Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Igunga 2000s
Nilipata lodge moja mpya mpya hivi. Siku ya pili nikampa mistari muhudumu akanielewa ila akaniambia nihame lodge ili aje kulala kwa uhuru. Nikahama ila jioni nikaenda pale kwake kupata msosi.

Sasa pale alikaa na jamaa pembeni kila akihudumia anarudi pale. Nimamtext vipi akajibu jamaa anamsumbua sana na pia ni polisi .

Usiku akaja lodge kwangu nikala mzigo tukalala. Usiku saa 6 nasikia sauti kwenye korido kumbe askari wanakagua wageni. Demu akanitonya amesikia sauti ya yule jamaa anayemsumbua kwa hiyo nijiaandae kwa lolote. Ikafika zamu yangu jamaa wakakomaa sikuandika kwenye daftari halafu niliyelala naye aamke naye ahojiwe....Hakuna namna ikabidi aamke. Yule askari akamtambua yule demu, akaweka ngumu nikalale kituoni kwa kosa la kutoandika kwenye daftari la wageni. Wakanitoa nje demu akabaki ndani.

Nikaona nikileta masihara nitalala polisi.Nilikuwa nafahamiana na DC. Usiku ule nikampigia akaongea na askari wakaniacha. Yule askari akaniweka pembeni akaniuliza kama namkumbuka? Nikamjibu ndio. Akaniambia hongera,yaani yule demu nimemtongoza wiki nzima simpati leo wewe unakula kizembe tu.
 
Kama wahudumu wote wangekuwa Kama huyu wa lodge ya Moro town namini mambukizi ya VVU yangekuwa chini Sana,nimemshukuru Sana huyu mama na ela ya supu asubuhi nimempa,lodge iko nyuma ya stend hata sikuwa nimekalili jina,huyu mama kwangu ni shujaa kwenda kumaliza mwaka 2022,
Nimefika midaa ya saa 12jioni nikapata chumba na kuweka mizigo nikaoga lengo kunyosha miguu,midaa ya saa nne ivi narudi na mwenyeji wangu nimepata Baar flani karibu na mzunguko huku,basi bana naona nimeenda kuafuata funguo Kama anakigugumizi flani japo nilikuwa maji lakini macho yake yalinishawishi kuoji kitu,nikampeleka mchumba chumbani hata nusaa haijapita mlango unagongwa kufungua muhudumu,ananipa taulo namuambia ninalo,lakini wakti anatoka Kama anataka kuniambia kitu lakini anasita,sikumjali Sana,basi Niko na mchumba tunalizia kinywaji na stori za hapa na pale mida Kama saa Tano ivi usiku,mlango unagongwa kutoka ni yeye muhudumu vipi mama,ananita kwa jina naisi alikalili kwenye kitabu,ananiambia Kuna mgeni amekuja kauta kuniulizia anaitwa Shelby,yukoje ananipa sifa nikikumbuka Moro sina mtu namjua Yuko ivyo basi nikamuambia nakuja ngoja nivae suruali maana nilikuwa na bukta kwajili ya mandalizi ya mtanange Tena akasisita nisichelewe.basi bana kufika kauta nimevutwa pembeni kabsa na nasaa Kama zote na kuniambia hali halisi ya yule bint na ameapa kuondoka na watu kwasababu na yeye ameupata kwaiyo akubali,pombe zimekata muda huohuo,na akaomba Kama nikirudi basi niangalie namna ya kumuondoa ili pasi na shida na yeye,akili zimerudi na pombe imekata,basi kufika geto ni jiandae uende huu rafiki yangu ni dereva kwaiyo wanaondoka mudaa huu kwenda dar kwaiyo nataka kuondoka nae,basi flesh demu kaelewa katoka na posho ni Nini kiroho Safi,basi nyege zote Kwisha kabsa, asubuhi mama anaongea unaona kabsa anamaanisha Tena kwa kunisisita Kama nitakuja Moro na nikawa mgeni wake basi aniambie ataweka mazingira fresh,na nitafutahi kuwepo viunga vya morogoro,
Angalizo:Kama Kuna wahudumu kwenye huu Uzi jifuzeni jambo Kama unaona nimeyakanya kabla haijanikuta ndoige(ugoni/VVU) ninisuru tuu utapata baraka kwa mungu.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Kwahio ulitaka kwenda dry mkuu??? Malaya huwez **** mate wala kumpga deki.. mi naamini tushachapa wengi sana wazima na wagonjwa ila ndomu tusiache wazee
 
Kama wahudumu wote wangekuwa Kama huyu wa lodge ya Moro town namini mambukizi ya VVU yangekuwa chini Sana,nimemshukuru Sana huyu mama na ela ya supu asubuhi nimempa,lodge iko nyuma ya stend hata sikuwa nimekalili jina,huyu mama kwangu ni shujaa kwenda kumaliza mwaka 2022,
Nimefika midaa ya saa 12jioni nikapata chumba na kuweka mizigo nikaoga lengo kunyosha miguu,midaa ya saa nne ivi narudi na mwenyeji wangu nimepata Baar flani karibu na mzunguko huku,basi bana naona nimeenda kuafuata funguo Kama anakigugumizi flani japo nilikuwa maji lakini macho yake yalinishawishi kuoji kitu,nikampeleka mchumba chumbani hata nusaa haijapita mlango unagongwa kufungua muhudumu,ananipa taulo namuambia ninalo,lakini wakti anatoka Kama anataka kuniambia kitu lakini anasita,sikumjali Sana,basi Niko na mchumba tunalizia kinywaji na stori za hapa na pale mida Kama saa Tano ivi usiku,mlango unagongwa kutoka ni yeye muhudumu vipi mama,ananita kwa jina naisi alikalili kwenye kitabu,ananiambia Kuna mgeni amekuja kauta kuniulizia anaitwa Shelby,yukoje ananipa sifa nikikumbuka Moro sina mtu namjua Yuko ivyo basi nikamuambia nakuja ngoja nivae suruali maana nilikuwa na bukta kwajili ya mandalizi ya mtanange Tena akasisita nisichelewe.basi bana kufika kauta nimevutwa pembeni kabsa na nasaa Kama zote na kuniambia hali halisi ya yule bint na ameapa kuondoka na watu kwasababu na yeye ameupata kwaiyo akubali,pombe zimekata muda huohuo,na akaomba Kama nikirudi basi niangalie namna ya kumuondoa ili pasi na shida na yeye,akili zimerudi na pombe imekata,basi kufika geto ni jiandae uende huu rafiki yangu ni dereva kwaiyo wanaondoka mudaa huu kwenda dar kwaiyo nataka kuondoka nae,basi flesh demu kaelewa katoka na posho ni Nini kiroho Safi,basi nyege zote Kwisha kabsa, asubuhi mama anaongea unaona kabsa anamaanisha Tena kwa kunisisita Kama nitakuja Moro na nikawa mgeni wake basi aniambie ataweka mazingira fresh,na nitafutahi kuwepo viunga vya morogoro,
Angalizo:Kama Kuna wahudumu kwenye huu Uzi jifuzeni jambo Kama unaona nimeyakanya kabla haijanikuta ndoige(ugoni/VVU) ninisuru tuu utapata baraka kwa mungu.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Bill Shaka ulisema apa nanyoosha peku
 
Igunga 2000s
Nilipata lodge moja mpya mpya hivi. Siku ya pili nikampa mistari muhudumu akanielewa ila akaniambia nihame lodge ili aje kulala kwa uhuru. Nikahama ila jioni nikaenda pale kwake kupata msosi.

Sasa pale alikaa na jamaa pembeni kila akihudumia anarudi pale. Nimamtext vipi akajibu jamaa anamsumbua sana na pia ni polisi .

Usiku akaja lodge kwangu nikala mzigo tukalala. Usiku saa 6 nasikia sauti kwenye korido kumbe askari wanakagua wageni. Demu akanitonya amesikia sauti ya yule jamaa anayemsumbua kwa hiyo nijiaandae kwa lolote. Ikafika zamu yangu jamaa wakakomaa sikuandika kwenye daftari halafu niliyelala naye aamke naye ahojiwe....Hakuna namna ikabidi aamke. Yule askari akamtambua yule demu, akaweka ngumu nikalale kituoni kwa kosa la kutoandika kwenye daftari la wageni. Wakanitoa nje demu akabaki ndani.

Nikaona nikileta masihara nitalala polisi.Nilikuwa nafahamiana na DC. Usiku ule nikampigia akaongea na askari wakaniacha. Yule askari akaniweka pembeni akaniuliza kama namkumbuka? Nikamjibu ndio. Akaniambia hongera,yaani yule demu nimemtongoza wiki nzima simpati leo wewe unakula kizembe tu.
Umetisha mtani
 
Igunga 2000s
Nilipata lodge moja mpya mpya hivi. Siku ya pili nikampa mistari muhudumu akanielewa ila akaniambia nihame lodge ili aje kulala kwa uhuru. Nikahama ila jioni nikaenda pale kwake kupata msosi.

Sasa pale alikaa na jamaa pembeni kila akihudumia anarudi pale. Nimamtext vipi akajibu jamaa anamsumbua sana na pia ni polisi .

Usiku akaja lodge kwangu nikala mzigo tukalala. Usiku saa 6 nasikia sauti kwenye korido kumbe askari wanakagua wageni. Demu akanitonya amesikia sauti ya yule jamaa anayemsumbua kwa hiyo nijiaandae kwa lolote. Ikafika zamu yangu jamaa wakakomaa sikuandika kwenye daftari halafu niliyelala naye aamke naye ahojiwe....Hakuna namna ikabidi aamke. Yule askari akamtambua yule demu, akaweka ngumu nikalale kituoni kwa kosa la kutoandika kwenye daftari la wageni. Wakanitoa nje demu akabaki ndani.

Nikaona nikileta masihara nitalala polisi.Nilikuwa nafahamiana na DC. Usiku ule nikampigia akaongea na askari wakaniacha. Yule askari akaniweka pembeni akaniuliza kama namkumbuka? Nikamjibu ndio. Akaniambia hongera,yaani yule demu nimemtongoza wiki nzima simpati leo wewe unakula kizembe tu.
Umshukuru sana DC
 
Igunga 2000s
Nilipata lodge moja mpya mpya hivi. Siku ya pili nikampa mistari muhudumu akanielewa ila akaniambia nihame lodge ili aje kulala kwa uhuru. Nikahama ila jioni nikaenda pale kwake kupata msosi.

Sasa pale alikaa na jamaa pembeni kila akihudumia anarudi pale. Nimamtext vipi akajibu jamaa anamsumbua sana na pia ni polisi .

Usiku akaja lodge kwangu nikala mzigo tukalala. Usiku saa 6 nasikia sauti kwenye korido kumbe askari wanakagua wageni. Demu akanitonya amesikia sauti ya yule jamaa anayemsumbua kwa hiyo nijiaandae kwa lolote. Ikafika zamu yangu jamaa wakakomaa sikuandika kwenye daftari halafu niliyelala naye aamke naye ahojiwe....Hakuna namna ikabidi aamke. Yule askari akamtambua yule demu, akaweka ngumu nikalale kituoni kwa kosa la kutoandika kwenye daftari la wageni. Wakanitoa nje demu akabaki ndani.

Nikaona nikileta masihara nitalala polisi.Nilikuwa nafahamiana na DC. Usiku ule nikampigia akaongea na askari wakaniacha. Yule askari akaniweka pembeni akaniuliza kama namkumbuka? Nikamjibu ndio. Akaniambia hongera,yaani yule demu nimemtongoza wiki nzima simpati leo wewe unakula kizembe tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aiseee ukala kimasiharaa pisi aliyoisotea polisi week nzima.
 
Back
Top Bottom