Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Mwaka 2015 nilikua mjini Kahama Mkoa wa Shinyanga.
Nilifikia Lodge moja ipo jirani na sana na iliyokua Mongo Hotel.
Nilikaa na mama chanja kama wiki 2 kwenye hiyo Lodge, mwenzangu akarudi Dar mimi nikabaki hapo maana nilikua bado nina kazi ya muda mrefu.
Hiyo siku mwenzangu anasafiri tuliamka asubuhi nikampeleka stendi akapanda basi na Mimi nikaenda kijijini kwenye mradi wangu halafu jioni nikarudi tena Lodge.(chumba kile kile)
Cha kushangaza sasa nimechukua ufunguo reception naingia room nikakuta nguo zangu zimefuliwa halafu zimepangwa vizuri kwenye kiti.
Nikajiuliza maswali mawili; Nani kamtuma huyu dada wa reception anifulie nguo?
Amejuaje kutenganisha nguo safi na chafu ? maana niliziweka pamoja.
NB: sikuwahi kua na mazoea nae zaidi ya salamu na kuchukua funguo.
Kilichofuata ... Endelea sasa tumetega masikio

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Katerero ni kipaji cha wahaya na waganda/wanyaru, sio kila mwenye sehem za siri mkuu. Sema kusquirt wamejaliwa kila pande za dunia.
Ila yale maisha kama u msomi na mcha Mungu sio kabsa.
kama movie ya from dust till down!
Had choo na pa kuogea hakuna.
nilichofaidi Yule bwana wa kinyantuzu alikuwa na nguvu sana kias kwamba licha ya kuangukia chumba changu hakuchomoa hata kunitaka radhi hadi akakojoa.
Nilikuwa excited na kuathirika kias kwamba hadi leo nafurahia zaid kushuhudia binadam wakifanyana kuliko kuchosha viungo vyangu.
Bahat nzuri nimeshakuja dar nimekuta kuna huduma ya akina dada kusagana mbele yako unaenjoy miguno na ufundi. Ni maendeleo kwakweli ya kisekta!
...PLEASE, DON'T TAKE LIFE TOO SERIOUSLY..
..... LIVE RESPONSIBLY!
Kuna watu na watuu

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Aisee kwa hiyo bajet subiri kwanza.
Nilipelekwa na mwenyeji anayeishi dar kama sinaloa.
Kwanza pisi zenyewe ni kali sana na zinadangia had arabuni, turkey, south africa, malaysia na thailand.
Namaanisha ni pisi hasa bussiness class! Ila jmn bange, shisha, mirungi, fegi, pombe kali ndo tatzo.( katika hili nawaomba wazaz wa kaskazin mchunge sana binti zenu. Mna mbegu nzuri lakin ......)
Pili wao wanalipia wenyewe hotel kali unapowakuta .
Tatu hata ukiwaangalia bure lakin gharama za pombe zile na madikodiko utapigwa mzigo mlaka useme trat trab. Ndo nikajulia na keki yenye stimu!
Nne wateja wao ni connection za watumia dolale na ruble.
Kwakweli, nilichoma zaid ya milio, sikuli mzigo lakin nilienjoy bila hofu ya UTI.
Lakin usijar nitaulizia penye bei ya GDP ya tz. Unaweza kuendelea na riverside for the time being
Ukipata location uni inbox tasavali

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Kilichofuata ... Endelea sasa tumetega masikio

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Ilibidi nimuulize ananidai kiasi gani Kwa kunifulia nguo akanitajia nikampa.Sukuuliza kwanini amenifulia bila Mimi kumtuma(nilifinika kombe mwanaharamu apite)

Kesho yake nikahamia Lodge nyingine ipo maeneo ya Majengo Kahama karibu na mnadani inaitwa Twiga.
Hapo ukauzu nilweka pembeni, kulikua na wahudumu warembo, nikaangukia kwenye mpenzi mazito na binti mmoja kutoka Sengerema, ilikua ni 🔥.
NB:
Ukikaa Lodge muda mrefu, Wahudumu hua hawahangaiki kukalili majina, wanatuita Kwa namba za chumba. Utasikia yule kaka 106 ni mpole.

Kilichofuata ... Endelea sasa tumetega masikio

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Leo asubuhi nimeingia guest house moja Tandika Uswahilini.
Nimelipa navua nguo ili nipumzike maana nimetoka night shift. Ile namaliza kuvua suruali ili nivue boxer nagongewa mlango, ile nafungua tu libidada jeupe limevaa shuka ya guest anakuja kuninong'oneza kuwa anaomba buku akanywe chai. Miziwa yote nje. Yaani linajichekesha tu. Nikamwambia tulia hapo kwenye kibaraza. Nikaingia room nikatoa buku 2 nikampa nikarudi ndani na kufunga mlango.
Yaani saa 2 asubuhi anajitongozesha kwa kuomba buku. Uswahilini noma sana
Nipe location kesho niende nikalale hapo
 
Niliokota dem Inyonga mwaka 2016 nilikua nafanya biashara ya mazao (karanga). Nimezama lodge navua nguo dem kaenda kuosha papuchi aje kwenye tanange akapandishia mashetani chooni...kelele na vurugu nikamtoa toi nikamleta kitandani dem anaweweseka mashetani...kidogo polisi wa patrol wakagonga mlango wanakagua wageni waliolala nafungua

Y'all some brave mfs. Sasa hayo mashetani yangekata joystick ungefanyaje? Hukuhofia wanaweza hamia kwako?
 
Sio mkurugenzi huyo[emoji1787][emoji1787].hakuna mkurugenzi anayelipwa chini ya milioni 5 kwenye nchi hii.hata iwe kampuni ya muhindi
My friend, mkurugenzi ni position ambayo mshahara unategemea ukubwa wa hiyo kampun au taasisi.

Unaweza ukaanzisha kampuni yako wewe leo na tukakuita mkuirugenzi, kutokana na stage ya kampuni unaweza usiwe unajilipa hata posho tu ukitegemea ikue kitu ambacho ni uncertainty.
 
Leo asubuhi nimeingia guest house moja Tandika Uswahilini.
Nimelipa navua nguo ili nipumzike maana nimetoka night shift. Ile namaliza kuvua suruali ili nivue boxer nagongewa mlango, ile nafungua tu libidada jeupe limevaa shuka ya guest anakuja kuninong'oneza kuwa anaomba buku akanywe chai. Miziwa yote nje. Yaani linajichekesha tu. Nikamwambia tulia hapo kwenye kibaraza. Nikaingia room nikatoa buku 2 nikampa nikarudi ndani na kufunga mlango.
Yaani saa 2 asubuhi anajitongozesha kwa kuomba buku. Uswahilini noma sana
Mkuu hukumaliza mchezo ?
 
siku niliingia ka lodge flan sinza mida ya saa 1 asubuh nilitokea Moshi na fuso za usiku nikafika asubuh nikasema ngoja nipumzike nipumzike kidogo baadae niende kkoo kununua kulichonileta. ili mchana nichukue saibaba zile za mwisho kama daladala, kipindi stendi ubungo
sasa nikafika hiyo saa moja nikaingia rum, saa nne nataka kutoka wanakuja kudai tena hela maana niliwaambia nitatoka mchana eti nimelipa elf 15 saa 1 asubuh, saa nne wasema muda umeisha nilipe tena weee Aisee niliwamaindi hadi meneja akaja ikabidi akaniruhusu kuendelea hadi huo mchana
nimeenda kkoo nimerudi saa6 nikaingia rum kujiandaa Mara mhudumu huyo kaingia bila kugonga hodi akanikuta uchi Aisee hasira zote ziliishia kwake,ninashukuru jaki hadi leo nimteja wenu hapo, japo siku hizi haupo pale
Aliagizwa na meneja aje akupoozeshe ili wasipoteze mteja ,,,, lilikuwa tego
 
Kuna malaya wanaacha namba kwenye kuta na vitanda gesti Kasulu. Nikapiga akapokea jimama jeupe nene hatari,likaja nikalipima tu oil kumcheki makina marinda hamna sikulipiga. Lilikuwa minyama kibao, michirizi, tako limelegea, papuchi inalendemka kama mlenda, nikaona hapana mazee waya ule. We cha kufia,nikalipa tembo akasepa. Nikaingia zangu shower nikapiga puchu nikalala asubuhi najipaki niwashe ndinga naona na lenyewe linatoka lodge mlemle. Nikatembea zangu Nyakanazi nawaza hii dunia mbona sio poa.
Hata blowjob bro hukutaka
 
Back
Top Bottom