Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Naomba cha ten mkuu sijala toka jana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namomba cha ten mkuu cjala toka janaM15 unatumia wiki moja tu
Pale makasini au?Kama ndio huo basi mi ni mteja wao mkubwa maana natoka town uhindini naenda kula Uyole na kurudi home, hii likizo yote ndipo ninapokula pale kwenye coaster zinazoenda Dar upande wa kushoto ukitokea town mbele ya bank ya NMB. Asante kwa huu uzi.....
Ngoja kesho nikienda niangalie jina maana huwa naingia tuPale makasini au?
Asante mkuuPitieni kwa huyu mrume ndago wa ukweli kama ulimiss hii story yake...
Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri nimeamua kufanya hivi
Baada ya siku nyingi kupita leo nimemkumbuka rafiki yangu kipenzi ambaye alipatwa na matatizo makubwa katika safari yake yakusaka maisha miaka kama 5 iliyopita tukiwa kidato cha sita yaani kila nikikumbuka nabaki kulia tu. Wakati naripoti shuleni nilikuwa nimechelewa kidogo baada ya kufika pale...www.jamiiforums.com
Hichi ni Kisa au Hadithi ya kutungaaAsante mkuu
Utakwama ww ambaye hutaki kuendana na utandawazTatizo ni ishu za kuanza ku install app zingine na kujifunza kuzitumia hapo ndipo alipokwama, wabongo wengi watakwama hapo
Kisa,maana nimesoma bisa vingi sana[emoji23][emoji23]Hichi ni Kisa au Hadithi ya kutungaa
Kisa gan??hiki cha lwandamagere au chizi maarifa?Hichi ni Kisa au Hadithi ya kutungaa
Mim siwezi kwama maana na dili na Information technology, nasemea watu wengine maana ninafahamu sana juu ya watu na new technology. Nadhani umeelewa vyema au niongeze sauti?Utakwama ww ambaye hutaki kuendana na utandawaz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ianendelea sehemu ya 11...basis nikachukua baiskeli nikaeeeeendaaaa nikakata kona kufika Kwa mbele karibu na Kwa Mzee mwita maranya karibu na kituo cha police nikabanwa na haja Kubwa nikaweka baiskeli pembeni,hapo saaaasa balaa Kubwa likatokea nilivyomaliza kukata gogo natafuta majani nitawaze naskia mkono unanitawaza na maji ya moto yanunikiaaa vizuuriii nikavaa kaptula na kutoka mbio kufika kwenye baiskeli lahaula naona nyani kapakia anaiendesha huku akiniaga Kwa kicheko..wakazi Wa tarime mtakua mnajua mwita maranya anakaa karibu na kituo cha police ...ngoja kwanza nikahesabu hela kunaa mteja kalipa milioni 23 ya biashara nitarudi baadaye
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]huyo Jamaa akili zake anazijua mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
DAAAAAAAAMN...!!
we jamaa ni kama bruno fernandes asee[emoji23][emoji23][emoji23]
Ah ah ah ah dah,
Iv kuna mtu kaweza kusoma hii assist bila kukatisha kwa kucheka [emoji23][emoji23]
Ila we mdada bhana😆😆😆Mr. Smart usipangie watu maisha tafadhali, ungekuwa smart kama unavyojinadi hapa wala usingekuwa unasoma stories humu jukwaa la Entertainment, ungekuwa zako unawaza jinsi ya kujenga ghorofa angani..!
Halafu,kingereza chenyewa Mr. Smartie naona kimekukataa, usikitumie.!
Kasitisha huku au kule telegram??Wakuu huyu jamaa kasitisha kuposti humu inasemakana kuna mtu anakop na kupeleka kwenye magroup ya wasap
Hivyo kaamua asitishe pia inasemekana kakutana na yule jamaa wa gamboshi hivyo wanataka watoe kitabu kuhusu hii simulizi
Hapa naona ameshakula ban labda aje kujipambanua na hizo id zake nyingineKasitisha huku au kule telegram??
Maana huku tumeshazoea alisitisha mna tu[emoji23][emoji23]
Sijui kafanyaje mpaka kala umemeHapa naona ameshakula ban labda aje kujipambanua na hizo id zake nyingine
KarmaSijui kafanyaje mpaka kala umeme
Mbona mnamuandama Sana Kwan hicho kisa ni chenu si chake bhana, Kwan mnamsaidia kuandika au bando mtu ameamua kuacha bx achaneni nayeHapa naona ameshakula ban labda aje kujipambanua na hizo id zake nyingine
Kabisa,ni kujificha na id kama zoteHapa naona ameshakula ban labda aje kujipambanua na hizo id zake nyingine