Mikasa ya ndege kubwa kubwa

Kuhusu ya Arusha ET

Et alirequest kuland, tower wakamwambia azunguke ili kisesna kilichokuwa kimeharibika kwenye runway kiondolewe,
Et akazunguka ikafikia mahali mafuta yakawa hayatoshi, akaomba tena atue, akaambiwa aende Dar/Nai/Mbs/Znz
Et hakuwa na mafuta, baada ya muda Et akaita tena kutua akaambiwa sawa tua, jamaa akatua akijua ni KIA, Tower ya Kia inamuuliza mbona unatua ila hatukuoni? Akasema nishatua ila .........
Ndo ikabidi jitihada zifanyike kwenda Kisongo maana Kisongo hawana ngazi kubwa za kushusha abiria,
Abiria walisubiri ili ngazi itoke KIA
Baada ya hapo wakasafirishwa hadi Hotelini(st pro av).
Ila sababu kubwa ilikuwa uzembe wa kia na et maana et alitakiwa awe na mafuta ya kutosha hata masaa 2
Pia Kia alizembea kutotoa ndege runway mapema
 
Hii Malaysia air line maybe iliyekwa na maharamia kupotea uko wasione hata baki moja kweli
 
Pan Am Flight 103, ilikuwa inatoka Uingereza kwenda Marekani.
Ilitegwa bomu, bomu lilikuwa ndani ya begi ambalo lilikuwa chini kwenye mizigo.

Bomu lilikuwa la timer. Waliotega bomu ni makachero wa Ki Libya.
makachero wali check in mabegi ila hawakupanda ndege.

Kachero mmoja ambaye alifungwa anaitwa Elmaghai, alikuja kuachiwa baada ya kuumwa kansa muda mrefu akiwa jela.

Lockerbie ni Mji ulio mpakani mwa England na Scotland.
 
Huezi kuandika bila hilo neno et mjinga wewe ebu kajifunze kuandika
 
Sasa wewe na yeye mjinga nani? Wewe ni jinga kabisa kuliko huyo unayemuita mjinga. Unajua maana ya Et= ET? Kwa akili zako fupi unahisi anamaanisha neno ''eti'' Jifunze kuwa na adabu kwenye vitu usivyovijua usionekane mjinga.
Ujinga wako ni maradufu zaidi yake kuna sababu gani ya kuandika kidaku waka mada iko free hata kwa tafsiri yako pia ni ujinga tuondolee ujinga wako jinga sana wewe

Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
 
Ujinga wako ni maradufu zaidi yake kuna sababu gani ya kuandika kidaku waka mada iko free hata kwa tafsiri yako pia ni ujinga tuondolee ujinga wako jinga sana wewe

Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
Nilipokuambia wewe ni mjinga naamini sijakosea kabisa, wewe ni mjinga tena wa kiwango kikubwa sana. Udaku uko wapi hapo kwenye hiyo post ya uliyemuita mjinga?
Ficha ujinga wako, sio kila mada unajua kinachojadiliwa, sasa ona unavyojiabisha kwa ujinga wako, kuna mada za kijinga unaweza kwenda huko kujadili ujinga wako pia.
Uncivilized baboon.. unamuomba ajifunze kuandika wakati wewe mwenyewe hujui kuandika kuanzia neno la kwanza tu umekosea? Tumieni vi huawei vyenu vizuri.
 
Ujinga ni kutetea ujinga kwa kutumia ujinga wako uliokubuhu ukidhan unamsaidia mjinga mwenzio kumbe unamuongezea ujinga fala sana wewe au ndo umekuja na id ya pili kuhalalisha huo ujinga wako bwege sana wewe hujui hata unachotetea zaidi ya ujinga ujinga tu

Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
 
Kujifunza sio ujinga, ujinga ni kukataa kujifunza. Wewe ni mjinga na tena ni limbukeni kweli.
Nikusaidie kitu kidogo siku usijitie aibu, et=ET maana yake Ethiopian airline, ila kwakuwa umekulia mtaani basi huji chochote zaid ya tafsir yako ya neno ''eti'' ngoja nikuache na kichaa chako na ulimbukeni wako naamini ukiyemuita kichaa anajaribu kufikiri kuwa wewe ni mtu au sanamu na akija atakupa majibu sahihi kama mimi nilivyokueleza na hapo utathibitisha kuwa wewe ni mjinga wa kuonewa huruma na kuhitaji msaada zaidi.
Kama umefika hata kidato cha pili basi mwalimu wako wa kiswahili anastahili lawama kwani hakukufundisha ''Matumizi ya Lugha'' yaani vile vipengele vyake vyote vya kuzingatia(mada ya mazungumzo, muktadha n.k)
 
Hao wanajeshi walikuwa ni wabongo au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…