Mikasa/vituko vya lodge

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapo ulipoambiwa jiandae kwa lolote ulijisikiaje mkuu,,,, [emoji2]
 
Kuna kipindi nilifanya kazi iliyonifanya nisafiri karibu wilaya 50 za Tanzania. Hapa ndio nilijifunza usafi na uchafu wa lodge.

Maeneo yenye baridi sana kama makete,njombe,mafinga,mbeya,iringa na nk usafir huwa duni sana msimu wa baridi. So hapo nilijifunza kama napack begi chakwanza taulo, shuka, mswaki, dawa ya meno, shuka la kimasai ndio zinafuata nguo na vingne.
 
Sio neema lodge hio ? Room Bei gani ?
 
Towel,,, shuka, blancket sio vya kutumia Mara uendapo lodge/guest house hususan huko wilayan ndan ndan !! May be hotelini walau mazingira Ni ya kuridhisha !
 
Kuna siku niko nagegeda afu nimeweka play list songs kwenye pc,mara naskia umeingia wimbo wa dini,shoo ikaishia apo[emoji23][emoji174]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni kalii
 
Sasa mimi nitoke kwangu niende lodge nikafanye nini? Yaaani hapa hapa dar nilipie lodge nikacheke tu no way,
Note mimi sizungumzii wale wa kusafiri inter-region
Kuna watu wanaenda lodge kupumzika au kufanya kazi zake muhimu..hata kama anaishi maneno ya karibu,kuna watu mazingira ya nyumbani sio rafiki Kwa namna moja au nyingine.
 
Nimechoka kidala her mbona mbupu zako ndefu ,[emoji23][emoji23][emoji23]
 
huyu maningu ni kukosa Tu connection Ila angeweza kucheza hata ligi kuu, maana ni striker haswaa na analijua goli, anaweza kufunga kila nafas anayopata,Cha kuhuzunisha umri umemuacha kabla hajatoka.

Nimemfundisha miaka ya nyuma akiwa sumve chuo cha afya, na Sisi tulikua na kituo cha soka hapo
 
Ndio hivo connection yake sio kubwa ila kwa hizi timu ndogo polisi,ihefu angecheza vzr tu...Kuna mwenzie Malulu naona sahiv kaishia pamba tu ingawa alicheza ligi kuu kidogo akiwa Stand ya Shy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…