Nijuavyo ni kwamba mafuta kwenye ndege huwa ni mzito sana maana hubeba tonnes. Sasa inapo dump inapunguza uzito hata wakati wa kutua iwe nyepesi....isijipige chini pia inapunguza risk ya kulipukaNgoja nizame chimbo labda tutapata sababu dharula gani ilijitokeza.
By the way, ndege nyingi zikiwa na dharula huwa zinadump mafuta kwanza ili zitue, swali langu ni, hua zinadump ili kupunguza uzito zisije kuvunjika zinapokita chini au kuna lingine, nisaidie hili Mkuu.
Hii stori tamu.......Pan Am Flight 103, ilikuwa inatoka Uingereza kwenda Marekani.
Ilitegwa bomu, bomu lilikuwa ndani ya begi ambalo lilikuwa chini kwenye mizigo.
Bomu lilikuwa la timer. Waliotega bomu ni makachero wa Ki Libya.
makachero wali check in mabegi ila hawakupanda ndege.
Kachero mmoja ambaye alifungwa anaitwa Elmaghai, alikuja kuachiwa baada ya kuumwa kansa muda mrefu akiwa jela.
Lockerbie ni Mji ulio mpakani mwa England na Scotland.
Ha ha ha haaa, Hapana Mkuu ila watu 8 ni age met wangu humu JF, naomba nisikutajie mimi ni nani Mkuu.Wewe ni watu8
Au
Cha wanajeshi sijui kwa kweliHao wanajeshi walikuwa ni wabongo au
Asante kwa ufafanuzi Mkuu, kuna ndege moja nimeangalia documentary yake this week, Yaani ilitumbukia bahari coz walirudi tu kudump mafuta ili watoe kwa emergence, moto ulianza kuwaka ndani ya cock pit hivyo ukaunguza mfumo mzima wa wiring mpaka dashboard ikazima ikawa haiendesheki tena,Nijuavyo ni kwamba mafuta kwenye ndege huwa ni mzito sana maana hubeba tonnes. Sasa inapo dump inapunguza uzito hata wakati wa kutua iwe nyepesi....isijipige chini pia inapunguza risk ya kulipuka
Kujifunza sio ujinga, ujinga ni kukataa kujifunza. Wewe ni mjinga na tena ni limbukeni kweli.
Nikusaidie kitu kidogo siku usijitie aibu, et=ET maana yake Ethiopian airline, ila kwakuwa umekulia mtaani basi huji chochote zaid ya tafsir yako ya neno ''eti'' ngoja nikuache na kichaa chako na ulimbukeni wako naamini ukiyemuita kichaa anajaribu kufikiri kuwa wewe ni mtu au sanamu na akija atakupa majibu sahihi kama mimi nilivyokueleza na hapo utathibitisha kuwa wewe ni mjinga wa kuonewa huruma na kuhitaji msaada zaidi.
Kama umefika hata kidato cha pili basi mwalimu wako wa kiswahili anastahili lawama kwani hakukufundisha ''Matumizi ya Lugha'' yaani vile vipengele vyake vyote vya kuzingatia(mada ya mazungumzo, muktadha n.k)
Soma comment yake ya kwanza halafu angalia nilimuambia nini na kajibu nini.Tatizo nini? Hivi mnajuana ama hamjuani? Nashangaa!.
Soma comment yake ya kwanza halafu angalia nilimuambia nini na kajibu nini.
Napingana na wewe kuhusu hili. Nitaweza kuitolea maelezo kufuatana na ukweli kuhusiana na safari za anga zinazotumika. Kuna aina nyingi zinazowezesha ndege kutua katika kiwanja/viwanja duniani, na hili linategemeana na aina ya kiwanja (matumizi), hali ya hewa wakati wa kutua, aina ya ndege, sheria za nchi zinazoongoza ndege na aina za leseni walizonazo marubani. Sasa inavyoonekana kwa tukio la Ethiopian Arusha, rubani ama aliomba au alilazimika kutumia utaratibu wa VFR(Visual Flight Rules) yaani kuruka kwa kuangalia nje, kama gari ili kuona unapokwenda. Hivyo basi, wakati wa kutua wanaomba kutumia pia Visual approaches (Ushukaji kwa kuangalia kwa macho). Huu huwa ni mawasiliano njia mbili, mwongozaji ndege toka uwanjani na rubani ndani ya ndege.Kuhusu ya Arusha ET
Et alirequest kuland, tower wakamwambia azunguke ili kisesna kilichokuwa kimeharibika kwenye runway kiondolewe,
Et akazunguka ikafikia mahali mafuta yakawa hayatoshi, akaomba tena atue, akaambiwa aende Dar/Nai/Mbs/Znz
Et hakuwa na mafuta, baada ya muda Et akaita tena kutua akaambiwa sawa tua, jamaa akatua akijua ni KIA, Tower ya Kia inamuuliza mbona unatua ila hatukuoni? Akasema nishatua ila .........
Ndo ikabidi jitihada zifanyike kwenda Kisongo maana Kisongo hawana ngazi kubwa za kushusha abiria,
Abiria walisubiri ili ngazi itoke KIA
Baada ya hapo wakasafirishwa hadi Hotelini(st pro av).
Ila sababu kubwa ilikuwa uzembe wa kia na et maana et alitakiwa awe na mafuta ya kutosha hata masaa 2
Pia Kia alizembea kutotoa ndege runway mapema
Nimekuelewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ile ya kisongo me naona ilishushwa makusud tuu washushe vitu vyao na wapakie vyakupakiaa
Hii itabidi niitafute kama ipo youtube.Ha ha haaaa.. Hii walipotea njia nadhani, badala ya kutua KIA wakatua kisongo(hapo sina uhakika sana)
Ila ni kwamba ndege ilitua kwenye uwanja mdogo kuliko size yake, shughuli ikaja jinsi ya kuirusha, ilibidi run way ianzie offroad lakini iliruka, alierusha alikua Mwanajeshi... Ipo Youtube pia.
Mkuu Uko deep sana, but unaposems magharibi mwa Arusha sio upande huu wa serengeti? Na kwa haraka haraka kwa akili yangu nilidhani itakua ilitokea usawa wa Holili.Napingana na wewe kuhusu hili. Nitaweza kuitolea maelezo kufuatana na ukweli kuhusiana na safari za anga zinazotumika. Kuna aina nyingi zinazowezesha ndege kutua katika kiwanja/viwanja duniani, na hili linategemeana na aina ya kiwanja (matumizi), hali ya hewa wakati wa kutua, aina ya ndege, sheria za nchi zinazoongoza ndege na aina za leseni walizonazo marubani. Sasa inavyoonekana kwa tukio la Ethiopian Arusha, rubani ama aliomba au alilazimika kutumia utaratibu wa VFR(Visual Flight Rules) yaani kuruka kwa kuangalia nje, kama gari ili kuona unapokwenda. Hivyo basi, wakati wa kutua wanaomba kutumia pia Visual approaches (Ushukaji kwa kuangalia kwa macho). Huu huwa ni mawasiliano njia mbili, mwongozaji ndege toka uwanjani na rubani ndani ya ndege.
Tukiangalia ramani ya TZ, kutokea Ethiopia kuingia anga la Tanzania unatokea kaskazini upande wa Kenya. Hapa kwa utaratibu wa kuruka kwa kuangalia(ambao hutumika tu pale hali ya hewa ikiwa shwari Zaidi-isiyo na mawingu mengi),rubani huulizwa kama amekiona kiwanja (barabara ya kurukia) na akisema amekiona basi hupewa ruhusa kutua. Changamoto iliyopo kati ya Arusha na KIA ni kuwa viwanja vyote viwili vina uelekeo sawa 09/27, hii ni kufuatana na nyuzi za uelekeo wa dunia. Yaani barabara za kurukia ndege zinaanzia nyuzi 90, upande mmoja na nyuzi 270 upande wa pili. Hivyo kufanya makosa ya kibinaadam ni rahisi Zaidi hapo.
Ethiopian aliomba kutua KIA kutokea magharibi ya Arusha kwa hiyo alikuwa atue kwenye barabara kutokea nyuzi 270, alipoangalia akiwa ameelekea nyuzi 270 akaona barabara ya Kisongo akasema nimeona akaruhusiwa, akatua. Nadhani umenielewa. Swala na mafuta kwa rubani siyo rahisi kutokea kihivyo ulivyoelezea.
Haikushindwa Mkuu, Ilipaa, yaani ni vile tu runway ilikua fupi kuliko ndege coz ilitua kimakosa, ila yule mjeda aliirusha.Hii itabidi niitafute kama ipo youtube.
Nilikiwa na documentary ya boing mpya sijui 747 dash 8 inaonyesha inapaa kwa emergency kwenye uwanja mfupi mpaka mkia umewekewa kubao cha kuburuzia chini. Sasa sijui Hiyo ilishindwaje
Ni kweli kabisa, upande huo huo unaofikiria ni sawa. Kwa kuwa ndege husafiri kwa mwendo wa kasi, na juu sana, huhitaji umbali mrefu kugeuka na kanza kushuka kidogo kidogo huku ikipunguza mwendo. Kama angetokea upande wa Holili KIA angeiona kwanza hivyo isingekuwa tatizo. Mawasiliano kati ya nchi kavu na ndege yanajulikana kwa masafa ya redio, hivyo yanajulikana kwa kuwa ukiweka masafa Fulani ni ya uwanja Fulani kama redio za kawaida Cluods, Radio Uhuru nk. Pamoja na hayo bado atajitambulisha kuwa yeye ni wa KIA na rubani naye atasema jina la mruko wake kwa wakati ule. Kwa hiyo ni kweli yule alikuwa na bahati tu pale Arusha hapakuwa na kizuizi barabarani maana alishuka bila ruhusa. Alikuwa anawasiliana na KIA ila akatua Arusha.Mkuu Uko deep sana, but unaposems magharibi mwa Arusha sio upande huu wa serengeti? Na kwa haraka haraka kwa akili yangu nilidhani itakua ilitokea usawa wa Holili.
Halafu unapowasiliana na control tower si anakwambia hii ni control tower ya wapi?
Na kama ndiyo hivyo maana yake ni kwamba hii ndege ilitua pasi na kuwasiliana na control tower ya kisongo kitu ambacho ni hatari coz kama kungekua na ndege nyingine inaruka si singeumana?
Nimewahi kuona documentary moja ndege ziligongana kwenye run way ilikua usiku mmoja hakuwasha taa.
Subiri baada ya miaka 50 CIA watakapotoa misiri yao utaelewa kila kituMimi hiyo ya Malesian Airline 370 ndio huwa sielewi kabisa..sijui nini hasa kilitokea