Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Kipindi nimeamaliza fom4 mzee aliniachia ninsaidie kusimamia gest yake , siku moja wekeend jumapil majira ya saa sita usiku akaja jamaa anataka room yuko na manzi,nikampa room moja iliyokuwa imebaki, nikafunga zangu mlango wa upande wa gest niakahamia upande wa pili kiangalia video,ilikuwa nimebak na jamaammoja anaitwa Bonge tunacheki mieleka, basi ndani ya nusu saa tukasikia kelele upande wa gest,ikabidi nitoke nikaangalie in kuna nini, kufika nikakuta jamaa niliyempa chumba muda sio mrefu dem wake amepandisha mashetani na amekaa kwenye korido anaongea kimasai, kelele nyumba nzima,jamaa yangu bonge ikabidi amshike sikio aanze kumsomea dua, yale majini yakasema yanataka maziwa ya mtindi, muda hapo unaenda saa saba usiku, ilibidi tutoke na mshikaji tukaenda kwenye kiosk cha wapenba flan hivi tukaeagongea tukaomba watusaidie, tukachukua maziwa ya jelo ya mgando ya tanga fresh. tuliporud bonge akapiga tena dua demu akanyweshwa maziwa ya mtindi, akatulia,i akaanza kuongea kiswahili safi,na alikuwa mzigua, ila wakati alikuwa amepandisha alikuwa angea kimasai na kiswahil cha kimasai,baada ya hapo,jamaa aliondoka na mtu wake hata hawakulala tena
Duh jau sn [emoji23] Ila imewahi ntokea nlipiga mechi na manzi akapandsha mapepo katkat ya show nilichofanya ni kumziba mdomo kwa khanga yke nkaendelea kumla uroda mpk alizimia akaja kushtuka masaa wawili mbele, kilivhofuata baada ya kushtuka alianza kulia nikapata kibarua cha kubembeleza mtoto wa watu mwsho wa cku nikapewa tena utamu mpk morning tukasepa haooo
 
Iyo Moro town mida Kama mbili nanusi flani usiku,jamaa kaipita na demu wake hajatupa salamu,kaumita muhudumu kazama ndani,
Mara anatoka mwamba ndani anatolea maelekezo muhudumu kuwa anakuja on time.nikaisi watakuwa wameshindana Mambo ya bei kumbe kaenda kununua condoo,Mimi fasta kagongewa demu kagungua vipi panalika akaza kujipindapinda Nini nikafika dau kaamishwa demu kaingizwa kwenye room yangu fungal mlango kwa njee,jamaa kapita kufika geto Hamna kitu kaaza kutukana Sana,miksa kutishia maisha ya raia alichukuwa demu wake,watu tupo kinywaa kumbee jamaa pale ni kitani kwao kabsa.alizungua mpaka mida mibovu miksa kuambia jamaa wa lodge amrudishie ela yake nae muhudumu kakaza,baada ya kuone kerro badhi ya wapangaji waktoka kumchapa vibao akaona siyo kesi akawa mpole tuu na kuondoka Mimi mda ya saa Tano chakat a mbususu kwelikweli mpaka kunakucha.jamaa ya lodge asubuhi namtoa chick akasema Kama jamaa angejuwa kuwa Yuko kwako ungenua shida Sana,sababu dogo ni home boy kabsa pande zile,nikaona isiwe tabu nibadili na lodge.Ogopa bardi ubakini.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Ulicheza mission ya htr sn mkuu [emoji23][emoji23]
 
Nilifika Njombe, kutoka nilikotoka. Nikachukua chumba. Ilikuwa kama saa 6 mchana. Kufika saa 10 hivi nikapata usafiri kwenda nilikopanga kuelekea.

Nikamwomba mhudumu anirudishie japo nusu ya bei ya chumba. Alikataa katakata.

Niliiingia chumbani, nilivua foronya ya godoro, sambaratisha vitu hovyohovyo. Niligeuza kitanda upside down na chaga weka kule. Mashuka nilifutia viatu kisha nikayanyagakanyaga.

Nilibeba begi nikaaga kwa mhudumu kisha nikasepa zangu nikiwa na uhakika kuwa atapata kazi kurudishia chumba katika hali ya awali. [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
We ni mpuuzi sana, wahudumu Hawa wameajiriwa, na wengine Kila anapouza chumba anatoa ripoti kwa bosi wake, akikurudishia pesa unategemea bosi wake atamuelewa vipi?



Shenzi
 
Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa.

Dah.[emoji23][emoji23][emoji23]
Ipo humu ume "copy na kupaste" aibu hii dogo.
 
Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa.

Dah.[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah hatari sanaa
 
Kigambon, Nliend guest na manzi flan hiv sas muhudum akatukabidhish chumb fresh wakat tupo ndan dakik chach hatujaanz mizagamuano , Mlang ukagongw akaj yul dad muhudum nikatok nikamuuliz shid nn ananiambia naomb unisaidie kudownload nyimbo ananip simu yako ,Manz yang ikanisanua ikaniambia niachan nae aliniambia kun ki2 kilikuw kiendelee mm nikaachan na yul dad sas sijui mpk leo ni nn kilikuw kinatak kuendeleaa[emoji16][emoji16]
 
Kigambon, Nliend guest na manzi flan hiv sas muhudum akatukabidhish chumb fresh wakat tupo ndan dakik chach hatujaanz mizagamuano , Mlang ukagongw akaj yul dad muhudum nikatok nikamuuliz shid nn ananiambia naomb unisaidie kudownload nyimbo ananip simu yako ,Manz yang ikanisanua ikaniambia niachan nae aliniambia kun ki2 kilikuw kiendelee mm nikaachan na yul dad sas sijui mpk leo ni nn kilikuw kinatak kuendeleaa[emoji16][emoji16]
Labda alitaka kukusanua kwamba demu wako kimeo
 
Miaka hiyo nikiwa kijana Nishaitaga dem nikatangulia room hakuja,nikajikaza kisabuni nikaharibu kugongoza muhudumu wa lodge bwana,si akakubali aiseee. Nilipiga show.next time nikajitoa ufaham nikaenda na dem mwingine akaniambia room zimejaa.
Wivu[emoji23][emoji23]

Hila wahudumu wanachapika[emoji3]
 
Kigambon, Nliend guest na manzi flan hiv sas muhudum akatukabidhish chumb fresh wakat tupo ndan dakik chach hatujaanz mizagamuano , Mlang ukagongw akaj yul dad muhudum nikatok nikamuuliz shid nn ananiambia naomb unisaidie kudownload nyimbo ananip simu yako ,Manz yang ikanisanua ikaniambia niachan nae aliniambia kun ki2 kilikuw kiendelee mm nikaachan na yul dad sas sijui mpk leo ni nn kilikuw kinatak kuendeleaa[emoji16][emoji16]
Jamani,khaa!
 
Huu uzi nimecheka sana. Hii dunia kuna mambo yanaendelea mengi sana....
Nimegundua
- Logde nyingi au guest house hawazingatii usafi
-Ligha nzuri kwa wahudumu na wateja bado ni changamoto, wote wababe
- Ngono inatembezwa balaa
-Wengi tunasahau kwamba hao wahudumu wana familia zinawategemea
-Muda wa kutoka mteja bado ni changamoto haijalishi kaingia saa ngapi
-Privacy kwa baadhi ya hizo nyumba ni changamoto ( hata polisi hawazingatii hilo)
-Taarifa nyingi zinazoandikwa kwenye vitabu vya wageni ni za uongo ( hapa mtu huwa ana sababu zake)
- Baadhi ya wateja siyo wastaatabu
*Mimi huwa nakutana na hili mara nyingi. Unakwenda logde unaambiwa mfano bei ya vyumba ni 30k na 20k. Ila utaambiwa vya 20k vimeisha, vimebaki vya 30k. Lakini ukikomaa, unalipa hiyo 20k. Nadhani huwa kuna ka- udanganyifu.
 
Back
Top Bottom