Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Kuna mdogo angu akikosa kuvuta bangi for 2 days anasema Nina alolo!

Na Mimi nasema Nina alolo na epsod 12
 
Sio nyingine tu ni nyingi tu ,nimeagiza mzinga hapa nasukutua na hadithi murua kabisa
 
Mhmm what next??? sacrifice on my mind never do it brother, wacha tuendelee kunywa mchuzi nyama tutazikuta chini........
 
Ushasoma ya msiti wa Nairoto ya mzee baba Kitoabu ?? Bila shaka kwangu ni #1
Kuna stori inaitwa Siri za Utajiri wa Bazoka sijui

Nzuri sema yule mtunzi kama The Bold tu

Akiweka leo anasubiri wiki mbili
 
Aloo umejilipua.. Ila acheni ukiwa maskini una dharaulika sana.
 
kweli kabisa kuna mijitu kazi yao ku criticize tu....wewe kama una hadith yako ya ukweli iweke hapa ubaoni...sio kuanza kukosoa tu kila kitu...kuna vitu vya kujifunza humu...ona sasa mdada wa kazi alivyoiletea shida hii familia.
Wabongo huwawezi mkuu,
 
Hata kama wana kamati watachukia lakini lazima tukubali maelezo yamekuwa mengi yasiyo na maana yoyote[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Si uache kusoma, kwan lazima uisome hii hadithi??? Ina meneno mengi unaona sio matakwa yako. Tunga yako yenye maneno nachache kisha uisome mwenyewe!!!
 
Si uache kusoma, kwan lazima uisome hii hadithi??? Ina meneno mengi unaona sio matakwa yako. Tunga yako yenye maneno nachache kisha uisome mwenyewe!!!
Tulishamaliza hii
 
Nimeona umezungumzia Ile pesa yenye Tundu katikati ninayo hyo!
 
Mkuu mkuu mkuu

Fanya kudondosha episode moja chap nshaagiza castle lager apa nakusubiri wewe tu badae niangalie mpira wa manchester united nisogezee mda kidogo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…