Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mi siungi mkono acheni huyu Mchungaji akavune pesa huko Telegram
mbona kipindi cha Uchaguzi mitandao kibao ilifungwa mingine haijafunguliwa, Majukwaa mengine yamefungwa hatuandamani kwa Mods
Kitu kizuri ukiComment kinaenda Front page/ desktop ya JF ndio maana viewer wanaongezeka, na kwa vile watu wanataka uchawi na kuishi chini ya maji kupiga mishipa ndio maana hata Mods nao ni binadamu, acheni nae akale huko mm nitacopy na kupaste humu akinitoa basi maana kule tumeshajuana majina wote, mnaoagopa ..
VP ameanza upya au anaendelea na alipoishia??
 
Cc

anasbo Kuhani Noah mrangi

Mwambie mwana awape conneci muende huko Kuna pisi Kali sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3577]
acha Mchezo jamaa kaua Mada zote za JF hata hao wenzetu wamekimbia Mada zao wamekuja kwa Mlume Ndago wapate ujuzi unafanya mchezo kuuziwa chakula Hotelini na binti kavua nguo na anapangusia.....
au dawa ya mti wa Tabora unawakusanya wanawake 10 kitanda kimoja na wanaridhika
nendeni Telegram kule unaweza toa zaidi ya Buku hata ukifurahi mtupie kibuku10 sio huku Like kibao
 
VP ameanza upya au anaendelea na alipoishia??
aliendelea toka hapa jf kule anaingia episode ya 27, huyu Mchungaji kiboko anajua kuvuta ngawira akichanganya na Sadaka maisha yataendelea, kuliko mnavyomwambia aandike kitabu halafu hao Printer wamlize
 
Kuna haja ya JF kugeuzwa kuwa money making tool yaani iwe na kitufe Cha kudonate instantly Hasa Kama stoori inaletwa hapa Ina mashiko atakayependezwa anadonate hata jero tu kwa Mpesa au Airtel money

Mfano stori Kama hii jamaa Ni Kama muvi hivi na inaweza zalisha amount of money kwa muhusika .

Sasa badala ya kwenda huko kwingine kwanini asianze kufaidika akiwa hapa

Maana JF Ni Kama First publisher wa hii storii

Lifikirieni Hilo wazee
 
Kuna haja ya JF kugeuzwa kuwa money making tool yaani iwe na kitufe Cha kudonate instantly Hasa Kama stoori inaletwa hapa Ina mashiko atakayependezwa anadonate hata jero tu kwa Mpesa au Airtel money

Mfano stori Kama hii jamaa Ni Kama muvi hivi na inaweza zalisha amount of money kwa muhusika .

Sasa badala ya kwenda huko kwingine kwanini asianze kufaidika akiwa hapa

Maana JF Ni Kama First publisher wa hii storii

Lifikirieni Hilo wazee
wazo zuri hata mm nimeliunga mkono, kitufe kiwepo pesa iende Direct kwake
pia hata jukwaa lichujwe bado humu watoto wa primary wanaingia bila kikwazo jamaa tafsida hada mishipa inatembea, mashine zinavuja, bibie kainama mtoni ni kuingiza tu
wazo la Jukwaa letu lirudi naunga mkono tutalilipia au kumlipa mtunzi km hao tcra waje tu. kule na twitter hawaingii kublock
 
duh jamani Mabasi ya Majinjah yanakimbia sana, kumbe kisa ni Madereva na wala sio Matajiri au abiria
kweli Madereva wana vituko ningepata kisa hiki ningeelewa hawa CITY BOYS ilivyochinja pale wilayani Mayoni nisingepanda tena KISBO
hebu funguka hawa madereva
siwezi kuongeza zaidi Ila M.Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya Shemeji yangu.. Very humble maskini amepewa gari Siku Hiyo na Siku hiyo ikawa Mwisho wake.
 
Mtoa story lengo lilikua ushuhuda wako juu ya maswala ya uchawi na ushirikina....

Kama watu wa JF wasingeifuatlia hata hyo hela ya bundle unayosema usingeipata na bado shida ungeendelea nazo

Nikwambie ukwel buku buku uliyoweka sio kiwango kikubwa ni kidogo mno kwa wanaopenda simulizi

Shida ni mambo mawili
1. Kutaka kuchangiwa ili uendleze ushuhuda hapo ndio unapopingana na lengo lako la mwanzo la kutaka watu wajifunze kupitia wewe na kumtumaini Mungu.

2. Kuhamishana na kupelkana telegram huko ndio watu wengi wanaona sio sawa sio kwamba hawana hyo App Hapana wanayo ila wanaona sio salama kwao kwenda huko kwa namna ya maisha yetu ya JF yalivyo.

Ushauri:
Ni bora ukamtafuta mtu ukatunga kitabu ukaweka na hakimiliki ukakiuza kwa muda mrefu kuliko hzi buku za Telegram.kwa maana ikiisha story na Buku buku zao zmeisha sjajua kama watakuwa wanatoa kwa mwezi ama mpka story ikikamlika.

Asante kwa simulizi nzuri kwa maana mpka hapo ulipofikia kuna mengi ya kujifunza kupitia wewe kila la kheri.
Kama ww hutaki acha sisi wenye uhitaj tumemfuata tupo sehemu ya 26 kuna mtoto wa geti Kali yusta acha kabisa anashepu huyo dunian hakuna kabisa
 
Kama ww hutaki acha sisi wenye uhitaj tumemfuata tupo sehemu ya 26 kuna mtoto wa geti Kali yusta acha kabisa anashepu huyo dunian hakuna kabisa
Nmetoa ushauri wangu tu mkuu uspanic sana ukajihis wewe kutoa buku umebarikiwa sana kuliko wengine
 
Kuna haja ya JF kugeuzwa kuwa money making tool yaani iwe na kitufe Cha kudonate instantly Hasa Kama stoori inaletwa hapa Ina mashiko atakayependezwa anadonate hata jero tu kwa Mpesa au Airtel money

Mfano stori Kama hii jamaa Ni Kama muvi hivi na inaweza zalisha amount of money kwa muhusika .

Sasa badala ya kwenda huko kwingine kwanini asianze kufaidika akiwa hapa

Maana JF Ni Kama First publisher wa hii storii

Lifikirieni Hilo wazee
Naunga mkono hoja
 
Sikieni ambae anaona telegram miyeyusho anaweza kununua vocha ya jero aipige picha anitumie PM na mie nitazicopy kule episodes zote alizopost kule halafu nazipaste kwenye pm yake maana sasa hivi kaishampa shipa la kimkakati Zainati shombe shombe na Yusra pisi kali sana na kaishamuweka kwenye rada shemeji kingine kizuri zaidi katutajia ule mti wa kunywea na chai kiufasaha
 
Kumbuka sio asilimia zote watachangia labda fanya 20% tu
km view wnaosoma ktk JF ni 122698 ni wengi sana akitoza buku siamini akiwahamishia Telegram anapata 122,698,000.00
pesa ndefu
 
Buku mkuu unadhan nashindwa??tatizo kuwepa ma app mengi kwenye simu huo mda sina,ila najua nitaisoma tu [emoji23][emoji23] ,afe kipa afe beki
Mimi ni mtumiaji wa telegram mzuri tu shida kwanini asingezichangisha hapa hapa?? Sababu telegram ameweka kwenye private group au channel angefanya hivyo hapa pia ukituma iyo buku unatupiwa episode pm. Mambo ni yale yale sema ana agenda ya siri
 
MKASA WA PILI - Sehemu ya 21

Inaendelea.............


Nikiwa geto nilisikia sauti kama kawaida ikiniambia niende mbeya na nikifika hapo mbeya nitapewa ishara ya nini cha kufanya!
Kwakuwa tayari nishazoea ile hali hivyo nilikuwa siogopi wala kuwa na wasiwasi!

Kwa wakati ule sikuwa kabisa na akili nyingine zaidi ya kuona ninayafaidi maisha kwa maana kila nilichokitaka nilikipata kwa wakati!
Basi nilijiandaa na niliushika mkono wangu wa kushoto na kutamka "Ninataka niwe mbeya muda huu",ilikuwa ni kitendo cha kufumbua nikajikuta nipo uyole mbeya!
Kiukweli ile irizi ambayo iliwekwa mkononi mwangu na yule malikia kule chini ya ziwa Tanganyika ilikuwa na nguvu za ajabu na ilinipatia kiburi sana mpaka nikawa nawaoana binadamu wenzangu kama TAKA TAKA!
Namshukuru sana Mungu kwa kunitoa huko!Mungu ni mwema sana na uwezo,rehema na fadhili zake hazina kikomo!

Basi nilipofika yale maeneo kuna gari nililiona lilikuwa costa na kwa muonekano nililifahamu kwamba ndilo gari ambalo inapaswa nikalipige mzinga,Lilipofika yale maeneo nilipokuwa lilisimama na konda akawa anasema "Kyela hiyooooooo,twenzetu tukuyu mpaka kyela hiyoooooo!",Nilipanda ndani ya ile costa na kama kawaida sikulipa nauli na yule konda hata hakuniuliza kuhusu nauli!
Lile gari lilifika kwenye mji mmoja nadhani ulikuwa unaitwa Kimo kama sijakosea(Kama kuna wenyeji wa huko wanaosoma huu uzi watanikumbushia,maana ni muda kidogo),Huo Mji wa kimo ulikuwa kabla ya kufika Tukuyu!,Ile sauti iliniambia nishuke na niendee mbele ya Tukuyu kuelekea kyela kulikuwa kuna mtelemko mkali sana pale nikaisubiri pale!
Nilifanya kama ile sauti ilivyonitaka nifanye na nilipotea ghafla yale maeneo na nikafika eneo la tukio!

Kiukweli kilikuwa na mtelemko mkali sana yale maeneo na sikumbuki palikuwa wapi maana kulikuwa na miti mingi sana ile ya mbao!,Nadhani ni hapo hapo tukuyu kwa ndani ndani,Wenyeji wa huko watatusaidia!

Basi niliweka tego kama kawaida nikiwa nimeshika kibuyu cha kazi,Baada ya kusubili kwa muda niliiona ile costa ikiwa inakuja kwa mwendo wa kasi!,Ilipofika yale maeneo ilikula mzinga wa maana sana!
Niliisogelea ile costa na kwenda kuanza kuchukua kilichonipeleka!,Lakini ghafla ndani ya ile costa niliwaona akina mama wawili wakiwa wananiangalia wakisema "We mtoto unafanya nini"?
Wale kina mama walikuwa washirikina na watu wengine walipokuwa wamelaliwa na viti wao walikiwa wamekaa wakinikodolea macho!
Waliniita mimi mtoto si kwamba umri wangu nilikuwa mtoto bali walionyesha dharau kwamba mimi si lolote wala chochote!

Niliwaambia kwakuwa wameniita mimi mtoto ninataka niwaonyeshe mimi si mtoto kwenye ile kazi kama wao walivyodhani!,Kama nilivyosema hapo awali kwamba nilikuwa nina uwezo wa ajabu na kiburi kilikuwa kimenijaa sana!
Niliwasogelea na kuanza kushindana nao pale kichawi lakini nilipotamka ya kwamba "Naomba mkauke muwe kama samaki",haikuchukua muda walikuwa wamekauka kauuu!
Wao ndo walikuwa wa kwanza kuchukua damu yao na baada ya hapo nilianza kukusanya damu za abiria wengine!,Nilipomaliza kufanya lile zoezi nilipotea yale maeneo! Na nikatokezea pale nilipokuwa mwanzo Uyole!

Basi kwakuwa nilikuwa nina njaa kuna mgahawa mmoja ambao ulikuwa mkubwa tu kama hotel kwa ajili ya kupata chakula!,Nilipofika hapo kwa kuwa bado nilikuwa nimevaa uhusika wa kishirikina maana sikutaka bugudha!,Ile nimeingia ndani ya huo mgahawa niliona kina mama ambao walikuwa wakitoa huduma hapo hotelini walikuwa uchi wa mnyama!,Alikuwa mwanamke mmoja mnene na Binti yake ambaye pia alikuwa uchi!
Huyo binti yake yeye alikuwa akivuja damu kutoka kwenye uke wake na alikuwa akizichukua zile damu na kuziweka pakaza kwenye vile vyakula vya wateja walivyokuwa wamemwagiza!

Sasa kwa bahati mbaya sana hakuna mteja ambaye alikuwa akiona yale matukio yote isipokuwa mimi niliyekuwa na uwezo huo!Hicho ki-mgahawa kilikuwa kimechangamka sana maana hadi madereva wa magari makubwa niliona walikuwa wakiingia kula pale!,ukimuondoa yule mama na yule Binti niliyewakuta uchi pale pia kulikuwa na wahudumu wengine wawili,Mmoja alikuwa mpishi na mwingine pia alikuwa akihudumia lakini hawa wao walikuwa wamevaa nguo zao tu za kawaida!
Sikupata shida kuelewa kwamba yule mama ndiye alikuwa mmiliki wa ule mgahawa na yule aliyekuwa akivuja damu ukeni alikuwa binti yake wa kumzaa!

Yule mama aliponiona tu alinifanyia ishara ya kidole kwamba nikae kimya!Yule binti alikuwa akinitolea macho na nilimuona anakuwa na wasiwasi!
Basi nilimwita yule mwanamke nikamwambia aniletee chakula ila kiwe kisafi tofauti na hapo ningemuumbua!
Alimwita yule binti aliyekuwa kavaa nguo akamwambia "Mpe yule kaka chakula"

Zilikuja ndizi zimejaa sahani na nyama na kwakuwa nilikuwa nina uwezo wa kukiangalia kama ni kisafi ama la!,baada ya kujiridhisha kilikuwa kisafi kwa maana kwamba hawakuweka mambo yao ya kishirikina nilianza kula!
Wakati nakula watu wengi walikuwa wakiingia kupata msosi wakiamini ni msosi mtamu kumbe yule binti alikuwa akichanganya na damu zake zilizokuwa zinatoka ukeni!
Wakati nikiwa bado naendelea kupata msosi waliingia jamaa mmoja akiwa na mwanamke na bila shaka walikuwa mke na mume,Walipotengewa chakula kabla ya kula walifanya pale ishara ya msalaba kwa maana nadhani walikuwa wakiomba na hii ishara ya msalaba haikusaidia kitu kwani walilishwa uchafu kama wenzao!

Kiukweli ule mgahawa ulikuwa na wateja sana na yule mama kama ni pesa basi alikuwa akiingiza ki-kwelikweli!

Labda niseme kitu hapa kidogo!,Ndugu zangu ukiamua kuwa mfuasi wa kristo basi achana na mabo mengine ya duniani vinginevyo unaweza ukadhani Yesu anakulinda kumbe tu kwakuwa unashika mambo mawili mawili ukawa huna tofauti na watu wasiyosali!Wale jamaa waliongia na mkewe kwenye ule mgahawa inaonekana walikuwa wakimpenda sana Yesu kwa maneno ila matendo hakuna!,Kiukweli wangekuwa watu wa maombi wasingelishwa ule uchafu,lakini kwasababu wengi wetu dini tumezifanya kama fasheni ilikuwa haijawasaidia kitu!

Mimi mwenyewe kuna wakati nilishindwa kufanya tukio lolote la ushirikina kwasababu kuna watu niliokutana nao wakiwa na nguvu ya Yesu na nilishindwa pamoja na ujanja wangu wote!

Baada ya kuwa nimemaliza kula niliondoka zangu bila kulipa na yule mama aliniita kabla ya kuondoaka na akaanza kuniuliza "Vp mwenzetu wewe niwa nchi gani"?
Nilimwambia mimi natokea Kigoma na hapo nilipo nilikuwa safarini kurudi kigoma
Alikuwa akinishangaa sana kwa namna nilivyokuwa jasiri,na wakati huo naongea nae alikuwa uchi kama alivyozaliwa ila watu wengine walikuwa wakimuona kavaa nguo!
Nipomaliza kuzungumza nae nilimwambia mi naondoka zangu!

Basi nilitamka tu kwamba "Nahitaji hivi sasa kuwa Mwanza"
Ndani ya sekunde nilijikuta nipo Geto na kama kawaida nilikiweka kile kibuyu chini ya uvungu na mimi nilijipumzisha kidogo kisha baada ya kuamka nilielekea nyumbani kwa Bi mkubwa!



Itaendelea......................
Dahh ulivotamka mbeya n kwel kabisa pale uyole ni junction inayoconnect barabaran kutoka border(Malawi na TZ)-kasumulu-kyela-tukuyu(wilaya ya rungwe na shule ya rungwe Boyz)pia iyo KIMO ni kijisehem tu ndan ya tukuyu panaandikwa KYIMO.....big up sana
 
🤗🤗🤗🤗
tupieni episode zilizoendelea huko telegramuni
 
Back
Top Bottom