Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Tofauti na kafara za ajali, kafara za binafsi mbona ni jinsia ya like tu?, Kuna siri gani hapo?
 
Mods hamuoni matusi ya huyu jamaa?
Ulianza weye kutamka mimi nimekujibu sawasawa na ulivo tamka!! ajab unalia weye kwanza eti tusi?? Loool!!! liko wapi hapo tusi?? humu pagumu si ujikalie tu nyumbani?
 
Mods hamuoni matusi ya huyu jamaa?
AMERICAN SELF STORAGE= ASS, unaona sasa kama hujui ulizaga wanaojua!! usiwege na maana moja tuuu km naniii.... humu JF tuko broad, hata mode atakucheka ifichege hii aibu!

kumbe wewe ulimaanisha kunitukana.
 
Ishu inayonistua ni ya kujibadilisha, kwakweli tuwe karibu sana na mungu
 
Tunataka tujue nini kiliendelea kwa dada yako mkubwa na kwa zainat na Mama mdogo wake
 
Back
Top Bottom