Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Dodoma ilikuwa kipindi cha kuanza bunge baada ya uchaguzi, lodge mji mzima zimejaa.

Nilikuja pata lodge saa 6 usiku kuingia bafuni nakuta kimba linaelea, shuka zina unyevu nyevu, kumuuliza muhudumu anadai chumba kimetoka kusafishwa, baada ya vurumai nilirudishiwa pesa yangu. Niliishia kulala kwenye gari mpaka kunapambazuka.

Iringa nilikutana na bonge la tangazo marufuku kwa wasiokuwa wanandoa kulala pamoja. Ukienda na mwanamke sharti uwe na cheti cha ndoa. Niligeuza kutafuta sehemu nyingine, kwa baridi ile sikutaka take chances za kulala mwenyewe.

Cha ajabu nilikuja gundua kuwa ile lodge ilikuwa maarufu kwa mashoga maana hawahoji wanaume kulala pamoja lakini wana tatizo na mwanamke na mwanaume.

Iringa huko huko tulikuja gongewa na mapolisi. Wanatafuta wahamiaji haramu, nilikuwa na mwenyeji wangu tuliokutana usiku huo huo tu. Kuhofia wizi begi langu lenye vitambulisho vyote nilimpa mwenzangu ambae alilala lodge nyingine.

Na rangi yangu si rafiki sana kuepusha shaka ya uraia wangu (kwa mujibu wa mapolisi)mbaya zaidi moja ya mapolisi alikuwa anamjua yule dada na shughuli zake.

Polisi kuniuliza jina la mwenzangu nikabwatuka tu Mary na demu akajibu jina lingine muda huo huo (Hata jina lake nilikuwa silijui).

Siku hiyo niliamini mizimu ipo. Nilipoulizwa jina langu nilitaja jina la ukoo, ghafla mkuu wa wale polisi akakurupuka kuwa anamjua mzee wangu (mzee nishazika miaka mingi iliyopita) alijichanganya tu, na hiyo ndio ikawa pona yangu.

Sumbawanga vijijini nililala lodge usiku mzima kulikuwa na kelele za mapaka hasa ukizima taa. Nilikesha mpaka panapambazuka.

Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa.

Tena topic za ajabu kama vile utanifanya mara ngapi, utanioa, mbona mbupu zako ndefu, hii ikiwa ni saa 7 za usiku tena kwa kelele. Ilibidi saa 11 asubuhi ninyate nikimbie fedheha toka kwa wa vyumba vya jirani waliosikia, kufika mapokezi jamaa ananicheka mpaka kuanguka kumbe alikuwa akisikia ile mikelele.

Stori za lodge zipo nyingi mno nilizokutana nazo. Nimechoka kuandika.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Dodoma ilikuwa kipindi cha kuanza bunge baada ya uchaguzi, lodge mji mzima zimejaa.

Nilikuja pata lodge saa 6 usiku kuingia bafuni nakuta kimba linaelea, shuka zina unyevu nyevu, kumuuliza muhudumu anadai chumba kimetoka kusafishwa, baada ya vurumai nilirudishiwa pesa yangu. Niliishia kulala kwenye gari mpaka kunapambazuka.

Iringa nilikutana na bonge la tangazo marufuku kwa wasiokuwa wanandoa kulala pamoja. Ukienda na mwanamke sharti uwe na cheti cha ndoa. Niligeuza kutafuta sehemu nyingine, kwa baridi ile sikutaka take chances za kulala mwenyewe.

Cha ajabu nilikuja gundua kuwa ile lodge ilikuwa maarufu kwa mashoga maana hawahoji wanaume kulala pamoja lakini wana tatizo na mwanamke na mwanaume.

Iringa huko huko tulikuja gongewa na mapolisi. Wanatafuta wahamiaji haramu, nilikuwa na mwenyeji wangu tuliokutana usiku huo huo tu. Kuhofia wizi begi langu lenye vitambulisho vyote nilimpa mwenzangu ambae alilala lodge nyingine.

Na rangi yangu si rafiki sana kuepusha shaka ya uraia wangu (kwa mujibu wa mapolisi)mbaya zaidi moja ya mapolisi alikuwa anamjua yule dada na shughuli zake.

Polisi kuniuliza jina la mwenzangu nikabwatuka tu Mary na demu akajibu jina lingine muda huo huo (Hata jina lake nilikuwa silijui).

Siku hiyo niliamini mizimu ipo. Nilipoulizwa jina langu nilitaja jina la ukoo, ghafla mkuu wa wale polisi akakurupuka kuwa anamjua mzee wangu (mzee nishazika miaka mingi iliyopita) alijichanganya tu, na hiyo ndio ikawa pona yangu.

Sumbawanga vijijini nililala lodge usiku mzima kulikuwa na kelele za mapaka hasa ukizima taa. Nilikesha mpaka panapambazuka.

Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa.

Tena topic za ajabu kama vile utanifanya mara ngapi, utanioa, mbona mbupu zako ndefu, hii ikiwa ni saa 7 za usiku tena kwa kelele. Ilibidi saa 11 asubuhi ninyate nikimbie fedheha toka kwa wa vyumba vya jirani waliosikia, kufika mapokezi jamaa ananicheka mpaka kuanguka kumbe alikuwa akisikia ile mikelele.

Stori za lodge zipo nyingi mno nilizokutana nazo. Nimechoka kuandika.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kigambon, Nliend guest na manzi flan hiv sas muhudum akatukabidhish chumb fresh wakat tupo ndan dakik chach hatujaanz mizagamuano , Mlang ukagongw akaj yul dad muhudum nikatok nikamuuliz shid nn ananiambia naomb unisaidie kudownload nyimbo ananip simu yako ,Manz yang ikanisanua ikaniambia niachan nae aliniambia kun ki2 kilikuw kiendelee mm nikaachan na yul dad sas sijui mpk leo ni nn kilikuw kinatak kuendeleaa[emoji16][emoji16]
Yawezekana alitaka kukwambia kua huyo demu ana ngoma,ikitokea condom zimeisha,usijidanganye kupiga peku,demu wako alivyoona unataka kusanuliwa na mhudumu,akajifanya kukwambia kua 'kuna kitu kinaendelea',ili ushtuke kua huyo mhudumu siyo mwema kwako.Kaa ki-master BOB...
 
Dodoma ilikuwa kipindi cha kuanza bunge baada ya uchaguzi, lodge mji mzima zimejaa.

Nilikuja pata lodge saa 6 usiku kuingia bafuni nakuta kimba linaelea, shuka zina unyevu nyevu, kumuuliza muhudumu anadai chumba kimetoka kusafishwa, baada ya vurumai nilirudishiwa pesa yangu. Niliishia kulala kwenye gari mpaka kunapambazuka.

Iringa nilikutana na bonge la tangazo marufuku kwa wasiokuwa wanandoa kulala pamoja. Ukienda na mwanamke sharti uwe na cheti cha ndoa. Niligeuza kutafuta sehemu nyingine, kwa baridi ile sikutaka take chances za kulala mwenyewe.

Cha ajabu nilikuja gundua kuwa ile lodge ilikuwa maarufu kwa mashoga maana hawahoji wanaume kulala pamoja lakini wana tatizo na mwanamke na mwanaume.

Iringa huko huko tulikuja gongewa na mapolisi. Wanatafuta wahamiaji haramu, nilikuwa na mwenyeji wangu tuliokutana usiku huo huo tu. Kuhofia wizi begi langu lenye vitambulisho vyote nilimpa mwenzangu ambae alilala lodge nyingine.

Na rangi yangu si rafiki sana kuepusha shaka ya uraia wangu (kwa mujibu wa mapolisi)mbaya zaidi moja ya mapolisi alikuwa anamjua yule dada na shughuli zake.

Polisi kuniuliza jina la mwenzangu nikabwatuka tu Mary na demu akajibu jina lingine muda huo huo (Hata jina lake nilikuwa silijui).

Siku hiyo niliamini mizimu ipo. Nilipoulizwa jina langu nilitaja jina la ukoo, ghafla mkuu wa wale polisi akakurupuka kuwa anamjua mzee wangu (mzee nishazika miaka mingi iliyopita) alijichanganya tu, na hiyo ndio ikawa pona yangu.

Sumbawanga vijijini nililala lodge usiku mzima kulikuwa na kelele za mapaka hasa ukizima taa. Nilikesha mpaka panapambazuka.

Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa.

Tena topic za ajabu kama vile utanifanya mara ngapi, utanioa, mbona mbupu zako ndefu, hii ikiwa ni saa 7 za usiku tena kwa kelele. Ilibidi saa 11 asubuhi ninyate nikimbie fedheha toka kwa wa vyumba vya jirani waliosikia, kufika mapokezi jamaa ananicheka mpaka kuanguka kumbe alikuwa akisikia ile mikelele.

Stori za lodge zipo nyingi mno nilizokutana nazo. Nimechoka kuandika.
Nimecheka sana ayseee
 
Nafika Dar usiku mida ya saa 5 mbezi stend ya magufuli. nachukua boda anipeleke lodge isiwe mbali sana. ananipeleka lodge (sikumbuki vzuri nadhani ni hotel) iko upande wa juu wa round about ya kwenda Goba. Jina naliweka kapuni ila wazoefu mtakuwa mmeshapata. Kesho yake ndo nakuja kuambiwa kuwa madereva wengi wa mabasi hufikia hapo. Kosa moja ya hiyo hotel ni kwamba juu ya mlango wameweka wavu badala ya vioo. huo ndo ujinga wa karne na sitakaa nije kulala hapo. nikachukua rum juu ghorofani kwa bei ya 20k. sema kuna vingine vya 30k. Ille nimeingia room, nikawa nasikia kuna mdada anaongea na sim kwa bashasha sana chumba cha opposite na mimi. Kwa mujibu wa maongezi yao alikuwa anaongea na shosti yake tu. Kumbe muda huo jamaa alikuwa bado hajafika. Mida kama ya saa 6 usiku ndo jamaa anafika. shughuli ilianza kila kinachoendelea nakisikia.

Niliteseka sana usiku ule yule binti ni mdogo umri wake kwa makadirio kati ya miaka 18 na 22 hivi, kamodo kweli (nilikuja kumuona kesho yake). Yule jamaa nadhani atakuwa alipaka vumbi la kongo aisee. siyo kwa makelele yale shughuli kama masaa mawili hivi walikuja kutulia saa 8 usiku. mtoto alilia mayowe yote unayoyajua, na matusi yote unayoyajua duniani, alafu jamaa alizibua na mtaroni pia. alafu jamaa akiongea ni ile kumtukana mwanamke na kumkejeli tuu. mwanamke yeye ndo kila kitu anaongea, kila hatua wanayofanya anaropoka. alafu wakibadili style mwanamke anatamka kabisa. mara anasema baba Jane utaniua sasa, baba Jane taratibu. Hapo jamaa ndo anaongeza kasi. Uvumilivu ulinishinda ikabidi nijihudumie kwa usiku ule sikuwa na namna japo nilijutia sana kumasturbate ukizingatia nilikuwa sijapata huduma muda mrefu kiasi.

Asubuhi waliamsha popo saa 10 alfaji hadi 11 wakalala. Saa 3 wakaenda kunywa supu sasa wakati wanarudi ndo tunakutana nao kwenye korido wanarudi. Walipoingia wakaamsha tena popo jamani yale ni mateso. Muda huu ndo jamaa alipiga sana mtaroni maana mwanamke alivyokuwa anaropoka. hadi akawa anaita mama yake, oooh mama nakufa mama yangu popote ulipo nisamehe sitarudia. Baba Jane unanifira ooo nakufa mama.. Aisee nikaona huu ujinga na inaonakena hawana dalili ya kutoka nilitoka saa 4 kwenda kutafuta lodge nyingine.
Hii noma sanaa

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nje na ajira inayoniweka mjini huwa nalima pia! Mwaka jana nilienda mkoa X ili kuwahi mashamba, ulikuwa ndio msimu wa kuandaa mashamba! Nikafika huo mkoa.,, ndan ndan huko wilayani kijjn kabisa,,, mashamba ilikuwa bei poa., 30k kwa heka moja ! Nikafika jion jion mida ya saa 1, hilo eneo kuna kijisenta au tuite kamji uchwara hapo ndo raia na wananchi hupata huduma muhimu ! Kwa uchovu wa safari sikuona haja ya kumsumbua mwenyeji wangu ,,,, nikasema ngoja nitafute chakula then nikachukue room somewhere nipumzike kesho yake nitamcheki mwenyeji wangu ! Nikaelekezwa, hio Lodge ipo hapo hapo sent tu ni umbali kama wa mita 70 au 100 ! Ee bwana, kwanza hiio Lodge ipo moja tu, haijafanyiwa finishing vizuri, madirishani kuna grills alafu kwa nje kumepigiliwa mifuko flan ya nailoni! Dah kuuliza bei naambiwa buku 5, room godoro lipo chini, kuna kijishuka na box empty pembeni , naona ndo dustbin ! Kuna taa mwanga hafifu ya solar, hamna hata switch naona zinawashwa kwa mkupuo ! Kwenye bag nilikuwa na shuka la kimasai, nikalala kibishi,,, choo cha ndan public hakikua kimekamikika kwa hio choo ni nje,,,,! Kumbe hilo eneo huwa kuna minada, siku niliyofika kumbe kesho yake mnada, vyumba vya jiran yangu kulikuwa na wafanyabiashara kibao nawasikia wanaongea kwa sauti wengine wanalewa, ke kwa me ! Mara wagongane full purukushani, sikulala kabisa! Nyumba haikuwa na singboard, tembea uone ! kesho yake tu baada ya kufanya kilichonipeleka na kuweka utaratibu sawa nikasepa nisingeweza kukaa tena kule!
 
Nilingiaga gest moja Arusha pale karibu nastendi kunasoko cjui ndokilombelo ..bhs Nika mpigia Dem mmoja akaja kipindi hiko Tungi lipo kichwani miksa mjan ..bhs nikamkuta mama anafagia fagia nikamshikisha 10 , nikamwacha Dem,,ndan nikaenda kumchukulia chps nikapga value ndogo kurudi chumba nimekisahau nikaanza kufungua rum moja baada nyingine kama askari, nikakutana rumu moja wahuni wawili Wana mfukua Dem moja nikaenda rum nyingine nikakuta wamasai wamelala uchi mikundu imepauka kama mihogo ya kuichoma..nikafungua room nyingine nakuta mama na mbaba wamelaliana uch usingizi..nikaongia room yangu nikamkuta Dem wangu Nika mvamia na mipombe yangu nilimsugua mpaka yule mama akaja kugonga..nikaona dharau hz Nika ahusha godoro sakafuni Nika pindua kitanda makusudi nili ginga ile mama ..nikaavuruga vitu ngoja balbu makusudi tu ..tukaondoka na Dem nikajiuliza huyu mama akija kufanya usafi atajiuliza hapa kilikuwa niuwanja wa vita ama nn ..Toka siku hyo mpaka Leo cjawah enda gest yoyote
 
JuIzi kati mwaka mpya nimeenda Arusha, nimechukua room pahala, bei ilikuwa 45,,, ni hotel ya kawaida tu sema wana bei sana sijui shida nini au ndo mji wa kitalii ! Kufika room mwenzangu akaenda kujimwagia, yeye ndo mwenyeji wangu kwa hio hali ya hewa ameizoea,,, Nikaingia mimi kuoga, dah kumbe maji ya moto hayatoki , nadhan mfumo ulikuwa mmbovu, reception wakati nasainishwa hiki kipengele niliuliza, ! Nikaenda kumvaa yule dada mbona maji moto hamna na mmetaka hela nyingi ? Ooh saamahani sijui bla bla kibao, nikamwambia nibadilishe room akagoma, basi rudisha hela kiasi napo akagoma, nikawa mkali hadi akamuita mlinzi ! wapuuzi wale, wakanirudishia 15 !
 
Mi nlichukua room Gest kwa ajili ya mgegedo na Dem wangu. Ile tumeingia kuanza mgegedo.

Kama dk 10 za mwanzo, tukaanza kusikia kilele kwenye makorido. Mara wagonge kwenye mlango wetu.

Mara tusikie "Bwana Yesu asifiwe". Kumbe Gest ilikodiwa na wanakwaya, walikuja kwenye Xmas.

Mzuka wote ulikata, sikuweza kuendelea. Nilishuka, mgegedo ukaishia hapo.

Yule demu alinimaindi mno eti tuendelee.
Hahahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 Mkuu nimecheka mpk nimepaliwaaa

Hii sio chai mkuu? Aiseee you made my day bro
 
JuIzi kati mwaka mpya nimeenda Arusha, nimechukua room pahala, bei ilikuwa 45,,, ni hotel ya kawaida tu sema wana bei sana sijui shida nini au ndo mji wa kitalii ! Kufika room mwenzangu akaenda kujimwagia, yeye ndo mwenyeji wangu kwa hio hali ya hewa ameizoea,,, Nikaingia mimi kuoga, dah kumbe maji ya moto hayatoki , nadhan mfumo ulikuwa mmbovu, reception wakati nasainishwa hiki kipengele niliuliza, ! Nikaenda kumvaa yule dada mbona maji moto hamna na mmetaka hela nyingi ? Ooh saamahani sijui bla bla kibao, nikamwambia nibadilishe room akagoma, basi rudisha hela kiasi napo akagoma, nikawa mkali hadi akamuita mlinzi ! wapuuzi wale, wakanirudishia 15 !
Chai nzito
 
Back
Top Bottom