Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mimi ni mtumiaji wa telegram mzuri tu shida kwanini asingezichangisha hapa hapa?? Sababu telegram ameweka kwenye private group au channel angefanya hivyo hapa pia ukituma iyo buku unatupiwa episode pm. Mambo ni yale yale sema ana agenda ya siri
Sasa kama angefanya ya kulipwa na kumtumia mtu PM. Hiyo si biashara kichaa... yaan aandike na kuanza kutupia PM za watu zaid ya 100 mmoja mmoja... watu wana mawazo balaa!!!
 
Mpu.mbavu
 
Hata MI siwezi
Buku mkuu unadhan nashindwa??tatizo kuwepa ma app mengi kwenye simu huo mda sina,ila najua nitaisoma tu [emoji23][emoji23] ,afe kipa afe beki
Majukumu ya familia chungu nzima bado kwenye siku mtu uje na. Ma apps kama yote kisa?
 
Sasa kama angefanya ya kulipwa na kumtumia mtu PM. Hiyo si biashara kichaa... yaan aandike na kuanza kutupia PM za watu zaid ya 100 mmoja mmoja... watu wana mawazo balaa!!!
Kwani kukopi na kupest shida inakuwa nini? Au ww mgeni na simu?
 
Hii story nmeshaikosa ingawaje nmetuma buku ya mb,masimu ya kichina yakshajaa vitu vingi huwa hayaruhusu kudownload ktu,n bora utumie WhatsApp maana kila mtu anayo
ikishajaa nini?

kuna simu ikishajaa storage yake
inaruhusu kudownload vitu?

whatsapp ina limit ya watu, telegram hailimit watu
katika group..
 
watu mnapenda vya bure[emoji2][emoji2].
Hata Yesu alisema asiefanya kazi na asile
 
Baada ya kuambiwa kuwa Ashura ana vitu ameviacha kwenye nyumba kwa nini msingeisafisha nyumba yoote kila mtu ashike chake ili kujua ambavyo haviwahusu vichomwe moto.
 
Swali moja nauliza, moja ya masharti muhimu na kuu kabisa aliambiwa ahakikishe anakua na chumba kimoja ambacho ataingia peke yake.

Ilikuaje akawa anaingia na wanawake kwenye geto lake kuwapiga kimkakati na chumba hichohicho ndio ameweka mitambo yake?

Tokea mwanzo ningeshangaa sana hizi chengachenga zisingetokea, nilivyoona tu nimeokoka na kumpokea Yesu huku kuna baadhi ya maneno anaandika hadi Carleen anaenda madhabahuni kutubu, nikajua tunatengenezwa tujae vizuri...kisha akapima upepo kwa kusema watu wamemwendea PM asitishe wanunue stori...nikajua maandiko yametimia kama ilivyonenwa na manabii.

Hata hivyo kuna mengi nimejifunza. Tunashukuru kwa yote hadi kufikia hapa.

Kitoabu anaendelea kubaki Mlume Ndago wa ukwelikweliiii. Akianza, anamaliza hakuna vumbi vumbi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…