Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule wa kuleHahaha huu haufungwi bwana tutaandamana
Ule wa kule nimeona umefungwa wewe na karma mmenishinda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ule wa kule
Kumbeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimechukua maamuzi magumu katika safari yangu ya kusaka utajiri
Wakuu kama thread yangu ya awali badi natafuta mtaalamu wa ndagu za utajiri. Kama kuna yeyote atakuja kuniunganisha na mtaalam wa ndagu za utajiri nitamshukuru sana, nimedhamiria na nipo tayari. Haya maamuzi hayajaja leo bali ni ya muda sasa, hadi kusema hivi ni maji yamefikia shingoniwww.jamiiforums.com
[emoji23][emoji23][emoji23]Nicheki inbox kwa ajili ya kalkuleta na msimu wa mvua kwenye simu au barabara pamoja na dirisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ule wa kule nimeona umefungwa wewe na karma mmenishinda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi unajua avatar yako inanitisha sana mkuu
Swala la kukukubalia mkuu halitawezekana mimi ni babe wa mtuHilo suala linaongeleka tuu, nikubalie ntaitoaa.
Hahhaha jana mmeshinda nao leo mmeamka nao narudi nakuta umefungwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu zangu leo nitawapiga episode kama 3 hivi maana nilikuwa ninapilika za utafutaji
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na tungeendelea naoHahhaha jana mmeshinda nao leo mmeamka nao narudi nakuta umefungwa
[emoji4][emoji91][emoji91][emoji91]Tunasubiri mkuuNdugu zangu leo nitawapiga episode kama 3 hivi maana nilikuwa ninapilika za utafutaji
Hahahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na tungeendelea nao
Wacha nisubiri episode tu hapa..Hahahahaha
Tunasubiria mzigo mkuu tupate kujifunza zaidi na zaidiNdugu zangu leo nitawapiga episode kama 3 hivi maana nilikuwa ninapilika za utafutaji
Hahahah watu na macrush wenuWacha nisubiri episode tu hapa..
Wametukatili kuufunga uzi wetu pendwa wa macrush[emoji1787]
Hivi kuna hadithi nyingine humu jf nzuri nzuri kama hii?
Kama ipo naomba unitajie nijaribu kuisoma.
Mimi ni mvivu sana kusoma hadithi na kumaliza, hadi nimesoma hadithi ya mtu basi ujue anajua sana kuandika na imenivutia.
Hivi Mtu anaitwa Lwanda Magere,atakuwaje na stori ya Kweli?.Hii ni story ya ukweli au ya kutunga (hadithi)