Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Kama ndio huo basi mi ni mteja wao mkubwa maana natoka town uhindini naenda kula Uyole na kurudi home, hii likizo yote ndipo ninapokula pale kwenye coaster zinazoenda Dar upande wa kushoto ukitokea town mbele ya bank ya NMB. Asante kwa huu uzi.....
Pale makasini au?
 
Pitieni kwa huyu mrume ndago wa ukweli kama ulimiss hii story yake...
Asante mkuu
 
Hivi watu mmeumbwaje yaani utuadithie mwenyewe story yako sijui haafu utuombe pesa eeehh wewe ni mkubavu nini.......Fanya kazi Acha ujinga
 
Utakwama ww ambaye hutaki kuendana na utandawaz
Mim siwezi kwama maana na dili na Information technology, nasemea watu wengine maana ninafahamu sana juu ya watu na new technology. Nadhani umeelewa vyema au niongeze sauti?
 
Ianendelea sehemu ya 11...basis nikachukua baiskeli nikaeeeeendaaaa nikakata kona kufika Kwa mbele karibu na Kwa Mzee mwita maranya karibu na kituo cha police nikabanwa na haja Kubwa nikaweka baiskeli pembeni,hapo saaaasa balaa Kubwa likatokea nilivyomaliza kukata gogo natafuta majani nitawaze naskia mkono unanitawaza na maji ya moto yanunikiaaa vizuuriii nikavaa kaptula na kutoka mbio kufika kwenye baiskeli lahaula naona nyani kapakia anaiendesha huku akiniaga Kwa kicheko..wakazi Wa tarime mtakua mnajua mwita maranya anakaa karibu na kituo cha police ...ngoja kwanza nikahesabu hela kunaa mteja kalipa milioni 23 ya biashara nitarudi baadaye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
DAAAAAAAAMN...!!
we jamaa ni kama bruno fernandes asee[emoji23][emoji23][emoji23]
Ah ah ah ah dah,
Iv kuna mtu kaweza kusoma hii assist bila kukatisha kwa kucheka [emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
DAAAAAAAAMN...!!
we jamaa ni kama bruno fernandes asee[emoji23][emoji23][emoji23]
Ah ah ah ah dah,
Iv kuna mtu kaweza kusoma hii assist bila kukatisha kwa kucheka [emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]huyo Jamaa akili zake anazijua mwenyewe
 
Mr. Smart usipangie watu maisha tafadhali, ungekuwa smart kama unavyojinadi hapa wala usingekuwa unasoma stories humu jukwaa la Entertainment, ungekuwa zako unawaza jinsi ya kujenga ghorofa angani..!

Halafu,kingereza chenyewa Mr. Smartie naona kimekukataa, usikitumie.!
Ila we mdada bhana😆😆😆
 
Wakuu huyu jamaa kasitisha kuposti humu inasemakana kuna mtu anakop na kupeleka kwenye magroup ya wasap

Hivyo kaamua asitishe pia inasemekana kakutana na yule jamaa wa gamboshi hivyo wanataka watoe kitabu kuhusu hii simulizi
Kasitisha huku au kule telegram??
Maana huku tumeshazoea alisitisha mna tu[emoji23][emoji23]
 
Hapa naona ameshakula ban labda aje kujipambanua na hizo id zake nyingine
Mbona mnamuandama Sana Kwan hicho kisa ni chenu si chake bhana, Kwan mnamsaidia kuandika au bando mtu ameamua kuacha bx achaneni naye
 
Back
Top Bottom