Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Nipo advance nasoma mbeya miaka hiyo ila ili ufike shule kutokea mikoan huku lazima ulale mbeya mjini kwanza.

Siku hiyo nimefika nimechukua chumba gest mitaa ile ya karibu na dox mwanjelwa kama unarudi block t hivi, usiku nimelala nasikia miguno mwanamke analalama ananyanduliwa kutoka kwenye korido sauti ipp juu gest nzima.

Kidume usingizi ukakata genye zikanipanda ikabidi nitoke niende hadi kaunta kufika nakuta wanawake wapo wengi lakini ni ambao wamenizidi umri(kumbuka nipo advance na hapo nimezoea kumega madent wenzangu tu) lakini cha ajabu wamama wananiangalia kwa jicho la matamanio.

Baadae kuja kugundua ni kuwa ile gesti ina wanawake wanaojiuza hivyo atakaetangulia kupata mteja anapiga kelele za mahaba anahakikisha hakuna mwanaume rijali atakaeweza kulala bila mwanamke.

sikurudi tena ile gest nkaamia lodge za uhindini usiku naenda ruka disco pamodzi.
Royal pamoz
 
Nakumbuka miaka ya 2009, butimba pale kuliko na gesti moja nilioanga kwa muda wa wiki nzima aisee, kuna jamaa wa chumba kinachofata alikuja na kidemu cjui alikitoa wapi bwana, mm nipo chumbani nachek Tv, huku nakula viepe, baadae nikapitiwa na usingizi kuja kushituka, nasikia kelele... Unanipasua mayai, jamaa anapeleka moto haswa, yaani dk 40 za moto kidemu kinalalmika... Oooh inawaka moto paka mafuta jamaa ana feplay tulia si unataka hela, alipiga kile kitoto akakiinamisha piga gigo ile anachomooa kitoto kikafyatuka kutoka chumbani kikiwa uchi, kikaanza kujafibu kufungua milango kakuta mlango wangu uko wazi kakaunga mpk ndani, kakapita...... Mpk chumbani jamaa likatoka linacheka likawasha gari na kusepa.... Demu yupo uchi nikamwambia kaoge humo bafuni akaoga then nikampa taulo ajifunge akala viepe vilivyobakia tukalala naye mpk asubuhi ndio akarudi kwenye room kuchukua nguo zake alivyorudi akanitunuku tunda nilimchakata mpk saa nne asubuhi hivi.... Ndio ikawa mwanzo wa kumla sophi.... Mpk muda wangu wa kukaa pale ulipoisha
Alitoka kwenye joka akahamia kwenye joka lingine!?
 
Anaweza asilale na akafa pia mkuu...!

Enzi flani natoka na kabinti mtaa wa tatu kisirisiri, kumbe ana pumu na mimi sijui na wala sijawahi ona mtu akiugua pumu inakuaje.

Tuko lodge pembeni ya mji si ikampanda....sijui nimsaidiaje na pesa sikua nayo hapo ni kula kulala.
Usiombe
Dah,,, Ni htr Sana mkuu !!!
 
Ila tuache utan huwa ni raha na ushindi wa nafsi kwa mwanaume asiye mlafi wa k. kumhudumia mwanamke anayejiona ni pisi na usimwombe kitu hata namba!
Si lazma kila fursa uitumie kungonoka Kisa pesa imekutoka!
Wakat anadhan amekuchuna we uko huru ukijua umesaidia tu.
Nadhan ndo hao tunaitwa gentlemen.

......LIVE RESPONSIBLY! SEX RESPONSIBLY!
Women dont like good men.
 
Tulienda ukerewe 2018 kwenye ishu flan kama group hv,bahati mbaya siku tuliyofika kulikuwa na ziara ya uncle Magu, lodge na guest zote kwa pale mjin zilikuwa zimejaa, zunguka kila sehemu holaa, baadae kabisa tukapata moja inaonekana ya muda mrefu sana, kuulizia bei elfu 3, ikabidi tulipie kibishi tu tukalala room moja watu watatu muhudumu alitutafutia na godoro tukaweka chini ili tutoshe,toilet ni ya nje, mlango wa kuhamisha, ukiingia unauegesha mlangon ukimaliza unauweka pembeni... Nyingine ni Arusha, lodge inaangaliana na hospital ya selian ile ya pale town, ipo classic kabisa ina had cctv, walinishangaza tu nimeuliza bei wakaniambia ukilala mwenyewe 40k, ukilala na mtu 50k, sijawah kuikuta sehemu zote nilizotembea hyo...
Ile ya opp Selian Arusha nilishawahi kuilala. Ila Mimi sijawahi kuchukua Malaya Arusha, wote nawaona wewe na matapeli.
 
Kuna guest sitokukuja kusahau maishani inaitwa riverside kama sijasahau around 2011 nililala chumba ni 3,000 per day ila kuanzia saa nne. Ipo kijenge juu inakaribiana na Mto. Ni guest ya Mbao na bar mbele yake. Pata picha unalala guest ukuta ni Mbao na room ya pili kuna mgegedo. Yani pata picha tu. Yani ni guest ya wahuni na watu wanaoishi karibu na guest ni wahuni na wababe kinoma. Wahudumu wote wana makovu ya nyembe usoni Au shingoni. Haya maisha haya ……
Mnaoishi kijenge juu hiyo guest bado ipo? Uzuri bar yake kulikuwa na reggae nzuri sana na other music….
Ulilala kwenye zizi[emoji1787][emoji1787]
 
Inakuaje ukuandika jina halisi na demu kazima na wakakupata?
Ajali haina kinga, ni vyema ukiandika ukweli unaweza kujitetea ila uwongo utakuweka matatani zaidi...usipuuze ya wahenga "ukweli utakuweka huru"

Mimi naandikaga majina yangu yote matatu kwa usahihi,ninapotoka,ninapokwenda hadi namba za simu...liwalo na liwe
[emoji870][emoji870]
 
Anaweza asilale na akafa pia mkuu...!

Enzi flani natoka na kabinti mtaa wa tatu kisirisiri, kumbe ana pumu na mimi sijui na wala sijawahi ona mtu akiugua pumu inakuaje.

Tuko lodge pembeni ya mji si ikampanda....sijui nimsaidiaje na pesa sikua nayo hapo ni kula kulala.
Usiombe
Ulkkimbia.
 
Dah,,,, akizima Ni hatari Sana ! Mm naona kuandika jina halisi may be umesafiri kikazi, upo mkoa tofauti na unaoishi ! Na ikitokea umeopoa make sure humlazi humo mpk asbh,,,, ukishajijazia minyama mtoe usiku huo huo !

Ila zile umeenda kupasha tu na kurudi around huo huo mkoa unaoishi usiandike majina halisi,,, alafu kwa nn ulale nae Hadi asbh ? Piga pita hivi sio mkeo huyo !
Unakosea jina lako kwa makusudi tu mkuu
Kwa mfano Mimi naitwa Alex naongezea Alexier kila kona hunidaki hapo
 
Back
Top Bottom