Mikasa/vituko vya lodge

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dem kiziwi noma sana dah!
 
Ukifuatlia baadhi ya mikasa unaona bora uandike jina la uongo mingine inakushawishi uandike jina la halisi basi tafrani, imagine umeandika jina halisi halafu demu kazima?
Kwahiyo akizima unamkimbia??
 
Ubaki ufanye nini? Anyway now naandika jina langu halisi kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Unaweza usiandike kabisa,kwani mtanyimwa room?
 
Ubaki ufanye nini? Anyway now naandika jina langu halisi kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Unaweza usiandike kabisa,kwani mtanyimwa room?
 
Yesu wangu nimecheka hapo kwenye kiziwi🤣🤣🤣🤣🤣,wanaume mna kazi🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwaka 2012 niliwahi enda gest maeneo ya kwa msugur na jimaa flan mmewe dereva wa masafa marefu jimaa la maana wkati nakula mzigo tukajikuta tupo chini tumeshuka na chaga sitasahau pale kwa msugur karbu na bochi lile zigo ikawa nalilia kwenye majumba mabov
 
Ulienda na zigo la kuvunja chaga.

#MaendeleoHayanaChama
 
Msoma ilikiwa 2013 nimeshuka usiku kama saa 6 hivi kutafuta lodge nyingi zimejaa, nikabahatisha moja nikalipia naingia kumbe choo kimejaa mzigo unafulimia juu daah nilikunya mtaloni siku hiyo stasahahu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…