Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Ndo' mlivyo nyie waleta visa humu, unaleta kisa mtindo wa episodes, mbeleni unaikacha stori kwa kusingizia wakosoaji au majukumu kumbe mna malengo yenu!

Mfano kama wakosoaji wawili watatu watakosoa kuhusu stori au kukuudhi wewe unakacha stori mazima hujui kuwa una wafuatiliaji mamia kwa mamia wanafuatilia kimya kimya?

Ukikacha stori inamaana umetupotezea muda wetu kwa kukufuatilia muda wote na unatuathiri kisaikolojia? Ningekuwa moderator ningekuwa nawapiga ban wanaoleta visa nusu humu na kuvifuta visivyoendelezwa ili kulinda hadhi ya jF!
Mwingine mwendawazimu ni huyu,wewe nakupotezea muda nilikwambia usome?,mimi ninayetumia muda wangu kuandika wewe unanilipa shilingi ngapi?,sasa nakulima block ili ukapigie hizi kelele zako huko kwa wajinga wenzio.
 
Mwingine mwendawazimu ni huyu,wewe nakupotezea muda nilikwambia usome?,mimi ninayetumia muda wangu kuandika wewe unanilipa shilingi ngapi?,sasa nakulima block ili ukapigie hizi kelele zako huko kwa wajinga wenzio.
mkuu punguza jazba kidogo, usimuoneshe roho kama ya malkia
 
mkuu punguza jazba kidogo, usimuoneshe roho kama ya malkia
Mkuu kuna watu humu wanakera sana,yaani unakuta pamoja na kujipinda kote na kupoteza muda ili niandike watu wajifunze lakini kuna watu wao kazi yao huwa ni ku-criticize tu,sijui huwa wanatakaga nini,yaani sasa hivi ni mwendo wa matofali tu.
 
Mkuu kuna watu humu wanakera sana,yaani unakuta pamoja na kujipinda kote na kupoteza muda ili niandike watu wajifunze lakini kuna watu wao kazi yao huwa ni ku-criticize tu,sijui huwa wanatakaga nini,yaani sasa hivi ni mwendo wa matofali tu.
Mkuu tunaomba uendelee,usitumie hasira ukaacha kusimulia kwa sababu ya makwazo ya watu wachache.

Hadi sasa kuna vitu vingi nimejifunza na kupitia stori hii kuna mahala nitapiga hatua kiroho maana nimejifunza namna shetani alivyo makini anavyofanya kazi zake.

Tangu nimeanza kuisoma imenifanya nikae vizuri sana na Mungu bila kuleta utani utani.

Pls mkuu, endelea kutusimulia..makwazo hayana budi kuja.
Amini Kuna wengi watajifunza na roho zao zitaponywa.
 
Napiga hesabu muda unaotumia kuandika na hela ya bando halafu mtu anakukashifu.
Story yako ni zawadi tosha. Upo sahihi 100% kumpiga mtu block na kusitisha story sababu hawakulipi.
Upo sahihi hata ukitoza hela ya bando. Ulikuwa Nyegezi sehemu gani? Nyegezi corner, Calfornia, mitaa ya stendi, kijiweni au nyabulogoya? Mitaa hiyo ndiyo home. 2012-2015 niliikuwa chuo Dodoma
Mkuu kuna watu humu wanakera sana,yaani unakuta pamoja na kujipinda kote na kupoteza muda ili niandike watu wajifunze lakini kuna watu wao kazi yao huwa ni ku-criticize tu,sijui huwa wanatakaga nini,yaani sasa hivi ni mwendo wa matofali tu.
 
Mkuu kuna watu humu wanakera sana,yaani unakuta pamoja na kujipinda kote na kupoteza muda ili niandike watu wajifunze lakini kuna watu wao kazi yao huwa ni ku-criticize tu,sijui huwa wanatakaga nini,yaani sasa hivi ni mwendo wa matofali tu.
Mkuu LwandaMagere ,nadhani ile dawa ya bakora za kimkakati ya mzee Chibaronda bado utakuwa nayo hata baada ya kumpokea Yesu maana sikuona mahala popote kama inahusiana na nguvu za giza ulizokuwa nazo bali ni mitishamba ya kawaida tu. Kama niko sahihi,tangaza biashara hiyo utauza kuliko nakala za kitabu mkuu.
Ni wazo tu lakini.
 
MKASA WA PILI -Sehemu ya 44.


Inaendelea...............



Siku iliyofuata kwa sababu ndiyo ilikuwa siku ya kafara nilijianda mapema sana,niliingia kwenye chumba cha siri nikaishika ile pembe niliyopewa Malikia na kuitazama kwa makini,kwa namna ilivyokuwa tu hakika ungepewa uwezo wa kuiona ungekimbia maana ilikuwa na nguvu za ajabu pia ilikuwa inatisha sana!.Ilipofika mida ya saa 12 jioni kwa kawaida ndiyo ilikuwa mida ya duka la kina Zainati kufungwa,ndipo niliondoka zangu nyumbani nikiwa na upembe wangu pamoja na kibuyu,nilipofika hapo dukani kwao Zainati hakuna aliyeniona ili mimi nilikuwa nikiwaona wao,sikutaka kabisa kumsogelea Zainati,mimi akili yangu ilikuwa kwa yule ndugu yake mwenye dharau.Ilipofika Mida ya saa 12:30 jioni walianza kufunga duka,walipomaliza walielekea kupanda gari lao ili waondoke nyumbani,hawa kina Zainati walikuwa wakiishi mtaa mmoja unaitwa Kapri Point.Sasa alipopanda yule ndugu yake Zainati kwenye gari na mimi nikapanda nikaa karibu naye,kisha akafata jamaa mmoja,sasa kuna jamaa mwingine yeye alikuwa nje ya gari akijiandaa kupanda lakini gari ikawa imejaa na ikawa kama inashuka chini kwa uzito.

Huyo jamaa alimuuliza mwenzake aliyekuwa dereva "Kwani ukuweka upepo wa kutosha jana?".

Yule mwenzie aliyekuwa dereva alimjibu "Mbona upepo niliweka toka asubuhi,sema leo sijui mmekula nini mpaka gari imeinama hivi!".

Yule jamaa alisema "Mimi ngoja nichukue taxi tu maana hatuwezi kwenda nyumbani gari ikiwa imeinama kiasi hiki,nyie tangulieni mimi nakuja".

Wakati huo nilikuwa nawacheki tu wanavyo hangaika hapo kwenye gari,hatimaye tukaondoka kuelekea wanakoishi.Zainati na ndugu zake walikuwa ni watanzania wenye asili ya kiarabu,hivyo hata kiswahili chao kilikuwa cha kiarabu arabu hivi,walikuwa wanaongea kama watu wa Zanzibar.Sasa ile gari kuongezeka uzito ni kwasababu mimi nilipanda na ile pembe,ile pembe kama nilivyosema ilikuwa na maajabu ya kutisha.

Basi baada muda tulifika kwenye mjengo wa kwanza Zainati na jamaa mmoja aliyekuwa kapanda kwenye ile garu walishuka,nadhani pale ndiyo palikuwa kwao maana hata yule jamaa na Zainati walikuwa wakifanana,baada ya kushuka walimuaga dereva na yule ndugu yake Zainati aliyebaki kwenye gari.

Zainati aliwaambia "Kesho napo mchelewe tena eenh!".

Jamaa yule dereva akajibu"Kesho mapema sana".

Zainati na yule jamaa waliposhuka,sisi tuliendelea na safari,baada ya dakika 10 tulifika hapo nyumbani kwao na huyo dada mwenye dharau,wakashuka kwanza wao na mimi ndiyo nikafuatia,mpaka mida hiyo nilikuwa sionekani na kiumbe yeyote.Sasa Zainati na wale jamaa ambao mmoja tulipanda naye gari na mwingine alipanda taxi walikuwa ni ndugu wa baba na mama mmoja,yule dada mwenye dharau na yule dereva nao walikuwa ni ndugu wa baba na mama mmoja,hivyo kwenye lile duka walikuwa wakifanya kazi wakiwa watoto wa mama mdogo na mama mkubwa.Upande wa kina Zainati ndio walikuwa wakubwa.

Waliposhuka kwenye gari waliingia ndani ya geti na mimi muda huo nikiwa nyuma ya yule dada,sikutaka kabisa kumpatia nafasi,sasa ile nyumba ilikuwa kubwa na nzuri,kuna mwanamke wa kiarabu tulimkuta amekaa nje kumbe ndiye alikuwa mama yake na huyo dada,Kitu kilichonishangaza ni kwamba yule mwanamke alionekana mdogo sana kiumri japo alikuwa na watoto hao wakubwa,kulikuwa pia kuna binti mwingine mdogo wa kike ambaye nadhani ndiye alikuwa mdogo wao wa mwisho.Nilipomuona mama yake na huyo dada namna alivyokuwa mzuri nilisema lazima nije nimshughulikie siku moja,sikuwa na mawazo naye kwasababu kilichokuwa kimenipeleka hapo ni huyo mwanaye aliyekuwa na dharau.

Yule dada aliingia ndani wakati huo na mimi nikaongozana naye,alipofika sebuleni alielekea kwenye friji na akatoa Reds akaanza kunywa,haukupita muda akaelekea chumbani,muda wote huo nilikuwa namfuata tu nyuma bila yeye kufahamu chochote.Alipofika chumbani kwake alivua nguo zote akabaki kama alivyozaliwa akaelekea bafuni kuoga.Sasa wakati akiwa bafuni nilijibadilisha nikawa kwenye umbo la kawaida ili akitoka tu bafuni aweze kuniona laivu,sasa kwakuwa nilifahamu kwamba kitendo cha yeye kuniona angepiga kelele,niliamua kupadhibiti mle ndani kimazingara kiasi kwamba hata kama angepiga kelele za namna gani,basi hakuna ambaye angesikia.Kweli,alipotoka kuoga tuliona uso kwa uso,alianza kupiga kelele sana,nikamfanyia ishara ya kidole mdomoni kwamba anyamaze!.

Aliponyamaza aliniuliza"Umefata nini huku kwetu?,mwanga mkubwa wewe".

Aliendelea kuniambia "Ndiyo maana sikutaka mdogo wangu atembee na wewe ni kama nilijua".

Sasa japo Zainati alikuwa mtoto wa mama yake mkubwa,lakini yeye alikuwa mkubwa kumzidi Zainati.Wakati huo nilikuwa nimetulia nikimwangalia anavyo bwabwaja.

Ndipo nilimwambia "Wewe siulikuwa unajidai mjanja?sasa unacho ogopa ni nini?".

Alianza kulia huku akipiga kelele lakini hakuna ambaye alimsikia.Nilimsogelea alipokuwa amesimama nikamshika bega akatulia,nikaanza kumuamrisha afanye navyotaka mimi,nilianza kumuingilia kimwili,kwakuwa wakati huo nilikuwa nina hasira naye kiukweli sikuwa na huruma,baada ya kumuingilia mbele nilimgeuza nikaanza kumuingilia nyuma,hii yote ilikuwa ni kumkomoa tu!,Kwa uwezo nilyokuwa nao wakati huo nilihakikisha namshughulikia ipasavyo,nilipomaliza kumpiga bakora za kutosha mbele na nyuma nilimkausha nikachukua damu nikaweka kwenye kibuyu nikaondoka zangu,wakati huo nilimwacha amelala pale kitandani akiwa kama alivyozaliwa.Nilipofika nyumbani kama kawaida nilikiweka kile kibuyu katikati ya chumba,nilipomaliza kuweka zile silaha za maangamizi,nilifunga kile chumba nikaenda zangu kulala.

Hayo ndiyo yalikuwa maisha yangu wakati huo,nilifanya uchafu mwingi sana enzi zile na nilikuwa sina huruma kwa mwanamke yeyote aliyekuwa na nyodo pamoja na dharau.Basi asubuhi ya siku iliyofuata,nilipowasha simu tu mtu wa kwanza kunipigia alikuwa Zainati.

Aliniambia "Hello baby mbona ulikuwa hupatikani jamani?".

Alikuwa akiongea huku akionyesha dalili za kulia,nilijua tu ujio wa hiyo simu ni kuhusu ile taarifa ya ndugu yake.

Nilimwambia "Jana nilichoka sana mama hivyo sikutaka usumbufu niliona nizime simu".

Aliniambia "Kwahiyo mimi huwa nakusumbua baby?".

Nilimwambia "siyo wewe mama kuna watu sikutaka kabisa wanipate".

Nilimuuliza "mbona kama hauko sawa?".

Ndipo aliniambia "Mwenzio nimepata msiba".

Nilimuuliza "Nini kimetokea na nani kafariki baby?".

Niliifanya namuuliza kana kwamba sikufahamu kitu chochote kilichokuwa kinaendelea.

Aliniambia "siunamfahamu........?,yule ambaye ulikuwa ukija dukani unatukuta wote na hata jana ulipokuja ukawa unamuulizia?".

Nilimjibu "Ndiyo mama,kapatwa na nini tena?".

Aliniambia "Jana usiku kafariki".

Zainati alikuwa akiniambia kwa uchungu sana huku akiwa analia.

Nilimuuliza "Alipatwa na nini?".

Aliendelea kunieleza "Jana usiku mama yake anasema aliingia chumbani kwake kwenda kumwamsha ale chakula ila alipokuwa akimuamsha hakuweza kuamka tena,na kuna Reds alikuwa akinywa uenda tunahisi alikunywa na vidonge".

Niliendelea kumuuliza "Kwanini anywe pombe na vidonge?je alikuwa na ugomvi na mtu?".

Alinijibu "Yaani hata atufahamu ni nini kilimsibu,kwasababu tumeondoka naye kazini jioni alikuwa mzima tu mpaka tukawa tunataniana".

Nilimwambia "Poleni sana mama".

Aliniambia "nisaidie laki 2 nina shida nazo mwenzio".

Hii ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kwa Zainati kuniomba hela,kwakuwa nilikuwa,nilimwambia dereva ampelekee Tsh milioni 1.

Basi maisha yaliendelea kusonga kama kawaida,baada ya huo mwaka kuwa umekatika hatimaye tukaingia mwaka 2015,ilipofika mwezi Januari ya huo mwaka wa 2015 yule shemeji akaniambia nimfuate aje nyumbani tuishi wote!,sikuwa na wasiwasi tena kwakuwa Malikia aliniambia nisiwe na hofu maana yeye alikuwa ni mali yao hivyo hatokuwa na madhara.Nilihakikisha yale yaliyojitokeza kwa binti wa shangazi hayawezi kujirudia tena maana nilipigilia misumri ya kishirikina kiasi kwamba hata kile chumba asiwe anakifikiria kabisa.Baada ya huyo shemeji kuja hapo nyumbani tuliishi sasa kama mke na mume.

Basi siku mmoja nikiwa nimelala na huyo mke wangu(shemeji)nilionyeshwa ndotoni kulikuwa kuna magari mawili,moja ilikuwa Costa na nyingine lilikuwa lori la mafuta,niliambiwa ningepaswa kwenda huko ambapo ningefahamishwa ili kutoa kafara.Nia na dhumuni lilikuwa ni kwamba,watu wote waliyokuwa kwenye ile Costa wasipone hata mtu mmoja,na lile lori la mafuta ndilo liliwekwa liwe chanzo cha hiyo ajali.



Itaendelea..............
 
MKASA WA PILI -Sehemu ya 44.


Inaendelea...............



Siku iliyofuata kwa sababu ndiyo ilikuwa siku ya kafara nilijianda mapema sana,niliingia kwenye chumba cha siri nikaishika ile pembe niliyopewa Malikia na kuitazama kwa makini,kwa namna ilivyokuwa tu hakika ungepewa uwezo wa kuiona ungekimbia maana ilikuwa na nguvu za ajabu pia ilikuwa inatisha sana!.Ilipofika mida ya saa 12 jioni kwa kawaida ndiyo ilikuwa mida ya duka la kina Zainati kufungwa,ndipo niliondoka zangu nyumbani nikiwa na upembe wangu pamoja na kibuyu,nilipofika hapo dukani kwao Zainati hakuna aliyeniona ili mimi nilikuwa nikiwaona wao,sikutaka kabisa kumsogelea Zainati,mimi akili yangu ilikuwa kwa yule ndugu yake mwenye dharau.Ilipofika Mida ya saa 12:30 jioni walianza kufunga duka,walipomaliza walielekea kupanda gari lao ili waondoke nyumbani,hawa kina Zainati walikuwa wakiishi mtaa mmoja unaitwa Kapri Point.Sasa alipopanda yule ndugu yake Zainati kwenye gari na mimi nikapanda nikaa karibu naye,kisha akafata jamaa mmoja,sasa kuna jamaa mwingine yeye alikuwa nje ya gari akijiandaa kupanda lakini gari ikawa imejaa na ikawa kama inashuka chini kwa uzito.

Huyo jamaa alimuuliza mwenzake aliyekuwa dereva "Kwani ukuweka upepo wa kutosha jana?".

Yule mwenzie aliyekuwa dereva alimjibu "Mbona upepo niliweka toka asubuhi,sema leo sijui mmekula nini mpaka gari imeinama hivi!".

Yule jamaa alisema "Mimi ngoja nichukue taxi tu maana hatuwezi kwenda nyumbani gari ikiwa imeinama kiasi hiki,nyie tangulieni mimi nakuja".

Wakati huo nilikuwa nawacheki tu wanavyo hangaika hapo kwenye gari,hatimaye tukaondoka kuelekea wanakoishi.Zainati na ndugu zake walikuwa ni watanzania wenye asili ya kiarabu,hivyo hata kiswahili chao kilikuwa cha kiarabu arabu hivi,walikuwa wanaongea kama watu wa Zanzibar.Sasa ile gari kuongezeka uzito ni kwasababu mimi nilipanda na ile pembe,ile pembe kama nilivyosema ilikuwa na maajabu ya kutisha.

Basi baada muda tulifika kwenye mjengo wa kwanza Zainati na jamaa mmoja aliyekuwa kapanda kwenye ile garu walishuka,nadhani pale ndiyo palikuwa kwao maana hata yule jamaa na Zainati walikuwa wakifanana,baada ya kushuka walimuaga dereva na yule ndugu yake Zainati aliyebaki kwenye gari.

Zainati aliwaambia "Kesho napo mchelewe tena eenh!".

Jamaa yule dereva akajibu"Kesho mapema sana".

Zainati na yule jamaa waliposhuka,sisi tuliendelea na safari,baada ya dakika 10 tulifika hapo nyumbani kwao na huyo dada mwenye dharau,wakashuka kwanza wao na mimi ndiyo nikafuatia,mpaka mida hiyo nilikuwa sionekani na kiumbe yeyote.Sasa Zainati na wale jamaa ambao mmoja tulipanda naye gari na mwingine alipanda taxi walikuwa ni ndugu wa baba na mama mmoja,yule dada mwenye dharau na yule dereva nao walikuwa ni ndugu wa baba na mama mmoja,hivyo kwenye lile duka walikuwa wakifanya kazi wakiwa watoto wa mama mdogo na mama mkubwa.Upande wa kina Zainati ndio walikuwa wakubwa.

Waliposhuka kwenye gari waliingia ndani ya geti na mimi muda huo nikiwa nyuma ya yule dada,sikutaka kabisa kumpatia nafasi,sasa ile nyumba ilikuwa kubwa na nzuri,kuna mwanamke wa kiarabu tulimkuta amekaa nje kumbe ndiye alikuwa mama yake na huyo dada,Kitu kilichonishangaza ni kwamba yule mwanamke alionekana mdogo sana kiumri japo alikuwa na watoto hao wakubwa,kulikuwa pia kuna binti mwingine mdogo wa kike ambaye nadhani ndiye alikuwa mdogo wao wa mwisho.Nilipomuona mama yake na huyo dada namna alivyokuwa mzuri nilisema lazima nije nimshughulikie siku moja,sikuwa na mawazo naye kwasababu kilichokuwa kimenipeleka hapo ni huyo mwanaye aliyekuwa na dharau.

Yule dada aliingia ndani wakati huo na mimi nikaongozana naye,alipofika sebuleni alielekea kwenye friji na akatoa Reds akaanza kunywa,haukupita muda akaelekea chumbani,muda wote huo nilikuwa namfuata tu nyuma bila yeye kufahamu chochote.Alipofika chumbani kwake alivua nguo zote akabaki kama alivyozaliwa akaelekea bafuni kuoga.Sasa wakati akiwa bafuni nilijibadilisha nikawa kwenye umbo la kawaida ili akitoka tu bafuni aweze kuniona laivu,sasa kwakuwa nilifahamu kwamba kitendo cha yeye kuniona angepiga kelele,niliamua kupadhibiti mle ndani kimazingara kiasi kwamba hata kama angepiga kelele za namna gani,basi hakuna ambaye angesikia.Kweli,alipotoka kuoga tuliona uso kwa uso,alianza kupiga kelele sana,nikamfanyia ishara ya kidole mdomoni kwamba anyamaze!.

Aliponyamaza aliniuliza"Umefata nini huku kwetu?,mwanga mkubwa wewe".

Aliendelea kuniambia "Ndiyo maana sikutaka mdogo wangu atembee na wewe ni kama nilijua".

Sasa japo Zainati alikuwa mtoto wa mama yake mkubwa,lakini yeye alikuwa mkubwa kumzidi Zainati.Wakati huo nilikuwa nimetulia nikimwangalia anavyo bwabwaja.

Ndipo nilimwambia "Wewe siulikuwa unajidai mjanja?sasa unacho ogopa ni nini?".

Alianza kulia huku akipiga kelele lakini hakuna ambaye alimsikia.Nilimsogelea alipokuwa amesimama nikamshika bega akatulia,nikaanza kumuamrisha afanye navyotaka mimi,nilianza kumuingilia kimwili,kwakuwa wakati huo nilikuwa nina hasira naye kiukweli sikuwa na huruma,baada ya kumuingilia mbele nilimgeuza nikaanza kumuingilia nyuma,hii yote ilikuwa ni kumkomoa tu!,Kwa uwezo nilyokuwa nao wakati huo nilihakikisha namshughulikia ipasavyo,nilipomaliza kumpiga bakora za kutosha mbele na nyuma nilimkausha nikachukua damu nikaweka kwenye kibuyu nikaondoka zangu,wakati huo nilimwacha amelala pale kitandani akiwa kama alivyozaliwa.Nilipofika nyumbani kama kawaida nilikiweka kile kibuyu katikati ya chumba,nilipomaliza kuweka zile silaha za maangamizi,nilifunga kile chumba nikaenda zangu kulala.

Hayo ndiyo yalikuwa maisha yangu wakati huo,nilifanya uchafu mwingi sana enzi zile na nilikuwa sina huruma kwa mwanamke yeyote aliyekuwa na nyodo pamoja na dharau.Basi asubuhi ya siku iliyofuata,nilipowasha simu tu mtu wa kwanza kunipigia alikuwa Zainati.

Aliniambia "Hello baby mbona ulikuwa hupatikani jamani?".

Alikuwa akiongea huku akionyesha dalili za kulia,nilijua tu ujio wa hiyo simu ni kuhusu ile taarifa ya ndugu yake.

Nilimwambia "Jana nilichoka sana mama hivyo sikutaka usumbufu niliona nizime simu".

Aliniambia "Kwahiyo mimi huwa nakusumbua baby?".

Nilimwambia "siyo wewe mama kuna watu sikutaka kabisa wanipate".

Nilimuuliza "mbona kama hauko sawa?".

Ndipo aliniambia "Mwenzio nimepata msiba".

Nilimuuliza "Nini kimetokea na nani kafariki baby?".

Niliifanya namuuliza kana kwamba sikufahamu kitu chochote kilichokuwa kinaendelea.

Aliniambia "siunamfahamu........?,yule ambaye ulikuwa ukija dukani unatukuta wote na hata jana ulipokuja ukawa unamuulizia?".

Nilimjibu "Ndiyo mama,kapatwa na nini tena?".

Aliniambia "Jana usiku kafariki".

Zainati alikuwa akiniambia kwa uchungu sana huku akiwa analia.

Nilimuuliza "Alipatwa na nini?".

Aliendelea kunieleza "Jana usiku mama yake anasema aliingia chumbani kwake kwenda kumwamsha ale chakula ila alipokuwa akimuamsha hakuweza kuamka tena,na kuna Reds alikuwa akinywa uenda tunahisi alikunywa na vidonge".

Niliendelea kumuuliza "Kwanini anywe pombe na vidonge?je alikuwa na ugomvi na mtu?".

Alinijibu "Yaani hata atufahamu ni nini kilimsibu,kwasababu tumeondoka naye kazini jioni alikuwa mzima tu mpaka tukawa tunataniana".

Nilimwambia "Poleni sana mama".

Aliniambia "nisaidie laki 2 nina shida nazo mwenzio".

Hii ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kwa Zainati kuniomba hela,kwakuwa nilikuwa,nilimwambia dereva ampelekee Tsh milioni 1.

Basi maisha yaliendelea kusonga kama kawaida,baada ya huo mwaka kuwa umekatika hatimaye tukaingia mwaka 2015,ilipofika mwezi Januari ya huo mwaka wa 2015 yule shemeji akaniambia nimfuate aje nyumbani tuishi wote!,sikuwa na wasiwasi tena kwakuwa Malikia aliniambia nisiwe na hofu maana yeye alikuwa ni mali yao hivyo hatokuwa na madhara.Nilihakikisha yale yaliyojitokeza kwa binti wa shangazi hayawezi kujirudia tena maana nilipigilia misumri ya kishirikina kiasi kwamba hata kile chumba asiwe anakifikiria kabisa.Baada ya huyo shemeji kuja hapo nyumbani tuliishi sasa kama mke na mume.

Basi siku mmoja nikiwa nimelala na huyo mke wangu(shemeji)nilionyeshwa ndotoni kulikuwa kuna magari mawili,moja ilikuwa Costa na nyingine lilikuwa lori la mafuta,niliambiwa ningepaswa kwenda huko ambapo ningefahamishwa ili kutoa kafara.Nia na dhumuni lilikuwa ni kwamba,watu wote waliyokuwa kwenye ile Costa wasipone hata mtu mmoja,na lile lori la mafuta ndilo liliwekwa liwe chanzo cha hiyo ajali.



Itaendelea..............
Samahani, katika hayo maisha uliyokuwa unaishi huyo dereva wako hakuwahi kukushutukia kwamba unaishi maisha tofauti na binadamu wenzako?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kuna watu humu wanakera sana,yaani unakuta pamoja na kujipinda kote na kupoteza muda ili niandike watu wajifunze lakini kuna watu wao kazi yao huwa ni ku-criticize tu,sijui huwa wanatakaga nini,yaani sasa hivi ni mwendo wa matofali tu.
kweli kabisa... wanakera sana ila tuwavumilie tuh ndo ndugu zetu hao
 
Mkuu ningekuwa bado niko kwenye hizo enzi bila shaka kuna watu humu ningewakung'uta bakora za kim-kakati mpaka waache dharau [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shunie na Maya Angelou hizo bakora zingewahusu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wale wa kiume mnaomponda karafa ingewahusu[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom