Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Kabla hajanunua nyumba mpya kibuyu alikihifadhi Wap kama sio getoni mwake? Tens chini ya uvungu!


Kwhyo si alikosea mashariti?
 
Ungetoroka na huyo binti wa mganga mkuu...unafeli wapi
Yote hiyo ni mitego tu mkuu,ni kipimo pia cha uvumilivu wako. Ndio maana vijana wengi wana-fail katika mambo mengi. Unakutana na mtihani kidogo tu umeterereka. Katika 100 wanapass 3
 
Sorry hata ukinijibu baadae niulize hili swali. Muda wote wa haya mambo,tangu kule polini,kupaa,mpaka huko chini ya maji ulikuwa unajihisi kama vile ulivyotoka Tarime?. Yaani bado ulikuwa una akili zako timamu 100%?
 

Ahsante kwa majibu mazuri. Nakuuliza tena, masharti alipewa kule kwa ulimwengu wa mungu bonge kabla hajarudi Mwanza. Na aliporudi alikua geto, hapakua na vyumba viwili lakini tayari alishaanza matukio ya kupiga pesa.

Hizo habari za kununua nyumba tayari alikua ameshaanza kutengeneza pesa. Na wakati huo alikua anapeleka wanawake geto chumba hicho hicho ambacho kuna kila kitu.

Nauliza, ilikuaje hapo wakati tayari walikua wanaingia na watu wengine kwenye chumba geto ambacho alikua nacho kimoja tu???

Hapo hatujaongelea mambo ya nyumba mpya bado.
 
Nimepambana mno hatimae nkajkuta tu telegram imeingia kwenye sm yangu bila hata kujua,shda imekuwa code wamegoma kunitumia kabsa
 
Sorry hata ukinijibu baadae niulize hili swali. Muda wote wa haya mambo,tangu kule polini,kupaa,mpaka huko chini ya maji ulikuwa unajihisi kama vile ulivyotoka Tarime?. Yaani bado ulikuwa una akili zako timamu 100%?

Jiunge Telegram, haya yote utajibiwa.
 
@Carleen muda mwingine wa moto,muda mwingine wa baridi. Sikunyaki sana. Unaweza kukuta hapa ukanishushia rundo la maneno magumu. Muda mwingine maneno kama unaishi jirani na YESU
 
Nme-download Telegram ila nmeshindwa kufaham hyo story naipataje
 
Ndio maana alichukia sana uzi wake kuhamishwa, lengo lake lilivurugwa
 
Mkuu nimecheka sana ulivyomuuliza maswali ghafla akafuta comment yake..... sema bado sijajua je Chizi maarifa ndio Lwanda au Chizi maarifa kafanya kusudi kumharibia pesa Lwanda [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu nimecheka sana ulivyomuuliza maswali ghafla akafuta comment yake..... sema bado sijajua je Chizi maarifa ndio Lwanda au Chizi maarifa kafanya kusudi kumharibia pesa Lwanda [emoji23][emoji23][emoji23]
Chizi maarifa ndio lwandamagere,kama unakumbuka kuna story yake ilihamishwa jukwaaa,aliwaka sana na akasusa kuendelea akidai ni story ya kweli kwann iwekwe kwenye jukwaa la burudan,alitaka kufanya kama hv
 
Chizi maarifa ndio lwandamagere,kama unakumbuka kuna story yake ilihamishwa jukwaaa,aliwaka sana na akasusa kuendelea akidai ni story ya kweli kwann iwekwe kwenye jukwaa la burudan,alitaka kufanya kama hv
Nakumbuka vizuri aligoma kumalizia......hajatenda haki ni bora angesema tu story ya kutunga kuliko kuaminishana sana story ya kweli hadi watu wameenda kulipia na kudownload telegram
 
Mkuu nimecheka sana ulivyomuuliza maswali ghafla akafuta comment yake..... sema bado sijajua je Chizi maarifa ndio Lwanda au Chizi maarifa kafanya kusudi kumharibia pesa Lwanda [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani chizimaarifa kafanyyaje maana mm niliachana na huu uzi
Naomba unijuze
 
Duuh Sasa nimeelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…