Mikasa ya ndege kubwa kubwa

Huezi kuandika bila hilo neno et mjinga wewe ebu kajifunze kuandika
Mimi sikuelewa na sijaelewa hiyo et kila nikijaribu kuunganisha dots nimeshindwa nikahisi labda Ethiopia lakin hola.
 

youtube inatafutwa kwa key words gani??
 
hivi ingetokea zikakosekana mbinu za kuinasua na kuirusha ethiopian line kutoka uwanja wa arusha, japo ilionekana kuwa nzima, hapo ingekuwa je? ingeachwa hivyo hivyo na kuwa ghofu?
Chuma CHAKAVU BABA
 
hivi nbona ajali za ungo angani hatuskii au wao wamefunga signal na rubani hawakosei ? na mbona ikitok kudondoka ni mtu mmoja tu inamaana hawana boeng au airbus za ungo kupanda watu wengi na je huwa wanazipaki wapi baada ya kutumia na muongoza ungo ardhini hukaa eneo gan msaada jaman
 
nasikia inarudi
 
Inasadikika ilikuwa planned, ile ndege haikutua kwa dharula Bali makusudi Na kifupi ilipakia sembe nyingi ambayo ilikuwa inalipa had I bima ya ndege Na abiria kwa usumbufu. Ilienda paki kule kwa makusudi Na SBB ilikuwa ikitua kia MZIGO ungekaguliwa, DSM pia so majamaa yalishapiga hesabu wakafanya hivyo. Majamaa yalipata taarifa 1 week baadaye kuwa ngada.
 

Ilitakiwa kutua KIA ila rubani wa Ethiopia Airway alionao ndege imepaki au egeshwa vibaya kwenye njia ya kutua (Run way) anaogopa kugonga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…