karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,802
- 3,253
Wale wa UYOLE mbeya kuna ukweli hapo nimekutana nayo sehemu
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jinga sana huyo jamaa.Jamaa lipumbav kweli
Hii ya mwisho lengo ni ku maximize profits kwa kuuza kwanza vya bei ya juuHuu uzi nimecheka sana. Hii dunia kuna mambo yanaendelea mengi sana....
Nimegundua
- Logde nyingi au guest house hawazingatii usafi
-Ligha nzuri kwa wahudumu na wateja bado ni changamoto, wote wababe
- Ngono inatembezwa balaa
-Wengi tunasahau kwamba hao wahudumu wana familia zinawategemea
-Muda wa kutoka mteja bado ni changamoto haijalishi kaingia saa ngapi
-Privacy kwa baadhi ya hizo nyumba ni changamoto ( hata polisi hawazingatii hilo)
-Taarifa nyingi zinazoandikwa kwenye vitabu vya wageni ni za uongo ( hapa mtu huwa ana sababu zake)
- Baadhi ya wateja siyo wastaatabu
*Mimi huwa nakutana na hili mara nyingi. Unakwenda logde unaambiwa mfano bei ya vyumba ni 30k na 20k. Ila utaambiwa vya 20k vimeisha, vimebaki vya 30k. Lakini ukikomaa, unalipa hiyo 20k. Nadhani huwa kuna ka- udanganyifu.
Tabora washenzi sana, kwahiyo unyasi ukazama!?1997 tabora,nimeingia gesti,madirisha ya mbao,sikufunga,nimeanza game mwanaume nachanga Tako vibaya game limenoga,mafala wakanichoma unyasi tundu dogo...niliruka,kipindi hicho habari za popo bawa zinavuma,nikaenda kufungua dirisha,tukaendelea na dhambi
Hiki nilikiona ZanzibarKitanda kama kaburi [emoji2][emoji2]
Mkuu, sasa huyo mwananke ulimuona?Guest moja misigiri...Enzi za barabara ya vumbi,......hakuna ceiling board.....jamaa,anamkaza mwanamke....vyumba vyote twasikia miguno na vilio vya mahaba.....
Chumba 1...jamani mnatuumiza hukuu.😁
Chumba2..kaka sio huku ni chumba kinachofuata😁
Chumba 3...sio mimi ndugu zangu,ngoja nitoke nje....😁😆😁
Mara watu kibao tupo nje....wengine wamekwenda kugonga mlango....jamani punguzeni kelele......🤪🤪🤪😝
Ndio kwanza wakaongeza balaa...
Kila mtu aka apa lazima usubuhi amuone huyo mwanamke.....na wengine,waka apa lazima wamle manake alikuwa akilia uzuri..😛😛🥰🥰🥰
KabisaMkuu, sasa huyo mwananke ulimuona?
Ilikuwa ni pisi?Kabisa
Naauum.......Singapore type.Ilikuwa ni pisi?
Ni noma mkuu, nilishalala gest moja pale chalinze, chumba cha jirani kuna jamaa alikuwa anapeleka moto vibaya mno, yaani kila nikishtuka demu analia tuu, aisee yule jamaa nahisi kuna kitu alipakaNaauum.......Singapore type.
Uzame wapi,mzee niliruka Kama pakaTabora washenzi sana, kwahiyo unyasi ukazama!?
We Cee una balaa🤣😂😂😂Dodoma kulikua na mavikao sijui ya CCM kuhusu nini hakuna gesti kuzunguka na bodaboda tu 60 ililala na gesti sikupata.
Nikaja kupata four ways tena kuna mtu alikua anatoka chumba kilikua kinanuka mimavi na mimikojo kama nini .Kwa hasira nikaangusha Harrison Mwakyembe mbili size ya kati na Konyagi kina kifupi.
Kuamka saa 9 mchana nikadaiwa ya siku mbili.Kuna ligesti liko Iringa road sijui linaitwaje lina chumba na sebule na jamaa wa mapokezi mtu poa sana nilikaa week .Jamaa full kuniletea mizigo ,vumbi na juisi za kongo .
Mara ya mwisho akaniletea libibi halitaki pesa linataka fimbo ya msai tu ilikua patashika.
Bila shaka ni kianga kule!Hiki nilikiona Zanzibar
Hapo Shinyanga ukulala zile Guest maeneo ya Stand ya Zamani.Kuna moja niling'atwa na Kunguni sitakaa nisahau.Asubui yake niliaama.Nilijua kitanda kina tumemde ebwanee kumbe kunguni.Wasalaam!
Kwenye haratakati za hapa na pale nilishawahi kukutana na Mikasa kadhaa ya lodge/gest nilizowahi kulala !
1. Dar es Salaam
Nilienda lodge moja nzuri tu yenye hadhi, kufika reception mhudumu akanipatia chumba, nikasain na kulipa! Nikakumbuka sina Kinga nikarudi kuuliza Kama wanauza, kalikuwa kadada hivi, yaani kalishangaa vile kama nimeulizia kitu Cha ajabu Sana, akasema hana nikarudi room, nikampigia mgeni wangu aje Nazo! Ajabu pale room ukutani kulikuwa na Sheria zao, mojawapo inasema mteja haruhusiwi kuingia au kutumia kilevi akiwa mle, mimi nilikuwa na take away zangu nimeingia Nazo, kwa jeuri nilivyoondoka niliziacha chupa! Mpaka leo najiuliza ile ni lodge au hostel? Mmiliki ni mchungaji? Yule mhudumu alikuwa mtawa? Ajabu Sana !
2. Mahenge- Ulanga
Miaka fulani kabla daraja la kilombero halijatengenezwa , nilipata safari ya huko , nilifika usiku Sana, (enzi za Moro best/alsaedy, now sijui ni bus gani zinaenda huko), nikapanda boda inipeleke lodge/Gest, tulienda sehemu Kama mbili nafasi zimejaa, tunapata moja, Bei ilikuwa 5000, dah kitanda Kama kaburi, Yani Ni zege limetengenezwa godoro linawekwa juu unaambiwa karibu ! Nilikaa Kama siku 4, asubuhi nilihama kutafuta lodge nyingine !
3. Babati
Nilikuwa nasafiri, nikafika jion, sikuwa na uharaka wa kuunga safari, nikaona nipumzike na kuyasoma mazingira, lodge moja hivi nilishukia, Yule mhudumu wakati ananisainisha, nikamtania kidogo! Nikaenda room, nikaoga nikatoka kwenda kula na kupata kinywaji , wakati narudi kulala yule mhudumu wakati ananipa funguo, naona anacheka cheka, ! Aft 4/3 mins akaja kugonga anauliza mbona Niko alone? Nikihitaji kampani nimuambie , nikajibu sawa! Dem akijirahisisha Sana napoteza mzuka!
4. Shinyanga
Muda mwingine shughuli zangu zinanilazimu kusafiri safiri hasa wilayani anghalabu, siku nimefika usiku kwa uchovu wa safari nikatafuta sehemu ya kupumzika, napewa room, nakuta ndoo mbili za zimejaa maji na kopo! Aloo, nakumbuka sikuoga, asbh nilinawa uso kwa maji nilokuwa nayo ya kunywa, nikaondoka zangu!
Visa Ni vingi, nilishawahi kuibiwa bag Lina doc kadhaa, Ni ile unafika unalipa siku kadhaa, then unavyotoka asbh unamuachia mhudumu funguo ili afanye usafi, narudi nimeibiwa baadhi ya vitu, mhudumu ooh Kama uliingiza mwanamke akakuibia na kweli sikua nimeingiza mwanamke, nilileta shida, hadi boss wake akaja, ananitisha ananipeleka police, Mara nasumbua wateja, nikamwambia tangulia nikukute huko, nakuapia hii nyumba utaigeuza Banda la kuku, mikwara kibao, akaanza kushuka, tukayajenga kiume, nikatumiwa doc nyingine nikaenda kuziprint.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kigambon, Nliend guest na manzi flan hiv sas muhudum akatukabidhish chumb fresh wakat tupo ndan dakik chach hatujaanz mizagamuano , Mlang ukagongw akaj yul dad muhudum nikatok nikamuuliz shid nn ananiambia naomb unisaidie kudownload nyimbo ananip simu yako ,Manz yang ikanisanua ikaniambia niachan nae aliniambia kun ki2 kilikuw kiendelee mm nikaachan na yul dad sas sijui mpk leo ni nn kilikuw kinatak kuendeleaa[emoji16][emoji16]
Niliwahi lala Guest ya aina hiyo Morogoro nikiwa mwanachuo tukadakwa, pamoja na kutoa kitambulisho mandata walikula ten yangu.Mwaka 2014 nililala lodge Fulani maeneo ya kirumba mwaloni Mwanza inaitwa ziwani night club.Lengo la kulala pale ilikuwa niamke kesho yake alfajiri nipande meli nielekee kisiwa cha Kome mchangani Kwa Mzee aliyekuwa anashughulika na uvuvi.Sijui Ile ni ni lodge,danguro au casino bubu maana kuna partions Fulani madirisha yake yapo chini halafu vioo Kila ukitoka sehemu Moja kwenda nyingine watu wanazagamuana na vilio juu.Maeneo mengine watu wanacheza utupu kama walivyozaliwa.Ni sehemu ndogo watu walikuwa wanakunywa pombe tu kistaarabu.Kila nikienda kulala usingizi unakata,naanza kusoma gazeti la Mwanaspoti.Asee Kuna muda nilitoka na kupiga chabo dirisha Moja hivi kuna jimama mmoja ananyony mb** kumbe ni mke wa mtu,Kisha anapigwa Kwa dog style.(Nitaeleza nilijuaje ni mke wa mtu)Mida ya saa Tisa usiku lodge ikavamiwa na maaskari tukakusanywa pamoja nilichokifanya ni kutoka kitambulisho cha shule(wakati huo nilikuwa form three)nikaruhusiwa kurudi kulala.Yule mwanamke nilimuona analia na kuwapigia magoti askari wamsamehe,maana mmewe akijua ndoa imekwisha.Sijui kilichoendelea maana walipandishwa karandinga.
Mmmmh[emoji23]Wale wa UYOLE mbeya kuna ukweli hapo nimekutana nayo sehemu View attachment 2729093
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],ulifanikiwa kumuona??Guest moja misigiri...Enzi za barabara ya vumbi,......hakuna ceiling board.....jamaa,anamkaza mwanamke....vyumba vyote twasikia miguno na vilio vya mahaba.....
Chumba 1...jamani mnatuumiza hukuu.[emoji16]
Chumba2..kaka sio huku ni chumba kinachofuata[emoji16]
Chumba 3...sio mimi ndugu zangu,ngoja nitoke nje....[emoji16][emoji38][emoji16]
Mara watu kibao tupo nje....wengine wamekwenda kugonga mlango....jamani punguzeni kelele......[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji13]
Ndio kwanza wakaongeza balaa...
Kila mtu aka apa lazima usubuhi amuone huyo mwanamke.....na wengine,waka apa lazima wamle manake alikuwa akilia uzuri..[emoji14][emoji14][emoji3059][emoji3059][emoji3059]