Mikasa ya ndege kubwa kubwa

Mikasa ya ndege kubwa kubwa

Huezi kuandika bila hilo neno et mjinga wewe ebu kajifunze kuandika
Mimi sikuelewa na sijaelewa hiyo et kila nikijaribu kuunganisha dots nimeshindwa nikahisi labda Ethiopia lakin hola.
 
Ha ha haaaa.. Hii walipotea njia nadhani, badala ya kutua KIA wakatua kisongo(hapo sina uhakika sana)

Ila ni kwamba ndege ilitua kwenye uwanja mdogo kuliko size yake, shughuli ikaja jinsi ya kuirusha, ilibidi run way ianzie offroad lakini iliruka, alierusha alikua Mwanajeshi... Ipo Youtube pia.

youtube inatafutwa kwa key words gani??
 
hivi nbona ajali za ungo angani hatuskii au wao wamefunga signal na rubani hawakosei ? na mbona ikitok kudondoka ni mtu mmoja tu inamaana hawana boeng au airbus za ungo kupanda watu wengi na je huwa wanazipaki wapi baada ya kutumia na muongoza ungo ardhini hukaa eneo gan msaada jaman
 
Mkuu nimeireview tena ile documentary:

Ni kwamba baada ya tairi kubust, ikawaka moto!

na ndege ikisharuka tu inakunja miguu na kuingia ndani(kifuani)

Sasa tairi ipokunywa ikaingia kifuani na moto wake kama ulivyo, na kumbuka usawa huo huo ndio kulikua na mbawa zenywe mwaarabu(mafuta).

Hapo ikalipuka na disturb systmy nzima kwahiyo ndege ikashindwa kuendesheka, na kulipuka!

Concord ilikua ni very supersonic plane..

Ilikua na speed ya ajabu, wazungu wakipanga yao hawashindwi..

ngoja niaangalie na hizo zingine, nitarudi
nasikia inarudi
 
naamini hukuenda kujipitisha-pitisha watu wakuone kwa ajili ya 2020.

Arusha Airport lilitua kwa dharura dege kubwa la Boeing 767 la Shirika la Ethiopian Airline lenye uwezo wa kubeba abiria 230 kama sijakosea. hata hivyo uwanja ule si wa kutua madege makubwa sampuli ile inavosemekana. kwa hiyo rubani alimudu kulitua hivyohivyo na matokeo yake (kutokana na udogo wa uwanja pengine) dege lile likaenda kunasa kwenye tope.

kitu ambacho sijuwi na ninataka kujuwa:

kwa nini lilitua kwa dharura?
maarifa gani yalifanyika hata baadae likaja kumudu kuruka licha ya kuwa uwanja ule si saizi yake?

hapo ndipo napoona wana JI mnahusika kutoa majibu
Inasadikika ilikuwa planned, ile ndege haikutua kwa dharula Bali makusudi Na kifupi ilipakia sembe nyingi ambayo ilikuwa inalipa had I bima ya ndege Na abiria kwa usumbufu. Ilienda paki kule kwa makusudi Na SBB ilikuwa ikitua kia MZIGO ungekaguliwa, DSM pia so majamaa yalishapiga hesabu wakafanya hivyo. Majamaa yalipata taarifa 1 week baadaye kuwa ngada.
 
naamini hukuenda kujipitisha-pitisha watu wakuone kwa ajili ya 2020.

Arusha Airport lilitua kwa dharura dege kubwa la Boeing 767 la Shirika la Ethiopian Airline lenye uwezo wa kubeba abiria 230 kama sijakosea. hata hivyo uwanja ule si wa kutua madege makubwa sampuli ile inavosemekana. kwa hiyo rubani alimudu kulitua hivyohivyo na matokeo yake (kutokana na udogo wa uwanja pengine) dege lile likaenda kunasa kwenye tope.

kitu ambacho sijuwi na ninataka kujuwa:

kwa nini lilitua kwa dharura?
maarifa gani yalifanyika hata baadae likaja kumudu kuruka licha ya kuwa uwanja ule si saizi yake?

hapo ndipo napoona wana JI mnahusika kutoa majibu

Ilitakiwa kutua KIA ila rubani wa Ethiopia Airway alionao ndege imepaki au egeshwa vibaya kwenye njia ya kutua (Run way) anaogopa kugonga.
 
Back
Top Bottom