Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

tuwe tunapendana humu ndani kwa kutagiana story ikiendelea, sisi ni wamoja katika safari ya vita yetu dhidi ya da Ashura..!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa kama angefanya ya kulipwa na kumtumia mtu PM. Hiyo si biashara kichaa... yaan aandike na kuanza kutupia PM za watu zaid ya 100 mmoja mmoja... watu wana mawazo balaa!!!
Mbona pm inaruhusu group chat?
 
Mngeenda kula kwene harusi
 
Mbona pm inaruhusu group chat?
Nimekuja kugundua kuna watu humu wana akili fupi sana japokuwa inawezekana wamesoma[emoji38]

Imagine kuna watu wanalalamika eti hawana mpango na hiyo stori tena kisa eti hawataki kuinstall telegram, wengine wanasema eti hawaipendi telegram[emoji23]

Ukiwasoma between the lines unaona kabisa these people have loose knots somewhere in their brains!
Unforgetable
 
Upo smart sana if you can even be in other person self.

binafsi siwezi kuinstall Telegram kwa sababu ya Story tu.
 
Mim naona jamaa aongeze dau kidogo buku ni ndogo mno ukilinganisha na utamu tunaoupata.

Mkuu magere popote ulipo, episode zilizobaki tunataka tulipie upya maana unatukosha sana dahhh.

Awamu hii pandisha dau liwe hata elfu 5.
 
why loosing knots na ukaligundua hilo if that is not into you?
 
Watu wata leftishwa huku telegram mda sio mwingi[emoji23][emoji23]
Jamaa atasusa mda sio mrefu
 
BUKU LANGU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…