onlyalvira
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 1,499
- 3,113
Jipe tu matumain [emoji23][emoji23]kasome story ya mpenzi jini halafu njoo usome,mkasa wa ashura na hii,unapata picha ni mtu mmojaIla kila nikimkumbuka chizi maarifa naishiwa nguvu[emoji28][emoji28]
Wakati mwingine najipa matumaini kuwa sababu chizi ni chizi basi aliingilia tu simulizi ya mwenzie
wataka kurongwa naonaBUKU LANGU ATARUDISHA[emoji28][emoji28]
Ww ni msaidizi wa bwana lwandamagere[emoji23][emoji23]Ila ww jamaa km Co shoga bx kuna shida kwenye ubongo wako
Tusi lote kwa mwanaume mwenzio kisa story tu[emoji23][emoji23]Wanamnyandua huyo si bure
Nisamehe kwa kumtusi pikipiki posta wako [emoji38][emoji38][emoji38] vipi ashakutumia muendelezo wa asubuhi au badoTusi lote kwa mwanaume mwenzio kisa story tu[emoji23][emoji23]
Sasa unamtukana mwanaume mwenzio kisa story ya chizi maarifa a.ka.a lwandamagere??,acha hizo mkuuAnaxingua huyo bwege Kwan kusoma ni lazima c aache tu kelele km mbwa aliyechanua
Mwanaume unakuwa unateseka na mambo madogo sio poa,hebu jaribu kujikaza kidogo,kuwa mwanaume basiNisamehe kwa kumtusi pikipiki posta wako [emoji38][emoji38][emoji38] vipi ashakutumia muendelezo wa asubuhi au bado
Sikuelewi wewe ulieanza ku qoute comment yangu ndio nikuulize shida nini...Mkuu ni hili tu au kuna lingine,maana sielewi povu lote la nn
My oneNakutumia bure mpenzi.
Njoo tufurahie maisha
Kama ni ile aliyoisusa nilisoma!Jipe tu matumain [emoji23][emoji23]kasome story ya mpenzi jini halafu njoo usome,mkasa wa ashura na hii,unapata picha ni mtu mmoja
Mhhhh Jamatini kaingia golo asiekuwemo haingiiMimi sipo kwenye hilo swala sijui story ya kutunga au sio ya kutunga mimi hainihusu na hakuna mahala umeona nimesema sijui story imefanyaje ni wewe tu na HANG OVER ZAKO
#FOOLISH AGE
NakupuuzaIla ww jamaa km Co shoga bx kuna shida kwenye ubongo wako
Utakuja na ID zote mimi nataka bukuWanamnyandua huyo si bure
Kwanini mnitoe kama haijalishi ni ya kutunga au true story?Story inasonga sana full kujadiliana laza ipo pale pale ndio mana wengne wana copy na kutumiana pm japo wanasem ya kutunga any way iwe ya ki utunzi iwe true whatever the case let's move on
Pengine Malkia huyoo
Biashara yako itafeli sababu ya ujanja ujanja usio na sababuWambie voda wakurudishie...
Alishasema hapo kwenye story yake pesa inaendana na shetani. Kampa nguvu shetani. Kwa mara nyingine katika maiaha yake shetani ameshinda. Huyu jamaa bana. Kaanza na kusema kuna watu wanataka kununua story aone uelekeo. Kaja tena na kuhamia telegram. Ishu sio buku ishu ni tamaa ya msimuliaji. Kwani tokea mwanzo alikua anasisitiza ni yeye mwenyewe kaamua kusimulia story ya maisha yake kilichomsibu tena kuhamisha uelekeo ni nini. Bora angeendelea kuomba hela ya vocha hapa hapa.Ila Mwamba si alisema kaokoka anatoa ushuhuda kwa bwana sasa imekuaje tena mpk telegram??
Tatizo ni ishu za kuanza ku install app zingine na kujifunza kuzitumia hapo ndipo alipokwama, wabongo wengi watakwama hapoMsiniambie thinkers ni wachache ina maana hakuna mtu aliyejua kwa utunzi huu na jinsi anavyopangilia matukio mwisho wa siku mngelipia ????
Mbon ailikuw clear kwamba ukiachana na story huyu ni mtunzi mwenye uwezo waku create attention kubwa ya watu
Hivi hamuoni flow nzuri ya matukio iliyopangaliwa.Huyu mtu sio muhadithiaji story tu ni mtunzi kabisa tena mzuri.Ametoa dose ya story ambye ni very addictive, story ya kweli mixer na mpangilio wenye kuvutia vzr hilo jambo sio rahisi km sio mtunzi..
Nyie kalipeni hizo buku mumusapoti jamaa kwani kitu gani