Mikasa/vituko vya lodge

Ntakuwa naharibu biashara ya watu mkuu, lodge nyingi wapo hivyo lakin, sawa komando wa Yanga [emoji23][emoji23]

Oya mimi sio huyo mwamba hapo
Huyo jamaa alinifurahisha alipomnanga hersi kwamba wao wala mihogo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu vipi uliwala bureee?
 
Naomba adha hii isije nikuta kwani Mara kadhaa huwa ninasafiri na watoto wangu...
Mara nyingi ninachuaga best ambazo angalau Zina Bei juu, na hazijazungukwa na baa.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wewe ulianzisha huu uzi utachomwa na uji wa lava *****[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€sitakuwepo siku hiyo
 
Mkuu hata piemu nitupie jina acha uchoyo
 
hii imebid nicoment nimeshindwa kuvumilia kicheko[emoji23][emoji23][emoji23]
 
noma
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naona customer care unazipa promo guest zako za Ruangwa kwa kutumia ID mbili mbili. Moja unajiuliza swali, nyingine unajijibu.
Bro jaribu kunifatilia comments zangu kwenye majukwaa mbali mbali mi sio customer care wa mahali popote na niwe na ID mbili zinisaidie nini,sijapenda comment yako....Anyways Karibu Ruangwa
 
Bro jaribu kunifatilia comments zangu kwenye majukwaa mbali mbali mi sio customer care wa mahali popote na niwe na ID mbili zinisaidie nini,sijapenda comment yako....Anyways Karibu Ruangwa
Wacha mkwara mbuzi wewe customer care. Tumekushtukia.
 
Reactions: apk
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…