Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Nilifikia Lodge moja ndogo maeneo ya Shekilango, nikawasiliana na Dogo wangu mmoja akaniahidi atapita akitoka Job....mida ya saa moja hivi nikawa nimekaa kwa nje ya Geti namsubiri maana aliniambia yupo njiani.

Wakati nimechili zangu ikaja Gari ndogo anaendesha Mdada na pembeni kuna Kajamaa, Mhudumu akafungua Geti Gari ikaingia...wakateremka, wakati wanashughulikia utaratibu wa kupata room yule Mdada akapokea simu, akaonekana ameshtuka.

Mara akaingia kwenye gari akawasha akaweka rivasi na Geti halijafunguliwa...na Yule Jamaa (Muhudumu) naye kalikuwa kauzu fulani basi yeye wala hakushtuka alisimama tu anamuangalia yule jamaa aliyekuwa naye ndio alipiga kelele "unagonga geti", akafunga breki ila ilibaki pointi tu atoke nalo.

Basi Jamaa (Muhudumu) polepole akafungua geti ndio Mdada akatoka spidi. Jamaa aliyekuja nae akabaki pale kwa muda kisha...baadae naye akasepa. huku mimi na Muhudumu tukiwa kwenye butwaa nikamuuliza "mbona unaona Mdada amepaniki hata hukutaka kumsaidia kufungua geti haraka aondoke?" Jamaa akasema "nilitaka agonge hilo geti ndio akili imkae sawa", ingawa kimoyomoyo nikajiuliza sasa yeye angefaidika nini ili hali hata hafahamiani nae.

Picha niliyoipata ni kama vile zoezi la cheating lilitibuliwa, huenda Mke wa Mtu aliulizwa "mbona umeonekana mitaa ya Shekilango?".
Kinyonge Sana kajamaaa hakajafaidi utamu
 
Mi nililewa nikaingia lodge mwezi wa pili mwaka huu na mhudumu mpya ndo amekaribishwa siku hiyo, mtoto mrembo sana. Nikaingia nikiwa nimelewa sijielewi, nakumbuka baada ya kumaliza gemu nilienda kuoga ili nisiende na mkosi nyumbani kwangu... Wakati naingia niliteleza kwenye tiles nikapiga kichwa mlango wa kioo wa bafuni ukavunjika. Nilienda nyumbani bila kujua kama nimeumia... Asubuhi wakati naamka nilikuta nimechomwa na vipande vya kioo kwenye mguu na kudaiwa kulipa mlango niliovunja. Nililipa ili taarifa zisienee
 
Mi nililewa nikaingia lodge mwezi wa pili mwaka huu na mhudumu mpya ndo amekaribishwa siku hiyo, mtoto mrembo sana. Nikaingia nikiwa nimelewa sijielewi, nakumbuka baada ya kumaliza gemu nilienda kuoga ili nisiende na mkosi nyumbani kwangu... Wakati naingia niliteleza kwenye tiles nikapiga kichwa mlango wa kioo wa bafuni ukavunjika. Nilienda nyumbani bila kujua kama nimeumia... Asubuhi wakati naamka nilikuta nimechomwa na vipande vya kioo kwenye mguu na kudaiwa kulipa mlango niliovunja. Nililipa ili taarifa zisienee
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mi nililewa nikaingia lodge mwezi wa pili mwaka huu na mhudumu mpya ndo amekaribishwa siku hiyo, mtoto mrembo sana. Nikaingia nikiwa nimelewa sijielewi, nakumbuka baada ya kumaliza gemu nilienda kuoga ili nisiende na mkosi nyumbani kwangu... Wakati naingia niliteleza kwenye tiles nikapiga kichwa mlango wa kioo wa bafuni ukavunjika. Nilienda nyumbani bila kujua kama nimeumia... Asubuhi wakati naamka nilikuta nimechomwa na vipande vya kioo kwenye mguu na kudaiwa kulipa mlango niliovunja. Nililipa ili taarifa zisienee
Mkuu next time usijaribu kuoga huku ukiwa umetumia kilevi !

Mtu akilewa huwa anapoteza control ya baadhi ya mambo, Sasa unapoingia bafuni kujipaka sabuni na kuoga unaweza kuteleza na kuumia vby ama kifo kabisa, hasa ukidondokea kichwa ,,,,
 
Dodoma ilikuwa kipindi cha kuanza bunge baada ya uchaguzi, lodge mji mzima zimejaa.

Nilikuja pata lodge saa 6 usiku kuingia bafuni nakuta kimba linaelea, shuka zina unyevu nyevu, kumuuliza muhudumu anadai chumba kimetoka kusafishwa, baada ya vurumai nilirudishiwa pesa yangu. Niliishia kulala kwenye gari mpaka kunapambazuka.

Iringa nilikutana na bonge la tangazo marufuku kwa wasiokuwa wanandoa kulala pamoja. Ukienda na mwanamke sharti uwe na cheti cha ndoa. Niligeuza kutafuta sehemu nyingine, kwa baridi ile sikutaka take chances za kulala mwenyewe.

Cha ajabu nilikuja gundua kuwa ile lodge ilikuwa maarufu kwa mashoga maana hawahoji wanaume kulala pamoja lakini wana tatizo na mwanamke na mwanaume.

Iringa huko huko tulikuja gongewa na mapolisi. Wanatafuta wahamiaji haramu, nilikuwa na mwenyeji wangu tuliokutana usiku huo huo tu. Kuhofia wizi begi langu lenye vitambulisho vyote nilimpa mwenzangu ambae alilala lodge nyingine.

Na rangi yangu si rafiki sana kuepusha shaka ya uraia wangu (kwa mujibu wa mapolisi)mbaya zaidi moja ya mapolisi alikuwa anamjua yule dada na shughuli zake.

Polisi kuniuliza jina la mwenzangu nikabwatuka tu Mary na demu akajibu jina lingine muda huo huo (Hata jina lake nilikuwa silijui).

Siku hiyo niliamini mizimu ipo. Nilipoulizwa jina langu nilitaja jina la ukoo, ghafla mkuu wa wale polisi akakurupuka kuwa anamjua mzee wangu (mzee nishazika miaka mingi iliyopita) alijichanganya tu, na hiyo ndio ikawa pona yangu.

Sumbawanga vijijini nililala lodge usiku mzima kulikuwa na kelele za mapaka hasa ukizima taa. Nilikesha mpaka panapambazuka.

Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa.

Tena topic za ajabu kama vile utanifanya mara ngapi, utanioa, mbona mbupu zako ndefu, hii ikiwa ni saa 7 za usiku tena kwa kelele. Ilibidi saa 11 asubuhi ninyate nikimbie fedheha toka kwa wa vyumba vya jirani waliosikia, kufika mapokezi jamaa ananicheka mpaka kuanguka kumbe alikuwa akisikia ile mikelele.

Stori za lodge zipo nyingi mno nilizokutana nazo. Nimechoka kuandika.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Leo asubuhi nimeingia guest house moja Tandika Uswahilini.
Nimelipa navua nguo ili nipumzike maana nimetoka night shift. Ile namaliza kuvua suruali ili nivue boxer nagongewa mlango, ile nafungua tu libidada jeupe limevaa shuka ya guest anakuja kuninong'oneza kuwa anaomba buku akanywe chai. Miziwa yote nje. Yaani linajichekesha tu. Nikamwambia tulia hapo kwenye kibaraza. Nikaingia room nikatoa buku 2 nikampa nikarudi ndani na kufunga mlango.
Yaani saa 2 asubuhi anajitongozesha kwa kuomba buku. Uswahilini noma sana
Aisee![emoji16][emoji16][emoji16]
 
1997 tabora,nimeingia gesti,madirisha ya mbao,sikufunga,nimeanza game mwanaume nachanga Tako vibaya game limenoga,mafala wakanichoma unyasi tundu dogo...niliruka,kipindi hicho habari za popo bawa zinavuma,nikaenda kufungua dirisha,tukaendelea na dhambi
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mamamaaaeee
 
Mbeya hyo

Nimepiga inshu zangu nimemaliza ikafika saa mbili hv nikasema wacha niende kulewa Kuna club moja hv huwa wanakesha wacha hz baa mbili maarufu karibu na mwanjelwa yaan hyo club n kama unaeelekea uyole ila unapita kabwe sasa nikasema wacha nichukue chumba karibu ili nikisikia Usingizi nipate sehemu ya kulala ebana nikaangukia kigesti Ila wao waliandika lodge nyuma ya hyo club.

Picha la kwanza maji ya Moto n jiko la mkaa na mbeya ilivyo na baridi nikaona haina shida nikaweka vitu vyangu nikamtania yule muhudumu kuwa nikikala napewa nn yeye akinijibu unataka nn Basi utan utan nikawa Kama nimemtania kumtaka mie nikatoka nikaenda kwenye Ile club nikanywa mpaka saa nane hv nilivyorud akanifungulia nikaingia nikampa utan nikaingia zangu kulala.

Muda ukapita kidogo nikaskia ngo ngo ngo kufungua yule dada aisee yupo na kitenge kimoja tuu eeeh nikasema Leo utan umenikost vibaya mno, Ila MUNGU huwa yupo upande wangu sana nikamwambia hamna kondom kumbe anazo aisee wacha tuu nikasema wacha nibambie tuu Ila sasa akawa hataki nimtoe kitenge ikiwa taa imewaka namie sababu nilikuwa sitaki kufanya nikawa nakomalia kumtoa taa ikiwaka sasa kumshikashika MUNGU saidia akalegea nikamtoa kanga aisee upaja wote unavile vikovu vya upele upele aisee nikasema nashukuru Sana hapa nilikuwa naenda kuumiza familia yangu mwenyewe aisee nikamzuga akalete chaja kwanza niweke simu isizime kesho na alipotoka tuu nikafunga mlango.

Asubuh naangalia kondom alizokuja nazo n 2pcs nikasema huyo alietumia moja MUNGU ampe nguvu mie huyo nikamwambia narudi kesho yake naenda Zambia.
 
Nilishawai kugawa namba ya manzi niliekutana nae club njombe. Niligawa kwa mfanyakazi mwenzangu basi jamaa kampigia simu manzi akaja logde akamtafuna usiku kucha. Ile asubui natoka nikakutana manzi reception aroooo kumbe ni mzuri. Sikufanya makosa tena nikarudi na room kwangu nikaenda kupiga cha asubui [emoji23][emoji23].
Una roho ngumu
 
Nilikuwa na hamu sana na papuchi nilipofika tu nikavua nguo sasa napiga simu demu wangu yuko mbali sana nikasema ngoja nijilaze kitandani usingizi ukanipitia. Kuja kushtuka nakuta niko uchi bado na mlango uko wazi kumbe sikulock aisee.

Nawazaga tu hivi hakuna aliyenipiga picha kweli, siku nikikuta picha zangu huko mtandaoni nimelele huku dudu limesimama sitoshangaa [emoji51]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Popobawa hawakukupitia Kweli?.
 
Dodoma ilikuwa kipindi cha kuanza bunge baada ya uchaguzi, lodge mji mzima zimejaa.

Nilikuja pata lodge saa 6 usiku kuingia bafuni nakuta kimba linaelea, shuka zina unyevu nyevu, kumuuliza muhudumu anadai chumba kimetoka kusafishwa, baada ya vurumai nilirudishiwa pesa yangu. Niliishia kulala kwenye gari mpaka kunapambazuka.

Iringa nilikutana na bonge la tangazo marufuku kwa wasiokuwa wanandoa kulala pamoja. Ukienda na mwanamke sharti uwe na cheti cha ndoa. Niligeuza kutafuta sehemu nyingine, kwa baridi ile sikutaka take chances za kulala mwenyewe.

Cha ajabu nilikuja gundua kuwa ile lodge ilikuwa maarufu kwa mashoga maana hawahoji wanaume kulala pamoja lakini wana tatizo na mwanamke na mwanaume.

Iringa huko huko tulikuja gongewa na mapolisi. Wanatafuta wahamiaji haramu, nilikuwa na mwenyeji wangu tuliokutana usiku huo huo tu. Kuhofia wizi begi langu lenye vitambulisho vyote nilimpa mwenzangu ambae alilala lodge nyingine.

Na rangi yangu si rafiki sana kuepusha shaka ya uraia wangu (kwa mujibu wa mapolisi)mbaya zaidi moja ya mapolisi alikuwa anamjua yule dada na shughuli zake.

Polisi kuniuliza jina la mwenzangu nikabwatuka tu Mary na demu akajibu jina lingine muda huo huo (Hata jina lake nilikuwa silijui).

Siku hiyo niliamini mizimu ipo. Nilipoulizwa jina langu nilitaja jina la ukoo, ghafla mkuu wa wale polisi akakurupuka kuwa anamjua mzee wangu (mzee nishazika miaka mingi iliyopita) alijichanganya tu, na hiyo ndio ikawa pona yangu.

Sumbawanga vijijini nililala lodge usiku mzima kulikuwa na kelele za mapaka hasa ukizima taa. Nilikesha mpaka panapambazuka.

Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa.

Tena topic za ajabu kama vile utanifanya mara ngapi, utanioa, mbona mbupu zako ndefu, hii ikiwa ni saa 7 za usiku tena kwa kelele. Ilibidi saa 11 asubuhi ninyate nikimbie fedheha toka kwa wa vyumba vya jirani waliosikia, kufika mapokezi jamaa ananicheka mpaka kuanguka kumbe alikuwa akisikia ile mikelele.

Stori za lodge zipo nyingi mno nilizokutana nazo. Nimechoka kuandika.
Chifu umetisha sana
 
Mbeya hyo

Nimepiga inshu zangu nimemaliza ikafika saa mbili hv nikasema wacha niende kulewa Kuna club moja hv huwa wanakesha wacha hz baa mbili maarufu karibu na mwanjelwa yaan hyo club n kama unaeelekea uyole ila unapita kabwe sasa nikasema wacha nichukue chumba karibu ili nikisikia Usingizi nipate sehemu ya kulala ebana nikaangukia kigesti Ila wao waliandika lodge nyuma ya hyo club.

Picha la kwanza maji ya Moto n jiko la mkaa na mbeya ilivyo na baridi nikaona haina shida nikaweka vitu vyangu nikamtania yule muhudumu kuwa nikikala napewa nn yeye akinijibu unataka nn Basi utan utan nikawa Kama nimemtania kumtaka mie nikatoka nikaenda kwenye Ile club nikanywa mpaka saa nane hv nilivyorud akanifungulia nikaingia nikampa utan nikaingia zangu kulala.

Muda ukapita kidogo nikaskia ngo ngo ngo kufungua yule dada aisee yupo na kitenge kimoja tuu eeeh nikasema Leo utan umenikost vibaya mno, Ila MUNGU huwa yupo upande wangu sana nikamwambia hamna kondom kumbe anazo aisee wacha tuu nikasema wacha nibambie tuu Ila sasa akawa hataki nimtoe kitenge ikiwa taa imewaka namie sababu nilikuwa sitaki kufanya nikawa nakomalia kumtoa taa ikiwaka sasa kumshikashika MUNGU saidia akalegea nikamtoa kanga aisee upaja wote unavile vikovu vya upele upele aisee nikasema nashukuru Sana hapa nilikuwa naenda kuumiza familia yangu mwenyewe aisee nikamzuga akalete chaja kwanza niweke simu isizime kesho na alipotoka tuu nikafunga mlango.

Asubuh naangalia kondom alizokuja nazo n 2pcs nikasema huyo alietumia moja MUNGU ampe nguvu mie huyo nikamwambia narudi kesho yake naenda Zambia.
Tatzo Ni wewe ulianza kuonyesha interest nae akajaa mazima !
 
Back
Top Bottom