kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
- Thread starter
-
- #781
Nyeg***mbaya Sana ,alafu ukute kichwani ushaweka vitu uko vyediMuheshimu huyo mama[emoji16]
Alipata na supu asubuhi kiukweli.Muheshimu huyo mama[emoji16]
Achaaa kabsa,ni vile tuu.Nyeg***mbaya Sana ,alafu ukute kichwani ushaweka vitu uko vyedi
Kimekosewa Nini hapo na wewe domokaya!Kuandika mtihan
Yes nipo serius mkuuMkuu upo serious? Kujiunga na kijiwe chao inabidi ulipie 4 million as an entering fee?
Sasa ukiwa umesafiri peke yako utafanyaje?,Je,utatafuta Mwanaume wa kulala nae?.Mi pia naogopa sana kulala Lodge mwenyewe niliwahi kulala Lodge asubuhi niwahi bus, usiku kama saa nane hivi nasikia mtu yupo busy anaingiza funguo na kuzungusha kitasa niliogopa, bahati nzuri nilifunga sikuchomoa funguo, nikapiga simu reception eti nikaambiwa ni mlinzi anakagua vyumba visivyo na watu mxyuuuuu saa nane usiku tena giza, yani huwa nawaza angefungua sijui nini kingetokea [emoji17][emoji17][emoji17] silali lodge peke angu tena
Nchi hii tuna vijana wa hivyo sana.Mimi niliachia kimba juu ya kitanda baada ya mhudumu kunitolea nje nisimle [emoji2][emoji2][emoji2]
Na wanakuambia kuwa hiyo hela yako ukikaza ni ndani ya miezi miwili imerudi ukilegeza ni miezi mitatu hadi minneHiko kijiwe cha bodaboda kujiunga milioni nne kipo wapi bongo hii nataka kujiunga. Watakuwa wanasafirisha alien sio watu.
Kipo wapi kijiwe hiko mzeeNa wanakuambia kuwa hiyo hela yako ukikaza ni ndani ya miezi miwili imerudi ukilegeza ni miezi mitatu hadi minne
Kwanini mwanaume na sio mwanamke??Sasa ukiwa umesafiri peke yako utafanyaje?,Je,utatafuta Mwanaume wa kulala nae?.
Kwahiyo nawe ulikuwa unaunganishwa kwenye umeme wa mkato[emoji16]Nyeg***mbaya Sana ,alafu ukute kichwani ushaweka vitu uko vyedi
Hapo sawa.
Hapana mkuuKwahiyo nawe ulikuwa unaunganishwa kwenye umeme wa mkato[emoji16]
Akikujibu nitagSasa ukiwa umesafiri peke yako utafanyaje?,Je,utatafuta Mwanaume wa kulala nae?.
Mulemule Mzee.. Durban Kwa juu kidooogo hahaaaaaa
Wewe mbuzi dili na huyo huyo achana na mm nitakupoteza ndani ya siku 2 alafu nikuweke hapa jukwaani...!! Utoamini.
Zina kunguni ? [emoji1]Guest za buguruni [emoji119]
Huyu asibishe mwalim hauwezi kumlinganisha na bodaboda mtumishi ni mtumishi tu ukitulia unatoboa kiulaini Mimi hapa ni mwalim nimeendesha boda miaka 2 jioni baada ya kazi mpaka Niti Kali Sasa naendesha tax mwaka, huku unapata pesa lakini matumizi ni makubwa ya kujihudumia na chombo Kwa hiyo maendeleo Kwa kutegemea boda au tax ni kidogo labda uwe unapiga madili tofauti huyo dada aheshimu kazi za watu maisha mazuri ni mipango ya mtu.Usiongee nadharia tu waulize hao bodaboda hilo swali la kati ya kuwa walimu na kuwa bodaboda bora kipi? Niliwahi kuishi kijiji fulani hivi nikazoeana na mwalimu mmoja wa sekondar ni mpambanaji sana ana ng'ombe kama 20,ana canter,shamba la mikorosho kama heka 15 na ukisikia mtu anashamba heka 15 huyo mapato sio ya msimu ya korosho sio ya kitoto ila bado anafundisha mbali na kuwa na vyote hivyo
Haha mkuu ,ukawa umenasa kwa penzi la popo bawa[emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]