Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Alishasema hapo kwenye story yake pesa inaendana na shetani. Kampa nguvu shetani. Kwa mara nyingine katika maiaha yake shetani ameshinda. Huyu jamaa bana. Kaanza na kusema kuna watu wanataka kununua story aone uelekeo. Kaja tena na kuhamia telegram. Ishu sio buku ishu ni tamaa ya msimuliaji. Kwani tokea mwanzo alikua anasisitiza ni yeye mwenyewe kaamua kusimulia story ya maisha yake kilichomsibu tena kuhamisha uelekeo ni nini. Bora angeendelea kuomba hela ya vocha hapa hapa.
Unaetegemea maisha yake atayaendesha vp kama hatafanya hivyo?
 
Hauna hoja ya msingi, ndio mana sihangaiki na wewe, level thinking capacity yako ni ndogo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshajua kwanin unapinga jamaa kuleta huu ushuhuda humu[emoji23][emoji23]

 
Mimi nataka kujua issue ya baiskeli ya mshkaji iliishia wapi.??


Halafu tafadhali acha kuwasikiliza baadhi ya hawa maandazi wa humu, ona kipande cha mwisho kilivyo hakina ladha kama chips zilizolala kisa tu kufupisha story,

LwandaMagere wewe tuwekee details zote ikiwezekana hata ratiba za msosi wa week nzima, tunaotaka tutasoma wasotaka waende jukwaa la siasa, hatuwezi kosa utamu kisa mafurushi machache..!!
Kuna episodes zilifutwa au? Maana nimeishia baada ya kunaliza shule 2003 akaenda Mwanza. Sijaona kuhusu baiskeli wala nini.

Ila wabongo wajuaji sana. Utafiki wanamlipa mtu jinsi wanavyodai.
 
Natamani kuisoma hii mada yote tatizo kuutafuta mwendelezo wake,mods mtusaidie kupandisha links za alikoendelea zikae sambamba na main post maana ni kazi sana kutafuta post #743 unayohisi aliendelea huko hali yakuwa huna uhakika wa kukuta unachokitaka.

Ila kama ni kweli,nilikosoma soma nimegundua mleta mada mlikuwa familia iliyojisahau sana,hakuna hata mara moja hata kukiwa hamna tatizo mlikuwa mnkaa pamoja kama family kumuomba Mungu awape ulinzi even hata matatizo yalipoonekana bado mlizidi kutumia akili zenu changa kukabiliana nayo.
 
Natamani kuisoma hii mada yote tatizo kuutafuta mwendelezo wake,mods mtusaidie kupandisha links za alikoendelea zikae sambamba na main post maana ni kazi sana kutafuta post #743 unayohisi aliendelea huko hali yakuwa huna uhakika wa kukuta unachokitaka.

Ila kama ni kweli,nilikosoma soma nimegundua mleta mada mlikuwa familia iliyojisahau sana,hakuna hata mara moja hata kukiwa hamna tatizo mlikuwa mnkaa pamoja kama family kumuomba Mungu awape ulinzi even hata matatizo yalipoonekana bado mlizidi kutumia akili zenu changa kukabiliana nayo.
Msikilize redio free kila jpilii saa nne asubuh mpk tano kamili anasimuliaa ukoo
 
Nawaonea huruma mliokua mnacomnt ugoro tayar mmeshapigwa bakora za kimkakati bila kujijua
 
Mkuu Mimi naona unajikanganya tu bado, na bado hujanijibu maswali yangu tafakuri, kua ni KIPI HASWA kimekufanya ulete hii stori hapa, suala la kudhibitisha najua huwezi kudhibitisha hayo mambo ambayo unaaminisha umma kua yapo upande wa pili, wewe kama ulikua CHUMBA A na ukahamia CHUMBA B, kuna ulazima gani wa wewe kuongelea yaliyokua yanafanywa CHUMBA A pasipo na UDHIBITISHO uliotukuka na zaidi ambayo unayasema yanaleta taswira mbaya kwa WAAMINIO wa CHUMBA A uliowaacha, narudia kuasema nilichokiandika hapa hakikunyimi wewe kuendelea na HADITHI yako lakini nimekuta jambo ambalo imenipasa kulitolea maelezo huu UNAFIKI na UONGO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekufuatilia saana mkuuu na nimekuelewa

Tatizo lililopo hujaelewa alikuwa upande gani?

Yeye alikuwa upande wawachawi (WACHAWI)
HUKO AMETOKA KATAFUTA UPANDE ANAOHISI NI SEHEMU SAHIHI.

Sidhani kama alikuwa huko unakokusema. Lakini kama unautetea upande huo aliotoka wawachawi uko sahihi, kama sivyo kuna pahala hujamuelewa.

Mleta mada wetu na wewe unataka kukosea sehemu moja tuu.

kuwanyima watu uhuru wa kubisha na kutafakari.

Unapotoa ushuhuda huu mzito amini kabisaa wewe ni kama babu anaesimulia wajukuu kwa kuwa yeye kaona mengi hivyo maswali na mitizamo yao haviepukiki. Kuna watakao kubali kuna watakao kataa


Amini usiamini mleta maada huu ni ushuhuda mkubwa kuwahi kutokea kwenye uso wa dunia hii ya mchana
Wewe unaweza ona ni kitu cha kawaida lakini sio hivyo.

Huenda hata huu ushuhuda wewe unauchukulia kiwepesi lakini amini ni mzito mnoo kubebeka ndio maana watu wameamua kuufanya burudani lakini undani wake ni mzito mnoo kwa watu wetu hawa kuwez kuubeba ki uhalisia


Tambua unafanya kitu kikubwa mnoo lakini usikoseee kujiruhusu kulazimisha kiwe chepesi kuaminika
Huenda ikachukua hata miaka 1000 watakaokuja humu jf na kupitia vitabu vyako naamini na penyewe hawataamini
Itawalazimisha kufanya tafiti ili kujiridhisha kama hichi kiumbe kinachoitwa wewe kilikuwepo.

Kwa wakristo huenda huu ushuhuda ukaja kutumika hata huko mbinguni kama nukuu ya kuwahukumu wakristo walioshupaza mashingo yao

Haya maswali anayouliza huyu ndugu ambao mnaona kama anakashifu, muamini ni maswali yanayoishi na sio ya kizazi hiki ni ya kizazi ambacho hakitabahatika kukushuhudia, hivyo unapomjibu yeye fanya kama miaka mingi saana akija mtu kujiuliza hili swali kama ungekuwepo ungemjibu vipi?
Akija mtu akitoa mitizamo kama ya huyu kama ungebahatika kuwepo ungemjibu vipi?
Na haya yooote anayoyafanya huyu ndugu endapo ukafanikiwa kufika mbinguni kama ilivyomatarijio yako ukapata nafasi ukiwa huko kumuona mja wa mwenyezi Mungu akijiuliza haya anayojiuliza huyu nadhani utakuwa unatamani asogee mbele alikute hili swali na hizi hoja ulizomjibu huyu hapo ndipo utasikia malaika wanakuimbia nyimbo na kushangilia huku wakimtukuza bwana kwa kuwahi kuweka kiumbe kama wewe

Tambua Mungu kakupitisha huko si kwa mipango yako ni kwa matumizi yake ili Nuru ing'ae gizani. Na hili ni deni jitahidi umtumikie Mnyazi Mungu kupitia hili alilokutendea kama mja wake

Usikosee kugeuza ushuhuda huu kuwa ni mali yako usikosee kabisaaa wewe ni chombo ulietumika kuandalia ushuhuda huu.

Whyme na wengine tafadhari embu chambueni hili kwa manufaa ya kizazi cha mbele pia msimnyime haki zake za kuwa binadamu na anamapungufu yake.



Ushuhuda huu si kwa ajiri ya dini moja zote zinahusika

Dini gani inapenda haya? Hakuna.


Ushauri
Pesa utakayoipata kupitia ushuhuda huu wa Mnyazi Mungu mrudishie mwenyewe kwa kugharamia ueneaji wa huu ushuhuda vinginevyo utataka kumkufuru
 
Sijakuelewa, nimeuliza maswali, wewe unakuja na personal attacks, hii inaonesha dhahiri kua wewe na wenzio hamna weledi uliotukuka wa kunijibu zaidi ya personal attacks, nikisema nyinyi baadhi yenu ni makondoo mnapelekwa tu nitakosea, mnafurahia ( enjoyment) stori tu,
Yeye kutoka ama kuingia alikokua Mimi hakunihusu, Mimi nimekuja kusema UONGO na UNAFIKI wa watu wa aina yake, japo haimzuii yeye kuendelea kuwapa enjoyment ya stori.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aseee kwa kupitia haya maandishi nimeelewa kitu asee

Daaaaaaaaaaaah.
 
Back
Top Bottom