Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Huyu tangu uzi unaanza yeye ni kuvuruga tu!Nitapigwa ban kwa ajili yke
Dah jamaa nahisi ana mapepo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu tangu uzi unaanza yeye ni kuvuruga tu!Nitapigwa ban kwa ajili yke
Level thinking capacity yako ni ndogo sana mtoto.Huyu tangu uzi unaanza yeye ni kuvuruga tu!
Dah jamaa nahisi ana mapepo.
Tupishe boss.
Ungekua na akili usingebishana kuhusu dini kwa sababu hata waliozileta wamekufa wameachaHauna hoja ya msingi, ndio mana sihangaiki na wewe, level thinking capacity yako ni ndogo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunichukia Mimi hakunipunguzii ama kuniongezea chochote, wewe kupona ama kutopona hakunizuii Mimi kusema nachotaka kusema, wala haikuzuii wewe kutaka kupona kama unavyodai, na hata ukitukana haitasaidia chochote zaidi ya kua utakua haujafanya logic thinking yoyote zaidi ya kuendeshwa na mihemkoWe jamaa unanikera wewe ,hujielewi kwani lazima huwe kwenye huu uzi au unatafuta kutukanwa sikupendi kabisa ningekua na majini ningekutupia Toka kwenye huu uzi ,wacha wenzio tupone
Mkuu una bilioni ngapi za ndago ? Au Bado unatafuta mganga ? Lwanda ashatoka huko siku nyingi.Amkaa kumekucha acha kuwaza Mali za kishirikina wewe.Kunichukia Mimi hakunipunguzii ama kuniongezea chochote, wewe kupona ama kutopona hakunizuii Mimi kusema nachotaka kusema, wala haikuzuii wewe kutaka kupona kama unavyodai, na hata ukitukana haitasaidia chochote zaidi ya kua utakua haujafanya logic thinking yoyote zaidi ya kuendeshwa na mihemko
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umefunga mjadala rasmi, umemaliza kila kitu mwenye Akili timamu ataelewa na mwenye Akili za Utopolo muache na utopolo wake.Jamani mimi hapa kwenye hiki kisa cha maisha yangu toka nilipoanza kusimulia tangia tukiwa Tarime sijawahi kukashifu dini za watu,sijawahi kumkashifu mtu,na kama mtakumbuka kuna wale jamaa ambao niliwaambia kwa sasa ni matajiri wakubwa hapa Dar es salaam sijawahi kuwataja majina yao maana niliona itaniletea shida,haya yule mfanyakazi wetu wakati tukiwa Tarime,jina lake halisi lilikuwa Ashura,je mlitaka nidanganye jina lake?,hilo ndilo lilikuwa jina lake.
Matendo yote niliyoyafanya kwenye maisha yangu hayo yaliyopita hakuna nilichopunguza wala nilichoongeza,isipokuwa kile kisa cha lile pedo(pederi)la baiskeli ndicho sikukimaliza kwasababu ya maneno ya watu.
Majina ya watu niliyoshiriki nao kwenye maisha ni majina halisi na wale ambao sikuwataja kuna sababu zilizofanya nisiwataje.
Mtu kama Zainati,Yusta,Scolastica,Ezekiel na Anton,hayo ni majina yao halisi.
Alama niliyowekewa mkononi na yule Malaika bado ninayo,kuna alama nilikatwa na kisu nikiwa maeneo fulani panaitwa Matemanga mkoani Ruvuma bado ninayo,kuna alama pia ninayo kidoleni ambayo nilipata ajali nikiwa kwenye gari langu kabla ya kufilisika bado ninayo,pia kidole changu kidogo cha kushoto kimepinda kabisa baada ya kusukumwa nikiwa nimelala kule Tarime.Nyumba niliyoishi nikiwa Tajiri bado ipo pale Igoma na kama mtahitaji ushahidi nipo tayari,nyumba zangu au apartment nilizojenga kule Buhongwa bado zipo kama mkihitaji ushahidi nipo tayari,nyumba yetu ya nyegezi niliyorekebisha bado ipo mkitaka ushahidi nipo tayari,Kaburi la baba yangu kule Tarime maeneo ya Ronsoti bado lipo mkitaka ushahidi nipo tayari,Kabuli la mama yangu kule kijiji cha Sumve wilaya ya Kwimba bado lipo mkitaka ushahidi nipo tayari.
Jamani kwanini watu hawataki kuamini kile ninachokisema?,nifanye nini ili muamini?,au kuyataja hayo majina yenye asili ya kiarabu kama Ashura na Zainati ndilo tatizo?,mlitaka nidanganye?,mbona hata majina ya wakristo nimeyataja?,Kinachofanya mnitupie maneno ya lawama ni nini?.
Toka mwanzo sikutaka kuupotosha uma wa kwasababu najua impact ya uongo.Hiki kisa hivi sasa ninakismulia pale Redio Free Africa kwenye kipindi chao cha SITOSAHAU,hivi nawezaje kusimulia kisa cha uongo ambacho kitafarakanisha jamii?,ninawezaje kusema uongo mbele ya serikali hii ya Tanzania?,hivi kama ninasema uongo endapo serikali ikisema nithibitishe nitaanzaje?.
Ninausema ukweli kwasababu nipo tayari hata serikali ya Tanzania iseme nithibitishe nipo tayari kuthibitisha na wala sihofii kwasababu nilipitia mimi mwenyewe haya maisha.
Kuna watu wanampotezea muda mtoa mada. Ona sasa badala aendelee na stori,yupo anahangaika na mjinga mmoja.
Kuna watu wanampotezea muda mtoa mada. Ona sasa badala aendelee na stori,yupo anahangaika na mjinga mmoja.
Acha matusi na kudharau dini za watu nyegere weweUkipunguza kidomo chako inatosha
Mkuu jukwaa la entartainment wewe unakomaa na kuanza kubishana na mleta story kweli.This is a FREE FORUM, labda kama hii thread ni ya waliookoka as you claim, ila kama ni free forum basi kila mtu ana haki ya kusoma na kukanusha kile ambacho anaona SIO SAWA, kukanusha kwangu iakufanye wewe uendelee kuamini unachoamini, siwezi kukutoa huko na sina huo MUDA sababu naheshimu mipaka ya KIIMANI, lakini nitapinga siku zote mada kama hizi haswa stori za sijui nilikua wakala wa Giza sasa nipo nuruni, unafiki na uzandiki wa aina hio popote pale nitakapouukuta nitaupinga, mipaka ya KIIMANI iheshimiwe na kila MTU, usianzishe kitu ili kuleta ana kuonesha IMAGE MBAYA ya upande mwingine wa watu wanachoamini na kuendelea kuamini kwenye maisha yao ya kila SIKU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mimi naona unajikanganya tu bado, na bado hujanijibu maswali yangu tafakuri, kua ni KIPI HASWA kimekufanya ulete hii stori hapa, suala la kudhibitisha najua huwezi kudhibitisha hayo mambo ambayo unaaminisha umma kua yapo upande wa pili, wewe kama ulikua CHUMBA A na ukahamia CHUMBA B, kuna ulazima gani wa wewe kuongelea yaliyokua yanafanywa CHUMBA A pasipo na UDHIBITISHO uliotukuka na zaidi ambayo unayasema yanaleta taswira mbaya kwa WAAMINIO wa CHUMBA A uliowaacha, narudia kuasema nilichokiandika hapa hakikunyimi wewe kuendelea na HADITHI yako lakini nimekuta jambo ambalo imenipasa kulitolea maelezo huu UNAFIKI na UONGO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Low level thinking capacity yako ni ndogo sana, Jamii forums hawawezi kua na akili kama hizo kuweka ban kwa mtu ambaye ametoa concerns zake bila matusi, wewe mwenye level ndogo ya kufikiria unasema nimekuja kuvuruga, yani hii tu inanipa picha kua kuna watu hawajui hata wanachokisimamia maishani na kwanini wanakisimamia.
Sijakuelewa ! Mambo ya Giza ndio yakoje, njoo na UDHIBITISHO kunidhibitishia kua kinachofanyika sehemu nilipo ni mambo ya giza, na kipi kinachokufanya u draw conclusion kua nitakuja kushuhudia nachokiamini HAKIFAI, kwahio wewe umevuka mpaka wangu wa KIIMANI kutaka kuniaminisha ya kua nachokiamini HAKIFAI, kwa sababu zipi haswa, hizi IMMPLANTED WORDS amabazo hua MNALISHWA ili muwaone walio upande mwingine SIO WATU?! POLEWewe naye ni mshirika wa hayo mambo ya giza ndo maana unapanua sana domo kupinga..very soon na wewe utakuja humu JF kutushuhudia namna ambavyo hayo mambo ya giza hayafai ni suala la muda tu utakutana na nguvu za Mungu aliye HAI..
Kumbe ni ENTERTAINMENT?Mkuu jukwaa la entartainment wewe unakomaa na kuanza kubishana na mleta story kweli.
Na ni aliyemzuia asiwape stori yenu "tamu"? Sijamshikilia mkono wake wala kalamu yake, unajua kutofautisha spam na challenging comments? Au nawe ni mmoja wa ambao hamjitambuiHuyu jamaa kafanya leo tusipate hata episode moja ya muendelezo. Tumripoti kama spam nini ? Ila jambo zuri ni wote kuamua kumuignore mwisho atanyamaza mwenyewe
Ukiwa mjuaji sana mwisho unakuwa mjinga huna logic yoyote,unasema hana uthibitisho wowote,wewe, unaepinga umefanya nini kuthibitisha jamaa hana uthibitisho hebu tuonyeshe kwamba ni uongo sio polojo zako hizo?Mkuu Mimi naona unajikanganya tu bado, na bado hujanijibu maswali yangu tafakuri, kua ni KIPI HASWA kimekufanya ulete hii stori hapa, suala la kudhibitisha najua huwezi kudhibitisha hayo mambo ambayo unaaminisha umma kua yapo upande wa pili, wewe kama ulikua CHUMBA A na ukahamia CHUMBA B, kuna ulazima gani wa wewe kuongelea yaliyokua yanafanywa CHUMBA A pasipo na UDHIBITISHO uliotukuka na zaidi ambayo unayasema yanaleta taswira mbaya kwa WAAMINIO wa CHUMBA A uliowaacha, narudia kuasema nilichokiandika hapa hakikunyimi wewe kuendelea na HADITHI yako lakini nimekuta jambo ambalo imenipasa kulitolea maelezo huu UNAFIKI na UONGO.
Sent using Jamii Forums mobile app