Mti unapatikana muda wote ndani ya mwaka? Na hii dawa nyingine ni IPI?Yaah ni kweli huo mti upo Tabora kwa wingi tu hasa wilaya za uyui,sikonge na urambo sie wakazi wa huko tunaujua ila ni lazima upate dawa nyingine flan ya kuchanganyia kabla ujaiweka kwenye chai au uji. Na sie kule wamama wanalijua wakaiona mzee anatumia wanaaga kwenda kwao kwa mida na vile vile sometimes wengine huwa wanaotumia kutibia uhanithi.
Itabidi nifanye mpango wa kwenda MBOKAYaah ni kweli huo mti upo Tabora kwa wingi tu hasa wilaya za uyui,sikonge na urambo sie wakazi wa huko tunaujua ila ni lazima upate dawa nyingine flan ya kuchanganyia kabla ujaiweka kwenye chai au uji. Na sie kule wamama wanalijua wakaiona mzee anatumia wanaaga kwenda kwao kwa mida na vile vile sometimes wengine huwa wanaotumia kutibia uhanithi.
Mkuu hela pamoja na shipa vinahusika vyoteππ Shipa lipigwe kimkakati au upige ela???π
Ai thmell pethaaa hiaYaah ni kweli huo mti upo Tabora kwa wingi tu hasa wilaya za uyui,sikonge na urambo sie wakazi wa huko tunaujua ila ni lazima upate dawa nyingine flan ya kuchanganyia kabla ujaiweka kwenye chai au uji. Na sie kule wamama wanalijua wakaiona mzee anatumia wanaaga kwenda kwao kwa mida na vile vile sometimes wengine huwa wanaotumia kutibia uhanithi.
ππ SawasawaMkuu hela pamoja na shipa vinahusika vyote
ππ[emoji124][emoji124]
Naenda Pm kuulizia kuhusu huo mzizi wa kusapoti shipa la kimkakati.
Sipend ujinga mm[emoji41]
[emoji23]Mrume pale naona hajafafanua kiufasaha, kama ule mti wa shipa la kimkakati nao unatumia ndumba, ila kwa jinsi nilivyomsoma hautumii ndumba ila angetueleza tu namna ya kuuchanganya ili shipa lipigwe kimkakati.
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
Nisubiri tuongozane
Mr. Goi goi?[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji3][emoji3]
Nisubiri tuongozane
πππ[emoji23][emoji23]
Hauko siriaz mkuu
We ngoja wamwage details Mboka lazima nitimbe, portfolio diversification ni muhimu hakuna kucheza mbali na fursaππ Sawasawa
HapanaMr. Goi goi?[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
ππππ Sawa sawaWe ngoja wamwage details Mboka lazima nitimbe, portfolio diversification ni muhimu hakuna kucheza mbali na fursa
Oooh sawaHapana
Pesa
πππππ Bora umeamua kuwa mkweli...kila la kheriOooh sawa
Lakini ile kusema kweli nahitaji huo mti wa kupiga shipa kimkakati
Mi uongo sijazoea[emoji855][emoji855][emoji855]
Mkuu sema tu kuwa unataka namba ya yule bibi Kasulu usiongee sana
Ina maana humuamini Mungu mpaka utake kinga ya shetani? [emoji16][emoji16] Hufiki mbali asee afu pia hutaweza masharti.
ππππππ Naona Jambo limekukonga moyoππΈπ½πΈπ»βπΈππ ππΈπΎπΌβπΌ πππππΈππβ€πΈ πππππππππΈ ππβπΈπππΉπΈ ππππΌππΌβ€πΌπΌ ππβ€πβπ ππβπππ ππΈππΉπ βπππ[emoji16][emoji16]