Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Abeeh mkuuShunie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abeeh mkuuShunie
Sema kweli mkuuhawa ndio wanawake wanaokulaga hela zangu yan wanajua kubembeleza wanawake wa hivyo hatari sana
Hahhaha naona ulishakutana naoWe mchaga nini maana ndio mnapenda kubembelezwa hatarii
Shusha vitu mkuu... hujawazoea watu wa humu tu.Muda mwingine muwe mnanyamaza,nani anapenda kubembelezwa?,sasa kwa mfano wewe umenibembeleza nini?,hivi unadhani hata nikiacha kusimulia utanifanya nini kwa mfano?.Ngoja basi nikaushe zangu maana humu JF kila mtu ni mjuvi wa mambo.
Hapo nilipoishia kwa waliojifunza itawasaidia,lakini kama kazi yako ilikuwa ni ku-critisize kila kitu,tafuta sehemu ambayo unaweza kuwa comfortable zaidi.
Muda mwingine muwe mnanyamaza,nani anapenda kubembelezwa?,sasa kwa mfano wewe umenibembeleza nini?,hivi unadhani hata nikiacha kusimulia utanifanya nini kwa mfano?.Ngoja basi nikaushe zangu maana humu JF kila mtu ni mjuvi wa mambo.
Hapo nilipoishia kwa waliojifunza itawasaidia,lakini kama kazi yako ilikuwa ni ku-critisize kila kitu,tafuta sehemu ambayo unaweza kuwa comfortable zaidi.
Hahhaha naona ulishakutana nao
@Maya Angelou uje hapa umeyatakaMuda mwingine muwe mnanyamaza,nani anapenda kubembelezwa?,sasa kwa mfano wewe umenibembeleza nini?,hivi unadhani hata nikiacha kusimulia utanifanya nini kwa mfano?.Ngoja basi nikaushe zangu maana humu JF kila mtu ni mjuvi wa mambo.
Hapo nilipoishia kwa waliojifunza itawasaidia,lakini kama kazi yako ilikuwa ni ku-critisize kila kitu,tafuta sehemu ambayo unaweza kuwa comfortable zaidi.
Hee Lwanda Mimi na shunie tuna taniana jamani wala haihusiani na wewe
Looh utani umeniponza [emoji1381][emoji3601]
Hahahhahah watu wa jf na story zaoHee Lwanda Mimi na shunie tuna taniana jamani wala haihusiani na wewe
Looh utani umeniponza [emoji1381][emoji3601]
We nenda kwanza ukirudi tutakupaToeni buku 5 kila mmoja we na mwenzio ili nichukue boda nikamweleweshe Lwanda.
Hahahaha[emoji28][emoji28][emoji28]nina bahati mbaya nao basi nawaelewa fika
We nenda kwanza ukirudi tutakupa
Tena yamekuwa ya babe sio ya kupewa elfu 5 ya nauli mkuuNikubalie kwanza niwe bebi ako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu hamna banaMkuu Lwanda Magere kwa uwezo wako ulikuwa unaweza jua majina halisi ya JF members?
Kama ndio, basi hatuko huru tunavyodhani [emoji3]
Tena yamekuwa ya babe sio ya kupewa elfu 5 ya nauli mkuu
Mkuu ningekuwa bado niko kwenye hizo enzi bila shaka kuna watu humu ningewakung'uta bakora za kim-kakati mpaka waache dharau [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu Lwanda Magere kwa uwezo wako ulikuwa unaweza jua majina halisi ya JF members?
Kama ndio, basi hatuko huru tunavyodhani [emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu hamna bana
Mkuu ningekuwa bado niko kwenye hizo enzi bila shaka kuna watu humu ningewakung'uta bakora za kim-kakati mpaka waache dharau [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndo' mlivyo nyie waleta visa humu, unaleta kisa mtindo wa episodes, mbeleni unaikacha stori kwa kusingizia wakosoaji au majukumu kumbe mna malengo yenu!Muda mwingine muwe mnanyamaza,nani anapenda kubembelezwa?,sasa kwa mfano wewe umenibembeleza nini?,hivi unadhani hata nikiacha kusimulia utanifanya nini kwa mfano?.Ngoja basi nikaushe zangu maana humu JF kila mtu ni mjuvi wa mambo.
Hapo nilipoishia kwa waliojifunza itawasaidia,lakini kama kazi yako ilikuwa ni ku-critisize kila kitu,tafuta sehemu ambayo unaweza kuwa comfortable zaidi.