Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Good Lord...!!
Story inazidi kusisimua walaqhi', hiyo habari ya mfupa uliosagwa mpaka moyo umeshtuka jamani kumbe hayo mambo yapo kweli..!?

Halafu boss wetu Lwanda kuna kaneno umekaweka mzee bila hata tafsida, imebidi tuanze kukemea pepo..!!
Kaneno gani bibie
 
Aiseeeh..!!
Kwa wanaoamini katika Mungu wa mbinguni, Muumba mbingu na nchi, kila mtokapo na muingiapo hakikisheni mmejifunika kwa damu ya Yesu, Ombeeni safari zenu, Ombeeni wapendwa wenu hakikisheni mnawaweka chini ya ulinzi wa Mungu siku zote, Maan' this sh** is so real..!
 
Duh hii ngoma hatari! So kipindi unapiga hayo matukio na kazi za tuition na kule shule ulipokuwa unafundisha ulikuwa unaendelea au we ulikuwa unazunguka kupiga matukio tu!!
Kama ulikuwa unaendelea walimu wenzako hawakuhoji maendeleo yako ya ghafla??
 
Hivi kuna sehemu ulisema ukikosea masharti ukafanya mapenzi hyo ndo inakua adhabu yako kufanya mapenzi mpaka mwisho wa maisha yako??[emoji848][emoji848]

Hao madem ndo umesema wazuriii??

Hahahahaa ww jamaa unatala uende then ukosee mashart ili ufanye nao maisha yote sababu wazuri[emoji1787][emoji1787]
 
Kwa sasa nikiingia jf kitu cha kwanza kufungua huu uzi.Hii ni zaidi ya Elimu na nilichoamini kwamba Mungu ni mwema na anasamehe na kusahau kabisa na maandiko yanasema dhambi zako ata ziwe za aina gani na hata ziwe nyekundu kama damu ukiomba msamaha na atazisafisha na kuwa nyeupe.Mfano umeiba na ukajutia na kumuomba msamaha yeye anasahau na kusamehe kwa maana hakumbuki Kama ulifanya kosa Hilo na ndio maana ata yule mwizi msalabani alipoomba msamaha alisamehewa palepale

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 

Mlume ndago twende kazi
Mwenzio anajiita
mRume ndago
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…