Hii ndege watafiti wamenawa mikono maana cha ajabu kulikuwa na meli vita za ufaransa baharini lakini cha ajabu radar zake hazikuweza kuditect chochoteMmmm hiyo ya Malaysia ndo hatar, et ukipiga simu za abiria zinapatikana hili limekaaje
Kuna kitu ndani ya hoja yako,. Hebu ipe ufafanuzi zaidiIle ya kisongo me naona ilishushwa makusud tuu washushe vitu vyao na wapakie vyakupakiaa
Kuna mabaki machache yalionekana huko south indian ocean.Hii Malaysia air line maybe iliyekwa na maharamia kupotea uko wasione hata baki moja kweli
Huezi kuandika bila hilo neno et mjinga wewe ebu kajifunze kuandikaKuhusu ya Arusha ET
Et alirequest kuland, tower wakamwambia azunguke ili kisesna kilichokuwa kimeharibika kwenye runway kiondolewe,
Et akazunguka ikafikia mahali mafuta yakawa hayatoshi, akaomba tena atue, akaambiwa aende Dar/Nai/Mbs/Znz
Et hakuwa na mafuta, baada ya muda Et akaita tena kutua akaambiwa sawa tua, jamaa akatua akijua ni KIA, Tower ya Kia inamuuliza mbona unatua ila hatukuoni? Akasema nishatua ila .........
Ndo ikabidi jitihada zifanyike kwenda Kisongo maana Kisongo hawana ngazi kubwa za kushusha abiria,
Abiria walisubiri ili ngazi itoke KIA
Baada ya hapo wakasafirishwa hadi Hotelini(st pro av).
Ila sababu kubwa ilikuwa uzembe wa kia na et maana et alitakiwa awe na mafuta ya kutosha hata masaa 2
Pia Kia alizembea kutotoa ndege runway mapema
Sasa wewe na yeye mjinga nani? Wewe ni jinga kabisa kuliko huyo unayemuita mjinga. Unajua maana ya Et= ET? Kwa akili zako fupi unahisi anamaanisha neno ''eti'' Jifunze kuwa na adabu kwenye vitu usivyovijua usionekane mjinga.Huezi kuandika bila hilo neno et mjinga wewe ebu kajifunze kuandika
Ujinga wako ni maradufu zaidi yake kuna sababu gani ya kuandika kidaku waka mada iko free hata kwa tafsiri yako pia ni ujinga tuondolee ujinga wako jinga sana weweSasa wewe na yeye mjinga nani? Wewe ni jinga kabisa kuliko huyo unayemuita mjinga. Unajua maana ya Et= ET? Kwa akili zako fupi unahisi anamaanisha neno ''eti'' Jifunze kuwa na adabu kwenye vitu usivyovijua usionekane mjinga.
Nilipokuambia wewe ni mjinga naamini sijakosea kabisa, wewe ni mjinga tena wa kiwango kikubwa sana. Udaku uko wapi hapo kwenye hiyo post ya uliyemuita mjinga?Ujinga wako ni maradufu zaidi yake kuna sababu gani ya kuandika kidaku waka mada iko free hata kwa tafsiri yako pia ni ujinga tuondolee ujinga wako jinga sana wewe
Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
Ujinga ni kutetea ujinga kwa kutumia ujinga wako uliokubuhu ukidhan unamsaidia mjinga mwenzio kumbe unamuongezea ujinga fala sana wewe au ndo umekuja na id ya pili kuhalalisha huo ujinga wako bwege sana wewe hujui hata unachotetea zaidi ya ujinga ujinga tuNilipokuambia wewe ni mjinga naamini sijakosea kabisa, wewe ni mjinga tena wa kiwango kikubwa sana. Udaku uko wapi hapo kwenye hiyo post ya uliyemuita mjinga?
Ficha ujinga wako, sio kila mada unajua kinachojadiliwa, sasa ona unavyojiabisha kwa ujinga wako, kuna mada za kijinga unaweza kwenda huko kujadili ujinga wako pia.
Uncivilized baboon.. unamuomba ajifunze kuandika wakati wewe mwenyewe hujui kuandika kuanzia neno la kwanza tu umekosea? Tumieni vi huawei vyenu vizuri.
Kujifunza sio ujinga, ujinga ni kukataa kujifunza. Wewe ni mjinga na tena ni limbukeni kweli.Ujinga ni kutetea ujinga kwa kutumia ujinga wako uliokubuhu ukidhan unamsaidia mjinga mwenzio kumbe unamuongezea ujinga fala sana wewe au ndo umekuja na id ya pili kuhalalisha huo ujinga wako bwege sana wewe hujui hata unachotetea zaidi ya ujinga ujinga tu
Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
Huezi kuandika bila hilo neno et mjinga wewe ebu kajifunze kuandika
Wa nchi ganiYule mwanajeshi alikua fundi aisee,ule urefu hauzidi mita 800.
Wewe ni watu8Ha ha ha haaa., Asante Mkuu, nina account yangu Kongwe since ile Issue ya Daudi Balali, ila Nimeipumzisha kidogo.
Bado wako hai. Kuna siku watarudi na wataishangaza duniaMimi hiyo ya Malesian Airline 370 ndio huwa sielewi kabisa..sijui nini hasa kilitokea
ET anamaanisha Code ya Ethiopia Airline(ET/ETH) siyo neno la kiswahili "eti".Umemuonea kwa lugha uliyotumia.Ujaribu kupunguza hasira na kutumia lugha nzuriHuezi kuandika bila hilo neno et mjinga wewe ebu kajifunze kuandika
Hao wanajeshi walikuwa ni wabongo auKuhusu Boeing 767 mali ya Ethiopia airline iliotua kimakosa uwanja ndege arusha na kuzama kweny tope..
Hii ndege ilikuwa itue uwanja wa ndege wa Kilimanjaro international airport (KIA) ikiwa imetokea Adis ababa. Walipokuwa wanaomba kibali cha kutua pale kia, tower wakaomba ndege isitue maana kulikuwa na ndege ya precission air ambayo ilikuwa na hitilafu kweny barabara ya kutulia hivo afate location ya Nairobi ambapo ni karibu na ndipo kuna airport kubwa. Kiwango cha mafuta kilichokuwepo hakikuweza kutosha kwa safar ya mpaka nairob hivo akabaini kuwa anaweza kutua arusha aiport pale kisongo kwa dharura.... Akaomba request ya kutua akapewa angalizo kuwa uwanja mdogo hapakuwa na namna ingine.
Ndio akashusha sasa ngoma ile, ikamaliza run way ngoma bado inadai... Sasa baada ya run way mwisho kabisa ni majani kabla hujakuta fensi ya uwanja, ndio tair za mbele zikazama kweny tope....
Ila abiria walitolewa wote wakiwa salama wakasafirishwa mpaka kia ambapo walichukuliwa na ndege ingine wakaelekea dsm. Baada ya wiki ile ndege iliokwama arusha ilifanikiwa kuruka ikiwa haina muhudum yoyote zaid ya maruban wa 4 mpaka KiA ambapo iliendelea na safar zingine