Mikasa/vituko vya lodge

Morogoro nimesha wahi lala Lodge flani asubuhi nakutana na wahudumu wanashangaa wateja walio kuwa wameingia kupeana raha wamevunja tendego la kitanda kilicho tengenezwa kwa mti wa mninga.... It was amazing for sure.... [emoji1787]
 
Kosa ulishafanya
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimeshindwa kuvumilia
 
Ukifuatlia baadhi ya mikasa unaona bora uandike jina la uongo mingine inakushawishi uandike jina la halisi basi tafrani, imagine umeandika jina halisi halafu demu kazima?
Dah,,,, akizima Ni hatari Sana ! Mm naona kuandika jina halisi may be umesafiri kikazi, upo mkoa tofauti na unaoishi ! Na ikitokea umeopoa make sure humlazi humo mpk asbh,,,, ukishajijazia minyama mtoe usiku huo huo !

Ila zile umeenda kupasha tu na kurudi around huo huo mkoa unaoishi usiandike majina halisi,,, alafu kwa nn ulale nae Hadi asbh ? Piga pita hivi sio mkeo huyo !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…