mogulnoise
JF-Expert Member
- Oct 28, 2014
- 2,435
- 5,541
Unaangaika na huyo ndezi hana anachujua ubongo wake unamakamasiNathani hata hujui maana ya Transaction advisor ,endelea kupiga kelele kama nguruwe tu
Transaction advisor kwenye hatua ya ujenzi wa mradi wa gesi asilia mkoani Lindi (exploration stage) ni kampuni ya Baker Botts ya Uingereza.Tueleweshane kwanza. Transaction advisor ni nani?
Unam-underrate sana! He fully knows what he's doing! Analikoroga kwa makusudi.Shibe mwana malevya njaa mwana malegeza.
Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.
January ata kama anatamaa sio vile; ni mtu mwenye msimamo.
Ingelikuwa tamaa alizuia uuzwaji wa viroba vyenye thamani ya mabilioni angekuwa na tamaa angetafuta mpambe wake wa kuchukua mabillioni kuwaongezea muda wa kuuza aliokuwa anapanga yeye.
That is to say haya yanayofanyika wizarani kwake sio kwa financial benefit zake; inawezekana wengine ndio wana motives hizo kwa sababu he is clueless on the sector.
The minister ukimsikiliza he is just plain stupid on the energy industry; nitaweka wager ya asilimia 60 maamuzi yake ni ushauri wa ovyo kutoka kws Thabit Jacob mtu ambae aelewi ata increase in energy prices zinaathiri makampuni ya size gani.
Makamba is just an ignorant
Hana hizo akili, wala tamaa ya vileee ya utajiri; ni fisadi mwenye kuridhika.Unam-underrate sana! He fully knows what he's doing! Analikoroga kwa makusudi.
Wewe mtoa mada ni mjinga kweli,kwa hiyo waziyanaingia kwa niaba ya nani? Unaweza ingia mkataba kwa kujiskia bila kufuata sheria na ushauri wa mwanasheria mkuu wa serikali?Alianza na mkataba wa bil takribani 70 ambao Tanesco iliingia mkataba na Mahindra tech ya India kwa ajili ya kukodi software ambayo itafanya shughuli za Tanesco ziwe za kidigital na kuongeza ufanisi kiutendaji. Mpaka sasa kila mtanzania anahoji na kujiuliza ni software gani hiyo ambayo watalaamu wa kitanzania au ni ufanisi gani ambaao hawa wahindi watauleta kwa bil 70. Watalaamu wa kitanzania hawapo?
Jana tena kaibuka na kulipatia mkataba kampuni la huko Uk la Barker and Bottis mkataba wa kuwa kuwa mshauri juu ya utekelezaji wa mradi wa gasi ya asili ya Lindi. Mradi ambao una gharama zaidi ya tril 70.
Kama taifa tulishindwa kuwa na Government negotiating team? Hii team ingejumuisha watalaamu wa kila aina na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi.
Haya mauzauza na dili anazofanya January Makamba yanaonyesha wazi kabisa yana ruhusa na mkono wa mkuu wa nchi maana alipaswa kuyazuia na kumtumbua mapema kabisa.
Sitakuwa na mengi ya kusema kwa sababu nipo occupied na kwahiyo nimeshindwa kutafuta details za hicho kilichofanywa na Makamba. Hata hivyo, kwa jinsi nilivyo mbishi, lazima nirudi tena baadae!
Kwa ufupi tu majukumu ya PURA wamepewa wazungu.
Waivunje basi hiyo PURA kama wameshindwa kutimiza majukumu yao.
Kazi ya AG ni ipi??
Kwa AG mbona wapo wataalam wa oil and gas??
Kisha wanaendelea:-Baker Botts has played a significant role in the evolution of the energy industry from its earliest days. With over 175 years of experience in the energy industry, our Litigation Practice has grown and diversified with the industry, and today we are one of the world’s leading law firms serving the needs of clients in the energy sector.
Baker Botts’ Oil and Gas Practice offers the full range of legal and business services backed by more than 100 years of experience handling oil and gas matters in over 70 nations, including upstream, midstream and downstream and including mergers, acquisitions, divestitures, joint ventures, unitizations, project design, development and operations, financings, investments, environmental and regulatory matters, litigation, arbitration, intellectual property matters and tax structuring. The firm is frequently called upon to analyze and assess international and local law considerations and help structure and document complex, challenging or novel cross border energy transactions and projects, as well as defend the interests of clients involved in these matters should a dispute arise.
Wewe ndo umemaliza kila kitu mkuuHata wasingekuwepo watanzania, bado suala hilo lingelazimu competitive tendering ifanyike, je hao wahindi wamepatikana kwa kushindanishwa? Vivyo hivyo kwa hiyo Firm ya Sheria kwenye bodi ya Tanesco si kuna yule mama Majar aliyewahi kuwa balozi wa TZ nchini USA ambaye ni mwanasheria nguli na ana firm kubwa tu ya Lex Attorney, labda ndio kashauri firm hiyo ya UK ipewe dili na wamkatie commission asionekane moja kwa moja huku kama mpigaji.
We na huyo Makamba akili zenu sawa in your little pathetic heads mnadhani watanzania wote ni wapuuzi kama nyie.Wewe mtoa mada ni mjinga kweli,kwa hiyo waziyanaingia kwa niaba ya nani? Unaweza ingia mkataba kwa kujiskia bila kufuata sheria na ushauri wa mwanasheria mkuu wa serikali?
Nyie ni aina ya wale watu wapumbavu ambao mliaminishwa na Jiwe eti Katibu Mkuu na Waziri wa Mambo ya ndani kwamba waliingia mkataba bila Serikali kujua.
Transaction advisor ndio kero kubwa ya ule mradi??Unaangaika na huyo ndezi hana anachujua ubongo wake unamakamasi
Ndio maana Mungu aliamua kukupa akili ndogo kama kukuUnaangaika na huyo ndezi hana anachujua ubongo wake unamakamasi
It is difficult to explain what kind of an idiot you areWe na huyo Makamba akili zenu sawa in your little pathetic heads mnadhani watanzania wote ni wapuuzi kama nyie.
Ebu mwambie waziri achunguze hapo wizarani since Dr Mpango amekuwa waziri ni watanzania wangapi wamepekekwa Aberdeen University kusomea maswala ya Oil and Gas.
If you don’t know about Aberdeen University ipo very close to North Sea na ndio chuo kikubwa shell Uk ina sponsor in oil and gase degrees.
Makamba is just
https://www.afdb.org/fileadmin/uplo...sor_for_Government_Negotiation_Team__GNT_.pdf ,tupe jibu hilo tangazo ni la lini ?Alianza na mkataba wa bil takribani 70 ambao Tanesco iliingia mkataba na Mahindra tech ya India kwa ajili ya kukodi software ambayo itafanya shughuli za Tanesco ziwe za kidigitali na kuongeza ufanisi kiutendaji. Mpaka sasa kila Mtanzania anahoji na kujiuliza ni software gani hiyo ambayo watalaamu wa Kitanzania au ni ufanisi gani ambao hawa Wahindi watauleta kwa bil 70. Watalaamu wa Kitanzania hawapo?
Jana tena kaibuka na kulipatia mkataba kampuni la huko Uk la Barker and Bottis mkataba wa kuwa kuwa mshauri juu ya utekelezaji wa mradi wa gasi ya asili ya Lindi. Mradi ambao una gharama zaidi ya tril 70.
Kama taifa tulishindwa kuwa na Government negotiating team? Hii team ingejumuisha watalaamu wa kila aina na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi.
Haya mauzauza na dili anazofanya January Makamba yanaonyesha wazi kabisa yana ruhusa na mkono wa mkuu wa nchi maana alipaswa kuyazuia na kumtumbua mapema kabisa.
Wameishapewa ruhusa wale kulingana na urefu wa kamba yao so lazima wafanye hivyo# tunataka katiba mpya#Alianza na mkataba wa bil takribani 70 ambao Tanesco iliingia mkataba na Mahindra tech ya India kwa ajili ya kukodi software ambayo itafanya shughuli za Tanesco ziwe za kidigitali na kuongeza ufanisi kiutendaji. Mpaka sasa kila Mtanzania anahoji na kujiuliza ni software gani hiyo ambayo watalaamu wa Kitanzania au ni ufanisi gani ambao hawa Wahindi watauleta kwa bil 70. Watalaamu wa Kitanzania hawapo?
Jana tena kaibuka na kulipatia mkataba kampuni la huko Uk la Barker and Bottis mkataba wa kuwa kuwa mshauri juu ya utekelezaji wa mradi wa gasi ya asili ya Lindi. Mradi ambao una gharama zaidi ya tril 70.
Kama taifa tulishindwa kuwa na Government negotiating team? Hii team ingejumuisha watalaamu wa kila aina na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi.
Haya mauzauza na dili anazofanya January Makamba yanaonyesha wazi kabisa yana ruhusa na mkono wa mkuu wa nchi maana alipaswa kuyazuia na kumtumbua mapema kabisa.
https://www.afdb.org/fileadmin/uplo...sor_for_Government_Negotiation_Team__GNT_.pdf angalia tarehe ya tangazo ndio ujione ulivyo mjinga haswaNdio maana ukaambiwa nchi imekabidhiwa kwa wenyewe.
Hivi hujaelewa maana ya hii kauli??
Ngoja nikanywe chai kwanza
https://www.afdb.org/fileadmin/uplo...or_Government_Negotiation_Team__GNT_.pdf,kama unajua kingereza soma hilo tangazo na si kupiga kelele kama unataka kijifunguaWameishapewa ruhusa wale kulingana na urefu wa kamba yao so lazima wafanye hivyo# tunataka katiba mpya#
I was about to say mbwa wewe.Mkuu unaelewa maana ya transaction advisor wa mradi wa kiwango cha LNG ?