Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Tuweke sawa hapo nuru ya kweli ipo ndani yako usimnyooshee mtu mwingine kidole ili hali vinne vinakuangalia wewe,ni rahisi sana kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuuona ufalme wa Mungu, kuna jambo muhimu zaidi ni pale msalabani hakika umesamehewa dhambi zako nakuahidi leo hii tutakua wote paradiso. Ukielewa hayo hutapata tabu kumbagua mtu sababu ya dini au dhambi zake au lolote ni vipi walipomshangaa kuongea na kula na makahaba jibu jepesi sikuja kwa ajili ya walio wasafi pia usisahau ukitaka kuwa mkubwa katikati yao lazima uwe mdogo kuliko wao. Tuendelee na story bila migongano binafsi ya kimawazo.
 
Jamani mimi hapa kwenye hiki kisa cha maisha yangu toka nilipoanza kusimulia tangia tukiwa Tarime sijawahi kukashifu dini za watu,sijawahi kumkashifu mtu,na kama mtakumbuka kuna wale jamaa ambao niliwaambia kwa sasa ni matajiri wakubwa hapa Dar es salaam sijawahi kuwataja majina yao maana niliona itaniletea shida,haya yule mfanyakazi wetu wakati tukiwa Tarime,jina lake halisi lilikuwa Ashura,je mlitaka nidanganye jina lake?,hilo ndilo lilikuwa jina lake.
Matendo yote niliyoyafanya kwenye maisha yangu hayo yaliyopita hakuna nilichopunguza wala nilichoongeza,isipokuwa kile kisa cha lile pedo(pederi)la baiskeli ndicho sikukimaliza kwasababu ya maneno ya watu.
Majina ya watu niliyoshiriki nao kwenye maisha ni majina halisi na wale ambao sikuwataja kuna sababu zilizofanya nisiwataje.

Mtu kama Zainati,Yusta,Scolastica,Ezekiel na Anton,hayo ni majina yao halisi.

Alama niliyowekewa mkononi na yule Malaika bado ninayo,kuna alama nilikatwa na kisu nikiwa maeneo fulani panaitwa Matemanga mkoani Ruvuma bado ninayo,kuna alama pia ninayo kidoleni ambayo nilipata ajali nikiwa kwenye gari langu kabla ya kufilisika bado ninayo,pia kidole changu kidogo cha kushoto kimepinda kabisa baada ya kusukumwa nikiwa nimelala kule Tarime.Nyumba niliyoishi nikiwa Tajiri bado ipo pale Igoma na kama mtahitaji ushahidi nipo tayari,nyumba zangu au apartment nilizojenga kule Buhongwa bado zipo kama mkihitaji ushahidi nipo tayari,nyumba yetu ya nyegezi niliyorekebisha bado ipo mkitaka ushahidi nipo tayari,Kaburi la baba yangu kule Tarime maeneo ya Ronsoti bado lipo mkitaka ushahidi nipo tayari,Kabuli la mama yangu kule kijiji cha Sumve wilaya ya Kwimba bado lipo mkitaka ushahidi nipo tayari.

Jamani kwanini watu hawataki kuamini kile ninachokisema?,nifanye nini ili muamini?,au kuyataja hayo majina yenye asili ya kiarabu kama Ashura na Zainati ndilo tatizo?,mlitaka nidanganye?,mbona hata majina ya wakristo nimeyataja?,Kinachofanya mnitupie maneno ya lawama ni nini?.
Toka mwanzo sikutaka kuupotosha uma wa kwasababu najua impact ya uongo.Hiki kisa hivi sasa ninakismulia pale Redio Free Africa kwenye kipindi chao cha SITOSAHAU,hivi nawezaje kusimulia kisa cha uongo ambacho kitafarakanisha jamii?,ninawezaje kusema uongo mbele ya serikali hii ya Tanzania?,hivi kama ninasema uongo endapo serikali ikisema nithibitishe nitaanzaje?.

Ninausema ukweli kwasababu nipo tayari hata serikali ya Tanzania iseme nithibitishe nipo tayari kuthibitisha na wala sihofii kwasababu nilipitia mimi mwenyewe haya maisha.
Mkuu endelea na stori please
Tunahitaji kusoma muendelezo.


Unajua siyo lazima kila mtu aamini.
Waache wenye kuamini wataamini
Wasio kuamini ujue siku yao bado..inakuja ya kuamini.
 
Daah kumbe hii story bd IPO km wanakuznguah achana nayo tafuta kaz ya kufanya
 
Jamani mimi hapa kwenye hiki kisa cha maisha yangu toka nilipoanza kusimulia tangia tukiwa Tarime sijawahi kukashifu dini za watu,sijawahi kumkashifu mtu,na kama mtakumbuka kuna wale jamaa ambao niliwaambia kwa sasa ni matajiri wakubwa hapa Dar es salaam sijawahi kuwataja majina yao maana niliona itaniletea shida,haya yule mfanyakazi wetu wakati tukiwa Tarime,jina lake halisi lilikuwa Ashura,je mlitaka nidanganye jina lake?,hilo ndilo lilikuwa jina lake.
Matendo yote niliyoyafanya kwenye maisha yangu hayo yaliyopita hakuna nilichopunguza wala nilichoongeza,isipokuwa kile kisa cha lile pedo(pederi)la baiskeli ndicho sikukimaliza kwasababu ya maneno ya watu.
Majina ya watu niliyoshiriki nao kwenye maisha ni majina halisi na wale ambao sikuwataja kuna sababu zilizofanya nisiwataje.

Mtu kama Zainati,Yusta,Scolastica,Ezekiel na Anton,hayo ni majina yao halisi.

Alama niliyowekewa mkononi na yule Malaika bado ninayo,kuna alama nilikatwa na kisu nikiwa maeneo fulani panaitwa Matemanga mkoani Ruvuma bado ninayo,kuna alama pia ninayo kidoleni ambayo nilipata ajali nikiwa kwenye gari langu kabla ya kufilisika bado ninayo,pia kidole changu kidogo cha kushoto kimepinda kabisa baada ya kusukumwa nikiwa nimelala kule Tarime.Nyumba niliyoishi nikiwa Tajiri bado ipo pale Igoma na kama mtahitaji ushahidi nipo tayari,nyumba zangu au apartment nilizojenga kule Buhongwa bado zipo kama mkihitaji ushahidi nipo tayari,nyumba yetu ya nyegezi niliyorekebisha bado ipo mkitaka ushahidi nipo tayari,Kaburi la baba yangu kule Tarime maeneo ya Ronsoti bado lipo mkitaka ushahidi nipo tayari,Kabuli la mama yangu kule kijiji cha Sumve wilaya ya Kwimba bado lipo mkitaka ushahidi nipo tayari.

Jamani kwanini watu hawataki kuamini kile ninachokisema?,nifanye nini ili muamini?,au kuyataja hayo majina yenye asili ya kiarabu kama Ashura na Zainati ndilo tatizo?,mlitaka nidanganye?,mbona hata majina ya wakristo nimeyataja?,Kinachofanya mnitupie maneno ya lawama ni nini?.
Toka mwanzo sikutaka kuupotosha uma wa kwasababu najua impact ya uongo.Hiki kisa hivi sasa ninakismulia pale Redio Free Africa kwenye kipindi chao cha SITOSAHAU,hivi nawezaje kusimulia kisa cha uongo ambacho kitafarakanisha jamii?,ninawezaje kusema uongo mbele ya serikali hii ya Tanzania?,hivi kama ninasema uongo endapo serikali ikisema nithibitishe nitaanzaje?.

Ninausema ukweli kwasababu nipo tayari hata serikali ya Tanzania iseme nithibitishe nipo tayari kuthibitisha na wala sihofii kwasababu nilipitia mimi mwenyewe haya maisha.
Mkuu Mimi naona unajikanganya tu bado, na bado hujanijibu maswali yangu tafakuri, kua ni KIPI HASWA kimekufanya ulete hii stori hapa, suala la kudhibitisha najua huwezi kudhibitisha hayo mambo ambayo unaaminisha umma kua yapo upande wa pili, wewe kama ulikua CHUMBA A na ukahamia CHUMBA B, kuna ulazima gani wa wewe kuongelea yaliyokua yanafanywa CHUMBA A pasipo na UDHIBITISHO uliotukuka na zaidi ambayo unayasema yanaleta taswira mbaya kwa WAAMINIO wa CHUMBA A uliowaacha, narudia kuasema nilichokiandika hapa hakikunyimi wewe kuendelea na HADITHI yako lakini nimekuta jambo ambalo imenipasa kulitolea maelezo huu UNAFIKI na UONGO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilitamka hivyo makusudi ili baadhi yao waache unafiki humu jamvini na mitaani kwetu huko kuanzisha jambo kwa minajili ya Ku mock upande mwingine, tena zaidi bila vidhibitisho, yani stori ya kuwaonesha wengine ni WABAYA, je tukianza kuongea hapa ya wachungaji na manabii wanaenda kuchukua nguvu za ziada ghana au Nigeria kwa ajili ya MIRACLES sababu watu wengi wanaosema wameokoka ndio hao wanakimbilia ishara na miujiza, wengine kukanyaga mafuta, wengine kupuliziwa dawa ya mbu, juzi namsikia mmoja anajitapa kua ni bingwa wa mizimu, siku hizi makanisani huko hakuna neno la Mungu linahubiriwa, ni mipasho kila kona, mapadre wananajisi watoto wadogo, wengine ....sasa umenilazimisha nianze kuongea japo nilichosema ni kipisi kidogo tu, itoshe kusema kuwe na mipaka ya kutangaza unachoabudu bila Ku MOCK wengine, kujiona nyinyi ni WASAFI wengine sio WASAFI haifai

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QU



Kwani Kuna sehemu Lwanda Magere kaongerea dini au imani fulani???
 
Na zaidi sote tutakufa, hakuna atakayebaki mana naona umehamia kwenye kufa sasa, sasa sijui unetamka ili kuniogopesha ama vipi, kifo ni mojawapo ya stages za kisayansi za mwanadamu lazima apitie kama sisi tulivyotoka kua MANYANI na kua BINADAMU

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mwanadamu nyani acha frika za mapokeo , ww una ajenda kali nyuma ya pazia juu ya stori hii . Kaa jitafakali
 
Mkuu whyme pumzika kidogo.Mpaka sasa unaongoza bao 3-0 dhidi ya mpinzani wako mkali sema shule ndio ivo hospitali kuna kama rubani anaenda mgomba japo mbuzi nae kuna mbu kwenye neti shule ya jeshi na taulo kwenye mchele wa bajaji.

Hongera
Ehhh [emoji23]... Nmevaa had earphones bado
sjaelewaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Jamani mimi hapa kwenye hiki kisa cha maisha yangu toka nilipoanza kusimulia tangia tukiwa Tarime sijawahi kukashifu dini za watu,sijawahi kumkashifu mtu,na kama mtakumbuka kuna wale jamaa ambao niliwaambia kwa sasa ni matajiri wakubwa hapa Dar es salaam sijawahi kuwataja majina yao maana niliona itaniletea shida,haya yule mfanyakazi wetu wakati tukiwa Tarime,jina lake halisi lilikuwa Ashura,je mlitaka nidanganye jina lake?,hilo ndilo lilikuwa jina lake.
Matendo yote niliyoyafanya kwenye maisha yangu hayo yaliyopita hakuna nilichopunguza wala nilichoongeza,isipokuwa kile kisa cha lile pedo(pederi)la baiskeli ndicho sikukimaliza kwasababu ya maneno ya watu.
Majina ya watu niliyoshiriki nao kwenye maisha ni majina halisi na wale ambao sikuwataja kuna sababu zilizofanya nisiwataje.

Mtu kama Zainati,Yusta,Scolastica,Ezekiel na Anton,hayo ni majina yao halisi.

Alama niliyowekewa mkononi na yule Malaika bado ninayo,kuna alama nilikatwa na kisu nikiwa maeneo fulani panaitwa Matemanga mkoani Ruvuma bado ninayo,kuna alama pia ninayo kidoleni ambayo nilipata ajali nikiwa kwenye gari langu kabla ya kufilisika bado ninayo,pia kidole changu kidogo cha kushoto kimepinda kabisa baada ya kusukumwa nikiwa nimelala kule Tarime.Nyumba niliyoishi nikiwa Tajiri bado ipo pale Igoma na kama mtahitaji ushahidi nipo tayari,nyumba zangu au apartment nilizojenga kule Buhongwa bado zipo kama mkihitaji ushahidi nipo tayari,nyumba yetu ya nyegezi niliyorekebisha bado ipo mkitaka ushahidi nipo tayari,Kaburi la baba yangu kule Tarime maeneo ya Ronsoti bado lipo mkitaka ushahidi nipo tayari,Kabuli la mama yangu kule kijiji cha Sumve wilaya ya Kwimba bado lipo mkitaka ushahidi nipo tayari.

Jamani kwanini watu hawataki kuamini kile ninachokisema?,nifanye nini ili muamini?,au kuyataja hayo majina yenye asili ya kiarabu kama Ashura na Zainati ndilo tatizo?,mlitaka nidanganye?,mbona hata majina ya wakristo nimeyataja?,Kinachofanya mnitupie maneno ya lawama ni nini?.
Toka mwanzo sikutaka kuupotosha uma wa kwasababu najua impact ya uongo.Hiki kisa hivi sasa ninakismulia pale Redio Free Africa kwenye kipindi chao cha SITOSAHAU,hivi nawezaje kusimulia kisa cha uongo ambacho kitafarakanisha jamii?,ninawezaje kusema uongo mbele ya serikali hii ya Tanzania?,hivi kama ninasema uongo endapo serikali ikisema nithibitishe nitaanzaje?.

Ninausema ukweli kwasababu nipo tayari hata serikali ya Tanzania iseme nithibitishe nipo tayari kuthibitisha na wala sihofii kwasababu nilipitia mimi mwenyewe haya maisha.
Endelea mkuu anataka kukutoa nje ya reli.
 
Mkuu Mimi naona unajikanganya tu bado, na bado hujanijibu maswali yangu tafakuri, kua ni KIPI HASWA kimekufanya ulete hii stori hapa, suala la kudhibitisha najua huwezi kudhibitisha hayo mambo ambayo unaaminisha umma kua yapo upande wa pili, wewe kama ulikua CHUMBA A na ukahamia CHUMBA B, kuna ulazima gani wa wewe kuongelea yaliyokua yanafanywa CHUMBA A pasipo na UDHIBITISHO uliotukuka na zaidi ambayo unayasema yanaleta taswira mbaya kwa WAAMINIO wa CHUMBA A uliowaacha, narudia kuasema nilichokiandika hapa hakikunyimi wewe kuendelea na HADITHI yako lakini nimekuta jambo ambalo imenipasa kulitolea maelezo huu UNAFIKI na UONGO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mijitu ya hivi mkoje watu tupo tunaburudika na ya ulimwengu yawe kweli au sio kweli wewe unatoka ulikotoka kumvuruga jamaa,acha roho mbaya aisee wapo tunaosoma na kufuatilia usituvuruge.
 
Mkuu Mimi naona unajikanganya tu bado, na bado hujanijibu maswali yangu tafakuri, kua ni KIPI HASWA kimekufanya ulete hii stori hapa, suala la kudhibitisha najua huwezi kudhibitisha hayo mambo ambayo unaaminisha umma kua yapo upande wa pili, wewe kama ulikua CHUMBA A na ukahamia CHUMBA B, kuna ulazima gani wa wewe kuongelea yaliyokua yanafanywa CHUMBA A pasipo na UDHIBITISHO uliotukuka na zaidi ambayo unayasema yanaleta taswira mbaya kwa WAAMINIO wa CHUMBA A uliowaacha, narudia kuasema nilichokiandika hapa hakikunyimi wewe kuendelea na HADITHI yako lakini nimekuta jambo ambalo imenipasa kulitolea maelezo huu UNAFIKI na UONGO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba mkuu uamini kama kuna ushirikina na kwasababu ninasema ushirikina ni mbaya unaona kama nawaonea washirikina?,Sasa ndiyo nimekuelewa mkuu kwamba unautetea ushirikina!!,kama unautetea ushirikina bila shaka na wewe ni mshirikina!!.

Mkuu mimi nitawaponda vichwa mpaka wanyooke!!
 
Mkuu Mimi naona unajikanganya tu bado, na bado hujanijibu maswali yangu tafakuri, kua ni KIPI HASWA kimekufanya ulete hii stori hapa, suala la kudhibitisha najua huwezi kudhibitisha hayo mambo ambayo unaaminisha umma kua yapo upande wa pili, wewe kama ulikua CHUMBA A na ukahamia CHUMBA B, kuna ulazima gani wa wewe kuongelea yaliyokua yanafanywa CHUMBA A pasipo na UDHIBITISHO uliotukuka na zaidi ambayo unayasema yanaleta taswira mbaya kwa WAAMINIO wa CHUMBA A uliowaacha, narudia kuasema nilichokiandika hapa hakikunyimi wewe kuendelea na HADITHI yako lakini nimekuta jambo ambalo imenipasa kulitolea maelezo huu UNAFIKI na UONGO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani Mkuu, mwaka Jana uliomba msaada wa kuunganishwa na mtaalam wa kukuwezesha kupata utajiri wa Ndago ulifanikiwa ? Ulisema maisha yamekushinda wataka ndago uwe tajir. Kwa sasa una bilioni ngapi za shetani ? Lwanda kashatoka huko wewe endelea tu kutoa kafara huyo anayekutuma mwisho atakutoa kafara wewe mwenyewe shauri yako.Mwache lwanda atoe ushuhuda wake humu tujifunze.Kichwa kikubwa wewe.
 
We jamaa mbona una shobo wewe ,nitakutus nipigwe ban kwa ajili yko ,we inakuhusu Nini humu kwenye hii story ,kwenda zko huko ,Kama imekuuma chomoa
 
Kwamba mkuu uamini kama kuna ushirikina na kwasababu ninasema ushirikina ni mbaya unaona kama nawaonea washirikina?,Sasa ndiyo nimekuelewa mkuu kwamba unautetea ushirikina!!,kama unautetea ushirikina bila shaka na wewe ni mshirikina!!.

Mkuu mimi nitawaponda vichwa mpaka wanyooke!!
Achana nae huyo, Mwaka Jana humu aliomba mtu anaye mjua mganga wa kienyeji amuunganishe ,alisema maji yamemfika shingoni Hana namna ya kujikwamua na haya maisha , huenda alifanikiwa sasa hivi ana miliki mali za shetani za kishirikina , hivyo anaumia Sana ulivyojitoa na kuanza kutoa Siri zao humu,.Achana nae uzi wake uko humu ukiu search utaupata.
 
Kwamba mkuu uamini kama kuna ushirikina na kwasababu ninasema ushirikina ni mbaya unaona kama nawaonea washirikina?,Sasa ndiyo nimekuelewa mkuu kwamba unautetea ushirikina!!,kama unautetea ushirikina bila shaka na wewe ni mshirikina!!.

Mkuu mimi nitawaponda vichwa mpaka wanyooke!!
Mimi nahisi ana undugu na Malkia huyu..
Halafu anajiona mjuaji sana kabisa anajaribu kutetea uabudu shetani.

Mkuu hebu endelea basi na stori..kuna Roho za watu nyingi zinasubiri kuponywa.

Usipoteze muda kubishana na mtu anayekupotezea muda bure,ni heri muda huu uandike stori watu wasome wajifunze.
 
Bado hujanijibu mkuu maswali yangu, una UDHIBITISHO gani ya kua wana wa imani walio upande wa pili wanafanya hayo uliyoyatamka? Mini najua mtu anaua ni mhalifu na hua wanaface sheria, wanaodhulumu ni wahalifu wanaface sheria, wanaoiba ni wahalifu wanaface sheria, ngono ( hapa fafanua zaidi kwenye NGONO), kudhini ( hapa nadhani kama Niko sawa umemanisha kuzini), sasa hayo unayatolea UDHIBITISHO gani kua yanafanyika kwa WAAMINIO upande wa pili

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa unanikera wewe ,hujielewi kwani lazima huwe kwenye huu uzi au unatafuta kutukanwa sikupendi kabisa ningekua na majini ningekutupia Toka kwenye huu uzi ,wacha wenzio tupone
 
Mimi nahisi ana undugu na Malkia huyu..
Halafu anajiona mjuaji sana kabisa anajaribu kutetea uabudu shetani.

Mkuu hebu endelea basi na stori..kuna Roho za watu nyingi zinasubiri kuponywa.

Usipoteze muda kubishana na mtu anayekupotezea muda bure,ni heri muda huu uandike stori watu wasome wajifunze.
Nitapigwa ban kwa ajili yke
 
Back
Top Bottom