Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Yaah ni kweli huo mti upo Tabora kwa wingi tu hasa wilaya za uyui,sikonge na urambo sie wakazi wa huko tunaujua ila ni lazima upate dawa nyingine flan ya kuchanganyia kabla ujaiweka kwenye chai au uji. Na sie kule wamama wanalijua wakaiona mzee anatumia wanaaga kwenda kwao kwa mida na vile vile sometimes wengine huwa wanaotumia kutibia uhanithi.
Mti unapatikana muda wote ndani ya mwaka? Na hii dawa nyingine ni IPI?
 
Yaah ni kweli huo mti upo Tabora kwa wingi tu hasa wilaya za uyui,sikonge na urambo sie wakazi wa huko tunaujua ila ni lazima upate dawa nyingine flan ya kuchanganyia kabla ujaiweka kwenye chai au uji. Na sie kule wamama wanalijua wakaiona mzee anatumia wanaaga kwenda kwao kwa mida na vile vile sometimes wengine huwa wanaotumia kutibia uhanithi.
Itabidi nifanye mpango wa kwenda MBOKA
 
Yaah ni kweli huo mti upo Tabora kwa wingi tu hasa wilaya za uyui,sikonge na urambo sie wakazi wa huko tunaujua ila ni lazima upate dawa nyingine flan ya kuchanganyia kabla ujaiweka kwenye chai au uji. Na sie kule wamama wanalijua wakaiona mzee anatumia wanaaga kwenda kwao kwa mida na vile vile sometimes wengine huwa wanaotumia kutibia uhanithi.
Ai thmell pethaaa hia
 
ℍ𝕌𝕌 𝕄𝕋𝕀 𝕌ℕ𝔸𝕋𝔸𝕂𝔸 𝕂𝕌ℤ𝕌𝔸 𝕌ℤ𝕀 𝕄𝕎𝕀ℕ𝔾𝕀ℕ𝔼 𝕂𝔸𝔹𝕀𝕊𝔸𝔸𝔸𝔸𝔸.

𝕂𝕎𝔸 𝕃𝕌𝔾ℍ𝔸 𝕐𝔸 𝕂𝕀𝕊𝔸𝕐𝔸ℕ𝕊𝕀 𝕋𝕌ℕ𝔸𝕊𝔼𝕄𝔸 "𝕐𝔸𝕋𝕆𝕂𝔸ℕ𝔸𝕐𝕆"
 
𝕋𝔸𝔽𝔸𝔻ℍ𝔸𝕃𝕀 𝕄𝔸𝔾𝔼ℝ𝔼 𝕌𝕂𝕀𝕄𝔸𝕃𝕀ℤ𝔸 𝕂𝕌𝕊𝕀𝕄𝕌𝕃𝕀𝔸 𝕋𝕌ℕ𝔸𝕆𝕄𝔹𝔸 𝕌𝕋𝕌𝔼𝕃𝔼ℤ𝔼𝔼 𝕍𝕀ℤ𝕌ℝ𝕀 𝕂𝕌ℍ𝕌𝕊𝕌 𝕁𝔸𝕄𝔹𝕆 ℍ𝕀𝕃𝕆[emoji16][emoji16]
 
𝕋𝔸𝔽𝔸𝔻ℍ𝔸𝕃𝕀 𝕄𝔸𝔾𝔼ℝ𝔼 𝕌𝕂𝕀𝕄𝔸𝕃𝕀ℤ𝔸 𝕂𝕌𝕊𝕀𝕄𝕌𝕃𝕀𝔸 𝕋𝕌ℕ𝔸𝕆𝕄𝔹𝔸 𝕌𝕋𝕌𝔼𝕃𝔼ℤ𝔼𝔼 𝕍𝕀ℤ𝕌ℝ𝕀 𝕂𝕌ℍ𝕌𝕊𝕌 𝕁𝔸𝕄𝔹𝕆 ℍ𝕀𝕃𝕆[emoji16][emoji16]
😂😂😂😂😂😂 Naona Jambo limekukonga moyo
 
Back
Top Bottom