Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mimi nataka kujua issue ya baiskeli ya mshkaji iliishia wapi.??


Halafu tafadhali acha kuwasikiliza baadhi ya hawa maandazi wa humu, ona kipande cha mwisho kilivyo hakina ladha kama chips zilizolala kisa tu kufupisha story,

LwandaMagere wewe tuwekee details zote ikiwezekana hata ratiba za msosi wa week nzima, tunaotaka tutasoma wasotaka waende jukwaa la siasa, hatuwezi kosa utamu kisa mafurushi machache..!!
 
Mimi nataka kujua issue ya baiskeli ya mshkaji iliishia wapi.??


Halafu tafadhali acha kuwasikiliza baadhi ya hawa maandazi wa humu, ona kipande cha mwisho kilivyo hakina ladha kama chips zilizolala kisa tu kufupisha story,

LwandaMagere wewe tuwekee details zote ikiwezekana hata ratiba za msosi wa week nzima, tunaotaka tutasoma wasotaka waende jukwaa la siasa, hatuwezi kosa utamu kisa mafurushi machache..!!

I can imagine watu wanaotoka hayo maeneo anayoyataja watakuwa wanaifurahia hii story sana.

Tatizo huyu mwandishi mwenyewe hajiamini, critics wako kila sehemu. Kina Rotten Tomatoes lazima wawepo.
 
Back
Top Bottom