Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Hapo angeweka link ambayo ingetupeleka moja kwa whatsapp kwake, mtu ukimlipa anakuadd kwenye group kisha ye anasimulia kwenye group, sababu humu watu karibia wote tunatumia whatsapp na sio telegram
Yeye atengeneze kitabu, story za WhatsApp huwa haziishi, huko watu wataanza kubembeleza mpaka iwe kero.