu wazima
 
Back
Top Bottom