T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Kwani alikuwa nayo?Kumbe huyu jamaa tamaa ya pesa bado haijamuisha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani alikuwa nayo?Kumbe huyu jamaa tamaa ya pesa bado haijamuisha...
We mbona unajitia hatiani kizembe ivii.Sasa unamtukana mwanaume mwenzio kisa story ya chizi maarifa a.ka.a lwandamagere??,acha hizo mkuu
Kumbe huyu jamaa tamaa ya pesa bado haijamuisha...
Nitakosa nn mkuu,story au??We mbona unajitia hatiani kizembe ivii.
Embu jitathmini mkuu utakosa vingi kwa mawazo hayo.
haya manyanyaso kweli asee𝕸𝖐𝖚𝖚 𝖚𝖘𝖎𝖔𝖌𝖔𝖕𝖊..𝖒𝖇𝖔𝖓𝖆 𝖊𝖆𝖘𝖞 𝖙𝖚.
Soma kisa cha kwanza tuu, sio kirefu.Naomba hata sumary mwenzio, page zimetembea hatari
Kwani kinaendelea nini huko?Wengine ndio tupo njiani kuja hukoWatu wata leftishwa huku telegram mda sio mwingi[emoji23][emoji23]
Jamaa atasusa mda sio mrefu
Hata siko huko ,mm sijaingia[emoji23][emoji23]Kwani kinaendelea nini huko?Wengine ndio tupo njiani kuja huko
Poa.Hata siko huko ,mm sijaingia[emoji23][emoji23]
Anavoanzisha story tu angesema hayo yote kwamba akifeli bando tutakua tunainuanaHivi elf moja ni pesa ya kutoa povu? Aisee umaskini mbaya sana
Kijana wa watu kagoma kuuza yawezekana angepewa pesa kubwa tu ila kaomba bukubuku ili angalau apata vocha na mb bado wanatoa povu
Achen ujinga na mawazo ya kimaskini ilipaswa tugome buku ndogo tumwambie apansdishe bei
Tabia za kimaskini
Mawazo ya kimaskini
Stupid
Mbele ya pesa sidhani kama kuna mse.nge yeyote ataeiona pepoTatizo ni kujiita mtumishi na anatoa ushuhuda kwa yale aliyopitia ila sasa leo tunaambiwa huo ushuhuda tuulipie[emoji848][emoji848]
We jamaa wengne buku tuliunga unga tu si unaona wengne wametoa na mipovu kabsa na wameshindwa kuipata iyo.Mim naona jamaa aongeze dau kidogo buku ni ndogo mno ukilinganisha na utamu tunaoupata.
Mkuu magere popote ulipo, episode zilizobaki tunataka tulipie upya maana unatukosha sana dahhh.
Awamu hii pandisha dau liwe hata elfu 5.
We bana vime msaidia akua na kodi ya mwezi huu kalipa through this buku mbona kasema waziAnavoanzisha story tu angesema hayo yote kwamba akifeli bando tutakua tunainuana
Ameona watu mnashoboka sana ndio maana kafanya hivi mjifunze kuchukulia vitu kawaida
Mi nnacho mshangaa anasema kaamua kutoa ushuhuda ili watu tujifunze asa huko telegram sijui anatupeka kwa nini
Wewe mleta story kama ushawai kua na pesa nyingi na bado hukuwa na furaha ivyo vi buku buku haviwezi kukusaidia kitu
Usimfananishe chizi na lwanda ungekuwa uzi wa chizi nafikir mapema uzi ungekufa.Lwanda magere a.k.a Chizi maarifa
[emoji23][emoji23][emoji23]Usimfananishe chizi na lwanda ungekuwa uzi wa chizi nafikir mapema uzi ungekufa.
KwAnza uzi ulikuwa jukwaa lingine ukahamishiwa huku lakini msela alikomaa KUTUPIA TU
Uyo chizi uzi wake uliamishwa na uzi wenyewe akauzira