Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwamba mwamba alikuwa mzembe,yeye ni madaftari na yeye
Niko Tarime hapa huku kwe2 hakuna mwanaume muoga hivi aisee mtoto wa kinyaturu unamuachaje hiyo mpaka anasumbua.
 
Sio Kama wewe
School bus
English medium school
Chuo Cha magumashi
Kazi ya kutaftiwa NSSF
Kuozeshwa mtoto wa bestie wa mum
Kukabidhiwa gari ....siku ya send off
Kukabidhiwa nyumba..harusi
Halafu unaboa wafanya kazi wenzio na kusumbua wastaafu.
Kifupi huna mchango wowote hapa duniani....
yaani! We acha tu!
59f8309123ab46bebd7776c93a3c13e9.jpg
 
Back
Top Bottom